BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,766
- 23,217
tena chaka zito, limejaa miiba na nyoka mkali loh.....
sasa kwa mume wetu, mbona tumeingia chaka?
sasa kwa mume wetu, mbona tumeingia chaka?
BAGAH mimi mwanaume awe mweusiiiiiiiii, black guys! halafu awe mascular, halafu na upara kwa kichwa, likifua la haja, awe tall, juma mgunda naye awe mashallah! uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii naweza fanya chochote juu yake,! kudos to all guys wenye hizo criterias, lol!
Hapa najua nazungumziwa mimi. Wake zangu mnanipenda mpaka najionea wivu. Najuta kwanini sikuwaoa tangu tukiwa nasare skulBAGAH, kila mwanaume ana uzuri wake banaaa..
Anyway mwanaume wa ukweli ni yule anayenipenda kwa dhati, anayeniheshimu mimi na familia yangu, anayenijali na kunithamini, tunayesikilizana na mwenye uaminifu.....
Bila kusahau mwanaume msafi na mtafutaji....
Anayejua kuniappreciate....
Ambaye hasiti kunishika mkono na kuniongoza, mkweli na anayeniambia ukweli hata kama utaniuma........
Na anayejua kufunga zipu ya suruali yake....
Ayaaaaaaaaaaaaaa!!!!sasa kwa mume wetu, mbona tumeingia chaka?
Ayaaaaaaaaaa! Ayaaaaaaaaaaaa! Ayaaaaaaaaaaaaaaa!!!tena chaka zito, limejaa miiba na nyoka mkali loh.....
mwenye kifua kipana, alikwenda hewan na anayenijali internaly and externally. . .
Nimewamiss rafiki zangu wa Chit Chat!
Hewalaaaa hapo umeeleweka vizuri kabisa mwanzoni ulisema zina ladha.ila hata hivyo sio vibaya hata kama uliiramba kwani ubaya uko wapi?si ulikuwa unaitumia mwenyewe?so yote,A na B ni sawa.upo hapo Mungi???????????????Hahaaaaa! Mkuu nilitumia sikulamba, zinanukia bana we namna gani?
Uzuri wa mwanaume kama huyo anakuwa wako peke yako. Hawamshobokei. BIG UP Paloma !!!mwanaume wa ukwe'e according to my koliig hapa kando is the one who makes husbands jelous.....
jamani mbona wanaume wanene hawapendwi ilhali wanawake wanene wanazimikiwa balaa....?!?!?!
mie mwanaume wa ukwe'e ni awe mnene kitambi freeeesh dah....wacha tuuuu!!!
Hewalaaaa hapo umeeleweka vizuri kabisa mwanzoni ulisema zina ladha.ila hata hivyo sio vibaya hata kama uliiramba kwani ubaya uko wapi?si ulikuwa unaitumia mwenyewe?so yote,A na B ni sawa.upo hapo Mungi???????????????
Hahaaaaaa Mkuu unanilazimisha niseme nimelamba!!!!!!!????
sikulazimishi.kwani si,mwenyewe tena kwa mdomo, wako ulisema ina ladha nzuri!!!!!!!!khaaaaaaa!naomba usinizingizie mtoto wa mwanamke mwenzio.
afu wewe!!! mbona nakupenda hivyo??? uwiiiiiii!Kwa mamlaka niliyopewa na wake zangu Yummy, cacico na BADILI TABIA chini ya uongozi wa Kongosho. Mwnaume wa ukweli ni Yule:
1. Mascular... akiwa na athletic figure inakuwa added advantage
2. Anayejua kumlaza mwanamke kitandani vizuri sana. akalala vizuri na akaamka akitabasamu kwa kuridhika kila idara
3. Anayejua wajibu wake kwa mwanamke wake na watoto (kama wapo)
4. Ambaye hata akicheat mke/wake zake hawatajua (Msisahau infidelity is inevitable)
Afu eti mijitu mingine inafikiri najiongelea mimi mwenyewe hapa..... Khaa!