Je, mzee Reginald Mengi alikuwa na mjukuu?

Je, mzee Reginald Mengi alikuwa na mjukuu?

mbere

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2015
Posts
6,967
Reaction score
6,469
Kwanza kabisa natoa pole kwa wote , R.I .P. Mzee wetu mpedwa.

Kama mjuavyo mzee was public figure so kujadili undani wake sii neno sana ili tujifunze kitu.

Kwa deaturi zetu, kwa mzee wa umri wa mzee wetu marehemu alipaswa kuwa na wajukuu kadhaa ambao sijawasikia,
Nani amewasikia?

Nimewaza au labda Kulikuwa na tatizo na wanaye ndo maana akamua kuzaa na mwanamke mwingine kylin, ili kutengeneza kizazi kingine?
 
Sasa swala la mzee Mengi kuwa na wajukuu au kutokuwa nao ww linakuumiza nn? Halafu sijui hatuna kazi za kutufanya tuwe bize, mtu unapata mda wa kufikiria mambo ya sio na msingi na kuyaleta hapa! Mambo meimgine ni ya kifamilia zaidi!
Nisamee mkuu nimevutiwa tu kujua waliko
 
Back
Top Bottom