Tz mbongo
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 15,096
- 8,902
Ishu sio kujitoa tu bali nimetaka kukuonesha kuwa dini ni zaidi ya mfumo tu wa maisha na ndio maana kuna watu walijitoa huko kwenye Ubuddha kwa sababu sicho walichokuwa wakikitafuta,na wewe kama ulitoka kwenye dini na ukakwamia kwenye ubuddha basi ni wazi umepata ulichokuwa ukikitafuta kwa maana ulikuwa ulikuwa ukitafuta mfumo wenye kukupendeza wa maisha.Mfano wako " hauko hai umekufa ... mbona hata Mimi nilishaingia kwenye huo mfumo wa hizi dini zenu halafu nikaja kujitoa ... so na mimi na wenzangu ambao walijitoa kama mimi utatatuzungumziaje " !!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivyo ndio nilivyomaanisha mkuu.