Mkuu umeandika logic sana,wengi wajinga wasiojua kutafakari watakudharau,iko hivi,watoto wengi wa matajiri ni wasumbufu sana ktk ndoa,ndo maana hujaona wajukuu wa marehemu,badala yake vitoto vya marehemu (kwa kahaba kyln) ndo vilionekana kama vijukuu,wakati ilipaswa waonekane hata wajukuu 10.Kwanza kabisa natoa pole kwa wote , R.I .P. Mzee wetu mpedwa.
Kama mjuavyo mzee was public figure so kujadili undani wake sii neno sana ili tujifunze kitu.
Kwa deaturi zetu, kwa mzee wa umri wa mzee wetu marehemu alipaswa kuwa na wajukuu kadhaa ambao sijawasikia,
Nani amewasikia?
Nimewaza au labda Kulikuwa na tatizo na wanaye ndo maana akamua kuzaa na mwanamke mwingine kyne, ili kutengeneza kizazi kingine?
Nisamee mkuu nimevutiwa tu kujua waliko
Ujue hata mi nimejiuliza kwan regina hana mume na yule mshikaji hana mke na kama wapo mbona sijawaona
Lowasa alikuwepo?mi najiuliza mbona mo dewji na bakhresa hawakwenda kumzika mwenyekiti wao wa wamiliki wa viwanda kwa miaka mingi
Km umejibu vileHoja yake ni kwamba pengine mzee Mengi aliamua kuanzisha kizazi kipya kwa Klyn ili kunusuru blood line yake baada ya kuona muitikio kwa kizazi cha kwanza ni mdogo, sasa hiyo ndio hoja yake.
Kwanza kabisa natoa pole kwa wote , R.I .P. Mzee wetu mpedwa.
Kama mjuavyo mzee was public figure so kujadili undani wake sii neno sana ili tujifunze kitu.
Kwa deaturi zetu, kwa mzee wa umri wa mzee wetu marehemu alipaswa kuwa na wajukuu kadhaa ambao sijawasikia,
Nani amewasikia?
Nimewaza au labda Kulikuwa na tatizo na wanaye ndo maana akamua kuzaa na mwanamke mwingine kyne, ili kutengeneza kizazi kingine?
Hawana ,hata yule aliyefariki pia hanaKwamba Regina na kaka yake hawana watoto??
Mihela inanunua wajukuu ?Mzee mzima na Miela hile akose Mjukuu kweli...!
Watakuwepo tu..
Kwahyo wale watoto wengine mengi hawamuhusuAlafu eti kuna watu wanalalamika mpaka mahakamani, eti wajiita familia Mengi, hopeless kabisa, familia ya Mengi n Klyn na twins full stop.
Regina ana approach 50yrs au unaongelea ujana upiHuwezi jua ni Kwa nini bado hawajaendeleza kizazi isitoshe bado vijana
Hata 50 akitaka anapata mtoto pesa ipoRegina ana approach 50yrs au unaongelea ujana upi
Kwamba Regina na kaka yake hawana watoto??
HahaaAawapi abroad unadhani nauli ni shida kama wewe adi washindwe kuja kwa msiba?