[emoji3][emoji3][emoji3] inawezekana umefariki haa haa haaaMimi nimeona Picha tu nape ameuliza swali akajibiwa na Silinde nikajiuliza Chadema ndio wenye serekali au nimefariki
Mara mia niangalia aljaziraSiyo Bunge tu, hata taarifa za habari kupitia vyombo vya ndani
aljazila Kuna nn Tena hukoMara mia niangalia aljazira
inaonekana huishi tanzaniaKwani kuna bunge la nini! Limeanza lini Kwanza?
Kusema ule ukweli mie nilikuwa sijui kama kuna bunge limeanza au lipoinaonekana huishi tanzania
Kupuuzwa ni aibu , maana yake ni kwamba hakuna anayelifuatilia na wala hiyo miswada yao haiungwi mkono na wananchi
Hivi mkuu Erythrocite rufaa ya hao bi dadas imeishia wapi? Aibu sana kwao na NdugaiCha kusikitisha wamo hadi wabunge wasio na vyama
Kikao kinachoweza kusikiliza rufaa yao kwa mwaka kinaitishwa mara moja tu , tuvute subiraHivi mkuu Erythrocite rufaa ya hao bi dadas imeishia wapi? Aibu sana kwao na Ndugai
Asante mkuu. Wa kujaladia maneno wako wengi.Kikao kinachoweza kusikiliza rufaa yao kwa mwaka kinaitishwa mara moja tu , tuvute subira
Hili, wenyewe, yaani wenye vyombo vya habari hawawezi kuliweka bayana, lakini linawaumiza kweli.Siyo Bunge tu, hata taarifa za habari kupitia vyombo vya ndani
Eeenh Heeee!Bunge leo lilikuwa la moto kweli; nilimona yule binti mrembo kutokea Tarime Mh. Ester Matiko akimbana waziri wa elimu Prof Ndalichako mpaka akshindwa kupumua!
Hiyo tathimini umeifanyia wapi? Kwa nini wewe unaangalia Bunge?Inasemekana kwamba hata ambaye amenyimwa macho basi angalau anapewa uwezo wa kunusa na kupapasa, hanyimwi vyote.
Ukweli niliouona (maana macho ninayo) ni kwamba wananchi wengi wamelipuuza na kulidharau kabisa bunge jipya linaloendelea Mjini Dodoma, wadau hawana habari nalo wala hawataki hata kufuatilia yanayojiri, taarifa zinaonyesha kwamba namna wabunge hao walivyopatikana na namna uchaguzi wa 2020 ulivyoendeshwa ndio sababu kubwa ya wananchi kulipuuza bunge hili.
Hawaoni kama wabunge walioingizwa bungeni kwa mbeleko ya chuma huku wengine wakiingizwa ndani ya bunge bila kuwakilisha chama chochote cha siasa kama Katiba ya nchi inavyotaka, kuna mashaka mazito kama wabunge hawa wa kutengeneza maabara wanaweza kuhoji masuala ya msingi , kwa ujumla wananchi wameamua kujitenga na bunge hili japo juhudi za kulitangaza zimekuwa kubwa mno !
Nakulilia Tanzania .
Nimekusoma na kuwaza..., kwani hawa wanajali historia au wanajali madaraka tu waliyonayo leo? Sioni kabisa katika hawa, na maana ya kusema 'hawa' ni huyo mmoja tu aliyeteka wengine wote akiwazia historia inamwona vipi.DOA JEUSI KATIKATI YA SHUKA JEUPE KWENYE UTAWALA WA JIWE ITABAKI KUWA HIVYO DAIMA DUMU
Kabisa mkuu, tatizo hata ya kwetu huko yanatupa shida. Unalima mpunga kuuza shida, unalima nanasi hivo hivo. Biashara nayo, sasa nchi ina shida ya mafuta ya kula tukkimbilia huko sijui.Kwanza ukitaka kua na amani nchi hii achana na kufuatilia habari za nchi hii mana ukifuatilia unapanda hasira mno ishi kama mkimbizi potezea taarifa ya habari,potezea haya mambo ya kucheki bunge Fanya yako mtakutana kwenye Kodi kwasababu ni mkimbizi unalipa kiroho safi
Hivi bunge limeanza?Inasemekana kwamba hata ambaye amenyimwa macho basi angalau anapewa uwezo wa kunusa na kupapasa, hanyimwi vyote.
Ukweli niliouona (maana macho ninayo) ni kwamba wananchi wengi wamelipuuza na kulidharau kabisa bunge jipya linaloendelea Mjini Dodoma, wadau hawana habari nalo wala hawataki hata kufuatilia yanayojiri, taarifa zinaonyesha kwamba namna wabunge hao walivyopatikana na namna uchaguzi wa 2020 ulivyoendeshwa ndio sababu kubwa ya wananchi kulipuuza bunge hili.
Hawaoni kama wabunge walioingizwa bungeni kwa mbeleko ya chuma huku wengine wakiingizwa ndani ya bunge bila kuwakilisha chama chochote cha siasa kama Katiba ya nchi inavyotaka, kuna mashaka mazito kama wabunge hawa wa kutengeneza maabara wanaweza kuhoji masuala ya msingi , kwa ujumla wananchi wameamua kujitenga na bunge hili japo juhudi za kulitangaza zimekuwa kubwa mno !
Nakulilia Tanzania .
Kuna mtu kasema hili sio bunge la JT bali kikao cha kamati maalum ya ccm.Inasemekana kwamba hata ambaye amenyimwa macho basi angalau anapewa uwezo wa kunusa na kupapasa, hanyimwi vyote.
Ukweli niliouona (maana macho ninayo) ni kwamba wananchi wengi wamelipuuza na kulidharau kabisa bunge jipya linaloendelea Mjini Dodoma, wadau hawana habari nalo wala hawataki hata kufuatilia yanayojiri, taarifa zinaonyesha kwamba namna wabunge hao walivyopatikana na namna uchaguzi wa 2020 ulivyoendeshwa ndio sababu kubwa ya wananchi kulipuuza bunge hili.
Hawaoni kama wabunge walioingizwa bungeni kwa mbeleko ya chuma huku wengine wakiingizwa ndani ya bunge bila kuwakilisha chama chochote cha siasa kama Katiba ya nchi inavyotaka, kuna mashaka mazito kama wabunge hawa wa kutengeneza maabara wanaweza kuhoji masuala ya msingi , kwa ujumla wananchi wameamua kujitenga na bunge hili japo juhudi za kulitangaza zimekuwa kubwa mno !
Nakulilia Tanzania .
mimi na wazalendo wengi mno hatuangalii kinachoitwa bunge la Tanzania , na tathmini hii imefanyika hapaHiyo tathimini umeifanyia wapi? Kwa nini wewe unaangalia Bunge?