EMMYGUY
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 11,177
- 25,512
Hahahaaaaa......Wangekuwepo wangeonekana, hadi sasa ni bila bila
Hahahaaaaa......Wangekuwepo wangeonekana, hadi sasa ni bila bila
Hapo nimewataja kulingana na umri waoNi nani mkubwa,? Walikufa kwa uzee ama? Maana huyu benjamini naye naona ni mzee
Umeandika kimpasho mpshoNdio alikua nao. Regina ana mtoto.
Abdiel ana watoto.
Kingine ?
SI faraja tu bali na succession ya Mali kwa uzao wako Mali zisije kwenda kwa wasio wa uzao wakoKuwa na watoto wengi kuna umuhimu pia,hasa pale umri utakapokimbia kutakuwa na faraja
Kurunzi. Uko bar gani kaka. Niko calabash MwengeUmeandika kimpasho mpsho
swal fikirish sanaa hiliKwanza kabisa natoa pole kwa wote , R.I .P. Mzee wetu mpedwa.
Kama mjuavyo mzee was public figure so kujadili undani wake sii neno sana ili tujifunze kitu.
Kwa deaturi zetu, kwa mzee wa umri wa mzee wetu marehemu alipaswa kuwa na wajukuu kadhaa ambao sijawasikia,
Nani amewasikia?
Nimewaza au labda Kulikuwa na tatizo na wanaye ndo maana akamua kuzaa na mwanamke mwingine kyne, ili kutengeneza kizazi kingine?
Ndio alikua nao. Regina ana mtoto.
Abdiel ana watoto.
Kingine ?
Hahaa nipo Ukuni Park BagamoyoKurunzi. Uko bar gani kaka. Niko calabash Mwenge