Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 40,592
- 63,083
Kuwa na watoto wengi kuna umuhimu pia,hasa pale umri utakapokimbia kutakuwa na faraja
Acha kudanganya, mbona wazee wengi tu wanatembea na vibinti vidogo, suala la watoto wa mtu kuoa au kuolewa inategemea na maamuzi yao wenyewe
Ni nani mkubwa,? Walikufa kwa uzee ama? Maana huyu benjamini naye naona ni mzeeHuwezi kupewa kila kitu pamoja na kuwa mengi walizaliwa watoto saba Apaanisa, Elitira, Asanterabi, Karileni, Dr. Mengi mwenyewe, Evaresta na Benjamin. Lakini huwezi kuwasikia hata hata waliotangulia mbele ya haki hatukusikia misiba yao
Tajiri nyingine huwa na mashartiHata yule jamaa ambaye wanasema alikuwa anatembeza Dushe hakuacha hata chata lake kweli.Bora Bossi Ruge ameacha miamba.Haiwezekani watoto wote watatu wawe above 35/40 wakose hata wakusingiziwa
Sijuhi shuleni huwa mnaenda kusoma ujinga...kwa sauti ya FaizaFoxy Fox,Wa-bongo tuna matatizo Sana ..suala la kuwa na family/ mtoto/ watoto ni suala la mtu binafsi ni Hiyari nasio lazima
Katika maisha sio kila mtu huwa anapenda kufanya kila kile ambacho kinafanywa na jamii yake _ watu wengine huwa wana amua kuwa na life style ya kipekee na kwakuwa wanakuwa hawavunji sheria basi ruksa kwao kuendelea kufanya hivyo
Mbona mengi na uzee wake alizaaMtaji na nguvu ya masikini ni watoto bali kwa tajiri watoto si issue.
Inategemea na wao kama watapata malezi Sahihiukweli mchungu, watoto wa kly ndio watakaoendeleza ukoo wa Mengi
Inaonekana hawa watoto ndio walifanya mzee wao akaamua kuoa na kuzaa...! Maana lazima alikua na wasiwasi sana
mada nyingine bana
hauna hoja manSasa Forum si ziko nyingi, au anzisha thread yako...
Umejibu kwa mhemko sana.Kuwa wewe kama unahitaji kujua kila kinachomhusu mtu asiyekuhusu