msafiri.razaro
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 1,244
- 744
Mimi huwa na shawishiwa na akili yangu. Wakati wowote nikitaka kutenda vitu kibaya nafsi yangu hunisuta, lakini akili inanituma nitende, na vyote viwili viko ndani yangu. Sasa shetani ni hadithi ambayo nimesimuliwa, lakini baada ya kujitafakali nimejua hakuna nafsi inayoitwa shetani inayo exist outside myself. Kama kweli ni shetani mimi naona ni mkanganyiko wa mawazo yanayopita akilini kwangu ambayo yanaleta matamanio na maamuzi ya mimi kufanya kitufulani ambacho kinakuwa kwenye chenye matokeo mazuri au mabaya. Hakuna tendo litendwalo bila kuwa wazo lililowazwa na akili. 1. Wazo kupitakwenye akili, 2. Linateta ushawishi na uamuzi wa kutenda kitendo 3. Hazaa matokea. 4. Tathimini ya matokeo ya kitendo hufanywa na nafsi.
Jibu: Hakuna dhambi nahakuna shetani bali kuna process ya uzalishaji wa vitendo vinyofanywa na mwanadamu kwa ajili ya maumbile. In short every man made is the products of thoughts through man mind. The only source of thoughts is the man himself not otherwise.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jibu: Hakuna dhambi nahakuna shetani bali kuna process ya uzalishaji wa vitendo vinyofanywa na mwanadamu kwa ajili ya maumbile. In short every man made is the products of thoughts through man mind. The only source of thoughts is the man himself not otherwise.
Hujajibu:
nauliza tena kuwa twaweza kutenda dhambi bila kushawishiwa na shetani? shetani ana athari yoyote juu ya wanadamu?
Sent using Jamii Forums mobile app

