Je, Mungu ndiye aliyeumba dhambi?

Je, Mungu ndiye aliyeumba dhambi?

Kwa hiyo dhambi haitokani na shetani? kwa hivyo mtu aweza kutenda DHAMBI bila ya shetani kuhusika?
mungu na shetani ni (nafsi), hivyo bhasi hakuna yoyote atakaekuja kukuamulia maamuzi yako ya msingi yawe (mazuri/mabaya) ispokuwa wewe mwenyewe.
na kumbuka, mwisho wa siku kila mtu atahukumiwa yeye kama yeye na si shetani kwa niaba ya mabaya yako.
 
Atahukumiwa na nani na kwa misingi ya sheria ipi?
mungu na shetani ni (nafsi), hivyo bhasi hakuna yoyote atakaekuja kukuamulia maamuzi yako ya msingi yawe (mazuri/mabaya) ispokuwa wewe mwenyewe.
na kumbuka, mwisho wa siku kila mtu atahukumiwa yeye kama yeye na si shetani kwa niaba ya mabaya yako.
 
Mkuu Augustine Moshi , watu wasioamini kuwa Mungu yupo, ni kwa sababu ya sifa anazopewa kuwa ni zake. Kwa hiyo watu wanatumia sifa zile kuonyesha kuwa hayupo.

Sasa, kabla haujawaambia takwa la Mungu kwa wanadamu, basi kwanza uwathibitishie kuwa ni kweli yupo.

Kwa, mfano Mungu anayetajwa kuwa ndio kaumba kila kitu!
Lakini wewe kwenye aya ya kwanza tu, umesema kuwa kaumba 'vitu' tu (ila hapa sikukuelewa kama unamaanisha tangible au vipi).

Kadiri yako ni kwamba kuna baadhi ya vitu(sijui nitumie neno gani hapo ili kuonyesha utofauti) ambavyo havikuumbwa, mfano sheria!!

Sasa hapa watu watataka uwaeleweshe kuwa, kumbe Sheria haikuumbwa na Mungu.

(Note: naomba kuuliza, hivi kuumba na kutengeneza, ni sawa kuyaexchange?)

Mstahiki Mpatto,

Hatuoni upepo lakini kuvuma kwake kunatufanya tujue upo. Hatumwoni Mungu kwa macho yetu ya nyama lakini uumbaji wake unatuwezesha, kwa akili tu bila hata imani, kufahamu kuwa yupo.

We can establish that God exists by reason alone. But we need faith to know who He is. There is zero probability that the beauty, order and immensity of nature are without a Creator.

Kuna hadithi ya msomi mmoja aliyeishi bila kufahamu uwepo wa Mungu, ila alipougua sana alipata woga na akajiuliza itakuwaje akifa akakuta kuna Mungu. He played it safe by praying like this: "Oh God, if at all you exist, accept my soul, if I have any"!

Wengi wanaosema hawaamini Mungu yupo ni wachokonozi tu. Mioyo yao inaamini kuna Mungu. Kingunge was a good example.
 
Mkuu, kwa hiyo unataka kumaanisha kuwa Mungu hayupo kila mahali!? Isipokuwa sehemu moja tu, nayo ni ya siri!?

Au unamaanisha kila mahali ni sehemu ya siri!?
Namaanisha sehemu ya siri ambayo wewe na Mimi hatuijui
 
Hiyo choice ya kuchagua "Mema" na "Mabaya" inaonyesha kumbe hayo mawili yaliwekwa kwa makusudi na Mungu?

Mheshimiwa Saguda47,

Malaika wabaya, yaani shetani, waliasi kabla ya sisi kuumbwa. Ya kwao ni mabaya, ya Mungu ni mema. Yalikuwepo mema na mabaya kabla ya kuumbwa kwa wazazi wetu wa kwanza.

Tuliumbwa na utashi huru wa kuchagua mema au mabaya. Kama nilivyosisitiza Mungu ni UPENDO. Uwepo wa mema na mabaya kunatupa uhuru wa kuchagua kumpenda au kutompenda.
 
Mheshimiwa Saguda47,

Malaika wabaya, yaani shetani, waliasi kabla ya sisi kuumbwa. Ya kwao ni mabaya, ya Mungu ni mema. Yalikuwepo mema na mabaya kabla ya kuumbwa kwa wazazi wetu wa kwanza.

Tuliumbwa na utashi huru wa kuchagua mema au mabaya. Kama nilivyosisitiza Mungu ni UPENDO. Uwepo wa mema na mabaya kunatupa uhuru wa kuchagua kumpenda au kutompenda.
Kwa hiyo tunaweza kusema uwepo wa dhambi hautegemei uwepo wa shetani?

yaani shetani anajitegemea na dhambi inajitegemea?
 
Haoni kwamba kuwepo na u tofauti wa kimaudhui kati ya Biblia na Quran na Misahafu mingine, kuna maanisha kuwa kila mtu amem model Mungu kulingana na yeye anavyoona ni jinsi gani Mungu anaweza kuwa?!

Hauoni kwamba kila mtu anasifa zake za kipekee kumuhusu Mungu, na hivyo basi kumbe kila mtu ana Mungu wake na kwahiyo hakuna Mungu wa pamoja!?
Unaposema Mungu unakusudia yupi?maa nilieleza kuwa anayekusudiwa ni mmoja ila maelezo kuhusu huyo mkusudiwa ndio hutofautiana.

Lakini pia kama nilivyosema hatuwezi kumjua Mungu kwa kutumia tu akili zetu bila kupata elimu ya kumjua huyo Mungu.
 
Kwa hiyo dhambi haitokani na shetani? kwa hivyo mtu aweza kutenda DHAMBI bila ya shetani kuhusika?
Usitake kumjua mungu au Shetani kabla kujijua wewe ni nani? Mazumuni ya maisha yako ni yapi? Start worring who responsible for your good and bad actions. Hivi kusingelikuwa na wezi ungejuaje uchungu wa kuibiwa? Kusingelikuwa kuuwa (kutoa uhai) u geli,osa nyama ya nyombe. Creation is perfect except you.
 
Wakuu hamjambo!

Kama kichwa cha Uzi huu kinavyouliza, Mimi nikiri kuwa naamini uwepo wa Mungu mmoja aliyeumba vyote vinavyoonekana na visivyoonekana pia.

Katika vitabu mbali mbali vya dini, tunaelezwa kuwa dhambi ilitokana na uasi alioufanya shetani dhidi ya Mungu, biblia inaenda mbali kwa kudai kuwa vita vilipiganwa huko mbinguni na shetani alishindwa na akatupwa duniani akiwa na theluthi ya malaika wakawa upande wake.

Maswali:

1. Ikiwa kabla ya shetani kuasi hakukuwa na dhambi yoyote ile, tena alikuwa mbinguni kwenye utakatifu wa MUNGU, je shetani alishawishiwa au alitoa wapi mawazo ya uasi Ikiwa hakukuwa na shetani yeyote mwingine?

2. Kama MUNGU hujua mwanzo hata mwisho wa viumbe vyake, INA maana alikuwa anajua kuwa shetani atakuja kuasi baadae na kusababisha dhambi, kwanini alimuumba?
Jambo la kufikiria hapa ni kuona kwamba MUNGU alimuumba shetani/Lucifer ( dhambi) mahususi ili kuja kuwa upande maovu. Dhana hii inadhihirisha kuwa MUNGU ndie aliyeumba dhambi.

3. Je, lengo la MUNGU lilikuwa mwanadamu aishi milele bila kufa?
Hapa kuna mazoea yalishajengeka hasa kwa wakristo na waislamu kuamini kuwa isingekuwa Eva/Hawa kudanganywa na Shetani basi Leo hii wanadamu wasingekuwa wanakufa ( immortal). Hii dhana haina mantiki hasa ukiwaza kuwa wanadamu wangezaliana na kuishi milele bila kufa nadhani dunia ingekuwa imejaa mabara na visiwa vyote.
Hivyo MUNGU akaamua kuleta mauti ili kudhibiti ( control) idadi ya wanadamu duniani isizidi uwezo wa rasilimali zilizopo, fikiri Leo hii watu wanauwana kugombania ardhi je ingekuwaje akina Adam na bibi yetu Eva wangekuwepo wote?

4. Je, Dini ni matokeo ya mwanadamu kumhofia shetani?
Tunaishi katika jamii ambazo kila MTU ana juhudi za kujikwamua kuondokana na shida Kama magonjwa, njaa, vita, ambazo Mara nyingi wanadamu wanahesabu kuwa hayo yote ni sababu ya shetani, na dini wanaona ndio kimbilio ili kumkwepa shetani asiwadhuru.
Lakini wao wanaamini kuwa wanasali ili kumtukuza MUNGU, lakini kiukweli dini ni hofu ( fear of unknown) isiyo na ithibati yoyote.

5. Je, Mungu anawapenda wanadamu? Hapa jibu laweza kuwa ni ndiyo, bahati mbaya sana ukiangalia uhalisia toka zamani kuna ugumu wa kusema ndiyo au hapana.
Tunaambiwa kuwa mbinguni kulikuwa na vita Kali sana, mwaishowe malaika aitwaye Mikaeli alimshinda shetani, Mungu akamtupa ibilisi huyo huyo duniani kwa wanadamu anaowapenda sana. Mungu hakuona sehemu nyingine ya kulitupa hilo joka ila duniani ambako ndio wanadamu aliwaweka. Hii ni sawa na kuwarushia watoto wako furushi lenye nge wengi huku umewafungia chumbani na kuwataka wajikinge wasing'atwe hata kidogo.

Nimekuja kuamini kuwa: MUNGU yupo ila dini zote ni michezo ya kukamata fikra za wanadamu tu, inawezekana kabisa kuwa dini ziluletwa na shetani mwenyewe ili kuwachonganisha wanadamu wasiishi kwa upendo na amani.
Angalia jinsi Palestine na Israel, syria , Iraq n.k wanavyouana kwa misingi ya dini.

Niishie hapo, naomba waumini/maswahaba mje mtueleze hizi hoja.

Cc: Mshana Jr
Cc: Kiranga
Na wanajamvi wote karibuni.
katika kutengeneza kitu chochote hakikosi kasoro na makosa.nimefunga hapo mjadala
 
Kuumba ni nini? Kuwa kilichoumbwa. To be. Kinyume ya hapo ni kutengeneza kitu ambacho kiko nje, kuna nafasi kati mtengenezaji na kilichotengezwa. Na huu ndio umekuwa uelewa wa wengi yaani kuna Mungu, Shetani, na Binadamu separated by time and space.
Mstahiki Mpatto,

Hatuoni upepo lakini kuvuma kwake kunatufanya tujue upo. Hatumwoni Mungu kwa macho yetu ya nyama lakini uumbaji wake unatuwezesha, kwa akili tu bila hata imani, kufahamu kuwa yupo.

We can establish that God exists by reason alone. But we need faith to know who He is. There is zero probability that the beauty, order and immensity of nature are without a Creator.

Kuna hadithi ya msomi mmoja aliyeishi bila kufahamu uwepo wa Mungu, ila alipougua sana alipata woga na akajiuliza itakuwaje akifa akakuta kuna Mungu. He played it safe by praying like this: "Oh God, if at all you exist, accept my soul, if I have any"!

Wengi wanaosema hawaamini Mungu yupo ni wachokonozi tu. Mioyo yao inaamini kuna Mungu. Kingunge was a good example.
 
Hadithi hebu prove.
Mheshimiwa Saguda47,

Malaika wabaya, yaani shetani, waliasi kabla ya sisi kuumbwa. Ya kwao ni mabaya, ya Mungu ni mema. Yalikuwepo mema na mabaya kabla ya kuumbwa kwa wazazi wetu wa kwanza.

Tuliumbwa na utashi huru wa kuchagua mema au mabaya. Kama nilivyosisitiza Mungu ni UPENDO. Uwepo wa mema na mabaya kunatupa uhuru wa kuchagua kumpenda au kutompenda.
 
Kwa mujibu wa Iman ya dini yangu, dhumuni kuu la Mwenyezi Mungu kutuleta duniani ni ili tumwabudu, sasa kama dhambi zisingekuwepo ni nini kingekuwa kipimo cha anaemuabudu na asiye muabudu, hivyo basi Mungu anao uwezo wa kuitokomeza dhambi lakini kwa makusudi aliamua kuiacha kwa makusudi kwa maana ya kama challenges kwetu ili kufikia kwenye kumuabudu kwa ukweli!!!!
Sasa kwanini katipa Challenge ilihali sisi ni kazi ya mikono yake!?
 
Hujajibu:
nauliza tena kuwa twaweza kutenda dhambi bila kushawishiwa na shetani? shetani ana athari yoyote juu ya wanadamu?
Usitake kumjua mungu au Shetani kabla kujijua wewe ni nani? Mazumuni ya maisha yako ni yapi? Start worring who responsible for your good and bad actions. Hivi kusingelikuwa na wezi ungejuaje uchungu wa kuibiwa? Kusingelikuwa kuuwa (kutoa uhai) u geli,osa nyama ya nyombe. Creation is perfect except you.
 
Kwa hiyo Mungu aliumba vitu vyenye mapungufu? huoni kuwa unakinzana na maelezo ya biblia kuwa Mungu aliumba vitu vilivyokamilika?
katika kutengeneza kitu chochote hakikosi kasoro na makosa.nimefunga hapo mjadala
 
Back
Top Bottom