Zakaria Lang'o
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 2,593
- 2,770
Sina haja na hilo Bunge hata kidogo. Bunge lenyewe linaongozwa na wagonjwa wa akili!!!
Bila shaka umetumia neno "wananchi" ukimaanisha wana Chadema maana unaona ni aibu siku hizi kujiita MWANACHADEMA!Inasemekana kwamba hata ambaye amenyimwa macho basi angalau anapewa uwezo wa kunusa na kupapasa, hanyimwi vyote.
Ukweli niliouona (maana macho ninayo) ni kwamba wananchi wengi wamelipuuza na kulidharau kabisa bunge jipya linaloendelea Mjini Dodoma, wadau hawana habari nalo wala hawataki hata kufuatilia yanayojiri, taarifa zinaonyesha kwamba namna wabunge hao walivyopatikana na namna uchaguzi wa 2020 ulivyoendeshwa ndio sababu kubwa ya wananchi kulipuuza bunge hili.
Hawaoni kama wabunge walioingizwa bungeni kwa mbeleko ya chuma huku wengine wakiingizwa ndani ya bunge bila kuwakilisha chama chochote cha siasa kama Katiba ya nchi inavyotaka, kuna mashaka mazito kama wabunge hawa wa kutengeneza maabara wanaweza kuhoji masuala ya msingi , kwa ujumla wananchi wameamua kujitenga na bunge hili japo juhudi za kulitangaza zimekuwa kubwa mno !
Nakulilia Tanzania .
umedanganywa halafu umelogwa pia !Bila shaka umetumia neno "wananchi" ukimaanisha wana Chadema maana unaona ni aibu siku hizi kujiita MWANACHADEMA!
Tundu Lissu anasema Kikao cha Kamati Kuu hadi April. Ahahahhhhhhaaa! Mtakuwa mshapata hela za kukodi ukumbi kweli?umedanganywa halafu umelogwa pia !
Tundu Lissu anasema Kikao cha Kamati Kuu hadi April. Ahahahhhhhhaaa! Mtakuwa mshapata hela za kukodi ukumbi kweli?umedanganywa halafu umelogwa pia !
Hujui kituTundu Lissu anasema Kikao cha Kamati Kuu hadi April. Ahahahhhhhhaaa! Mtakuwa mshapata hela za kukodi ukumbi kweli?
Yaaaap.Kumbe na wewe umeona ee,tumeiona hiyo kabisa walasio cha kuuliza.Kinachoendwlea Dodoma ni Halmashauri Kuu ya CCM
Kweli sijui ila nami nilichangia kumtoa jirani yangu na aliyekuwa Mwenyekiti wangu wa Mtaa hapa Mwanza Jiji Ndugu Mwakiaba, hasa pale nilipomwona mke wake akitembea huku akilia katika mitaa ya Kata ya Mkolani akiomba achangiwe ili mmewe na jirani yangu asifungwe!Hujui kitu
Naunga mkono hoja, hilo siyo bunge halali, mkuu wao anasema walimu wafundishe masomo matanoHicho ni kikao cha Kamati Kuu ya Ma CCM Nitafatilia ikiwa kuna Tangazo la TANZIA
Kwa ujumla ibilisi wajinga wote wamehamia kwenye hilo wanaloliita Bunge. Ndani ya lile jengo ndiyo mamlaka wakilishi ya shetani Tanzania.Wanafanya mambo ya kitoto na kipuuz bungeni halafu wanajiona wajanjaaaaa nakutuona sisi wajinga kama wao.
Ndalichako ashindwe kupumua, ana changamoto ya upumuaji?Bunge leo lilikuwa la moto kweli; nilimona yule binti mrembo kutokea Tarime Mh. Ester Matiko akimbana waziri wa elimu Prof Ndalichako mpaka akshindwa kupumua!
Awamu ya tatu itatajwa kama kipindi cha giza katika historia ya nchi yetu. Ni sawa na Wajerumani na mataifa ya Ulaya yanavyoukumbuka utawala wa Hitler. Mengi machafu yaliyofichika, yatakuja kuwekwa wazi.Bahati mbaya katika historia ya Taifa hili itabaki kuwa hivyo katika historia kwa vizazi vijavyo kuwa katika muhula wa pili wa utawala wa awamu yatano serikali iliongozwa bila ya muhimili wa tatu ambao ni Bunge.
Itasomeka hivyo kuwa kulikuwa hakuna Bunge kabisaaa bali lilikuwepo baraza liliundwa ili kuwakilisha kikundi cha watu walio shika dola na kutawala kwa mabavu kwa kutumia nguvu na sio kwa ridhaa ya wananchi.
Itasomeka kuwa baraza hilo liliundwa kuwakilisha kikundi hicho cha washika dola ili kutunga na kuidhinisha sheria sheria za kidhalimu na ukandamizaji kwa maslahi badala ya kuwakilisha wananchi kwa maslahi ya ustawi wa Taifa.
Historia hiyo ita thibitishwa na nyaraka mbalimbali zikiwemo nakala za magazeti picha mnato na video zikiknyesha viongozi waandamizi wa kikundi hicho wakiuambia umma jinsi gani watakavyoitumia dola kubaki madarakani.
Huku wengine wakiwathibishia wananchi kuwa hata wasipochagua CCM itashinda tu, na kubwa zaidi ni uvunjwaji na usiginaji wa katiba jambo ambalo pia litatumika kama kumbukumbu rejea katika mitaala ya elimu ya juu, si hapa Tanzania bali pia nchi jirani zinazofanana na sisi kimfumo.
Uthibitisho wa uvunjwaji wa katiba huo of corse ukiachilia mbali mambo kadhaa ya nyuma lakini kubwa ni kuwaingiza bungeni kina Dada 19 watakao endelea kujulukana kama COVID 19 ambao hawakuwa na sifa zakua wabunge kwa sababu hawakuwa na chama wanachokiwakilisha.
DOA JEUSI KATIKATI YA SHUKA JEUPE KWENYE UTAWALA WA JIWE ITABAKI KUWA HIVYO DAIMA DUMU
Ulimsikia alivyojibu pumba?