Je Mwanaume wa ukweli yukoje?

Je Mwanaume wa ukweli yukoje?

Siku hizi mijanaume ya ukwee inahongwa na mijimama ya ukwee. Ngoma droo!!
na umehongwa sana hubby, khaaaaaaaaaa wenzio wanazitafutia hyatt, we unakuja kubunjua tu, nishaTHINK hubby nishaSTUKA! LOL
 
Akha,
mbona kama staili ya kunisusia?
Nisije tenguliwa uzazi.
si unaona tunamfaidi huyo juma mgunda?? haya njoo na wewe uione ngondo, ebo! nitakuja fyatanga weekend hii, nitakutafuta Madame B
 
Last edited by a moderator:
Yaani weweeeeeeee...............hujambo Bishanga?
choka mbaya mwenzio,ndo navuka mto wami.Namshangaa BT anashindwa kuongelea mambo ya maana anasisitizia mambo inkonsikwensho,eti mwanaume akutimizie,akutimizie nini kama sio kukupeleleka kibo hut.
 
Last edited by a moderator:
na umehongwa sana hubby, khaaaaaaaaaa wenzio wanazitafutia hyatt, we unakuja kubunjua tu, nishaTHINK hubby nishaSTUKA! LOL
maumivu ya kichwa huanza poooole pole,ndo mwanzo wa kuachana ujue.
 
choka mbaya mwenzio,ndo navuka mto wami.Namshangaa BT anashindwa kuongelea mambo ya maana anasisitizia mambo inkonsikwensho,eti mwanaume akutimizie,akutimizie nini kama sio kukupeleleka kibo hut.

Lol..........pole mwaego, utamkuta The secretary anakusubiri akupe massage ya ukweee uchovu wote uishe.
 
Last edited by a moderator:
huyo mwanaume wa ukweli mmempata?...nataka kufunga mjadala...naona mnazunguka tu!

au ni The Boss ...au kidonge chenye nguvu Asprin au mzee anaetoka kabila la matambo.. Bishanga
 
Last edited by a moderator:
choka mbaya mwenzio,ndo navuka mto wami.Namshangaa BT anashindwa kuongelea mambo ya maana anasisitizia mambo inkonsikwensho,eti mwanaume akutimizie,akutimizie nini kama sio kukupeleleka kibo hut.

hehehhheeeeeeeee kibo hut mbona ni rahisi tu kupelekana?
Mradi msomane tu na mcheze ngoma moja
 
si unaona tunamfaidi huyo juma mgunda?? haya njoo na wewe uione ngondo, ebo! nitakuja fyatanga weekend hii, nitakutafuta Madame B

Shosti we njoo tu,utanikuta nimejaa tele kama pishi la Udaga.
Maana ndo Bar yangu kubwa na Viserengeti Boy vyangu.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom