naomba kuigilizia.......
na mimi kama charminglady.........
Hahahaaaa hadi anatoboa ukuta na kuona yanayijiri ndani ya mjengo eeeehndio ivo...
mtatra uyo!...
jicho moja lakaini anamulika kama X-rays!
duh, yan hao wembamba hata wakijificha nyuma ya nguzo ya umeme hawaonekani, ukimhug unazungusha mikono mara mbili lol!!!!!
Ni kweli BAGAH gonga kavu usaidie kupunguza pumba JF maana umezidi kuchafua hali ya hewa humuErickb52 nasikia na bei zimeshuka...
maana utafiti umeonesha wengine wameshindwa kutumia condom kwa sababu hawezi kununua...
mimi hata watoe bure,siwezi kula peremende na ganda lake...
BAGAH hivi Nicas Mtei nae bado ana tabia kama zako?kwi kwi kwi...
naonekana mvuta bangi hapa counter...
kitu kinaona hata kama hujala siku tatu inatambua...pyaaaaa...
athante kwa kuniunga mkono switiloh. . . yan ukiwa nae una-feel proud kha! akikuhug unakuwa kama katoto vile. . .
Mbona huna Avatal?BAGAH !
Kabla sijakujibu mada yako, hebu kachungulie Avatar yangu kwanza, kwani image hiyo huenda ikatosha kua jibu lako.