Je, mzee Reginald Mengi alikuwa na mjukuu?

Je, mzee Reginald Mengi alikuwa na mjukuu?

Ujue hata mi nimejiuliza kwan regina hana mume na yule mshikaji hana mke na kama wapo mbona sijawaona
 
Sasa swala la mzee Mengi kuwa na wajukuu au kutokuwa nao ww linakuumiza nn? Halafu sijui hatuna kazi za kutufanya tuwe bize, mtu unapata mda wa kufikiria mambo ya sio na msingi na kuyaleta hapa! Mambo meimgine ni ya kifamilia zaidi!
Hoja yake ni kwamba pengine mzee Mengi aliamua kuanzisha kizazi kipya kwa Klyn ili kunusuru blood line yake baada ya kuona muitikio kwa kizazi cha kwanza ni mdogo, sasa hiyo ndio hoja yake.
 
Hoja yake ni kwamba pengine mzee Mengi aliamua kuanzisha kizazi kipya kwa Klyn ili kunusuru blood line yake baada ya kuona muitikio kwa kizazi cha kwanza ni mdogo, sasa hiyo ndio hoja yake.
Sawa kabisa. Na ni funzo
 
Kwanza kabisa natoa pole kwa wote , R.I .P. Mzee wetu mpedwa.

Kama mjuavyo mzee was public figure so kujadili undani wake sii neno sana ili tujifunze kitu.

Kwa deaturi zetu, kwa mzee wa umri wa mzee wetu marehemu alipaswa kuwa na wajukuu kadhaa ambao sijawasikia,
Nani amewasikia?

Nimewaza au labda Kulikuwa na tatizo na wanaye ndo maana akamua kuzaa na mwanamke mwingine kyne, ili kutengeneza kizazi kingine?
Alafu eti kuna watu wanalalamika mpaka mahakamani, eti wajiita familia Mengi, hopeless kabisa, familia ya Mengi n Klyn na twins full stop.
 
Pengine kwa watoto wa nje. Lakini hawa wanaotajwa majina yao hata wenza wa ndoa sikuwasikia.
 
Kwanza kabisa natoa pole kwa wote , R.I .P. Mzee wetu mpedwa.

Kama mjuavyo mzee was public figure so kujadili undani wake sii neno sana ili tujifunze kitu.

Kwa deaturi zetu, kwa mzee wa umri wa mzee wetu marehemu alipaswa kuwa na wajukuu kadhaa ambao sijawasikia,
Nani amewasikia?

Nimewaza au labda Kulikuwa na tatizo na wanaye ndo maana akamua kuzaa na mwanamke mwingine kyne, ili kutengeneza kizazi kingine?
Wajukuu sio wakwake peke yake! Hivyo sioni haja ya kuwataja!
 
Unataka uwafanye nini hao wajukuu kama wapo?
 
Kwahiyo unaamanisha hawana partners of opposite sex wana patners wa same sex..?
hahahahaha..wapate wapi! kuzaa kwahitaji partners of opposite sex, ila kama....hakuna cha mtoto, ni kuponda maisha na tamaa za mwili tu..
 
Mzee machache umekufa umetuachia mengi.

Yanaibuka mengi sana mzee wetu RIP.
 
Hili ni swali la msingi, mwendelezo wa familia ni jambo la muhimu sana. Kama vijana wa Mengi wakubwa ni wazima ,hawatendi haki kutumia viungo vyao vya uzazi kwa starehe pekee. Mzee Mengi alistahili kupakata wajukuu, ama ndio maana akaenda option B, Kln faraja.
 
Back
Top Bottom