mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,714
Sio Bunge hata Utendaji wa Mahakama pia unatakiwa Mashaka makubwa
Achana na viini macho hivyo kama wale maprofesa waliokua wanakuja shuleni wameweka panga kichwani limekata nusu kichwa anaonekana anatiririka damu achaweeeKwa sababu nimeona bunge live wakati Ester akimkaba koo waziri. kama hukuiona wewe, basi tafuta hapa yutyube uone mpambano.
BUNGE linazidiwa Ubora na DANGULO la MAKAHABA..BUNGE LA HARAMU!!
Mkuu hilo liko wazi wala huna haja ya kulipinga. Wabunge wenyewe hawajitambui kuwa ni Wabunge na wako Bungeni kufanya nn. Sasa sisi raia tuhangaike kuwafutilia kwa lipi??Yani bunge ndo kwanza limeanza Leo Ila wewe umeshafanya tathmini ya Tanzania mzima kujua ni watu wangapi wanalifatilia loh[emoji3166]
Ni Kama huwajui wa tz bado tupo kwenye ishu ya Corona hakuna ajabu lolote bungeni kwa sasa subiri kitu kitokee huko ndo utakua Kama linafatiliwa ama laaa
Magazeti ndiyo kwishinehi kabisaSiyo Bunge tu, hata taarifa za habari kupitia vyombo vya ndani
Acha kufananisha bangi na vitu vya kijingaHilo siyo bunge bali ni bangi
Bawacha watakuwa wana matatizo ya kuzaliwa sio kwa ghubu hili wanalo lionyesho keep it upInasemekana kwamba hata ambaye amenyimwa macho basi angalau anapewa uwezo wa kunusa na kupapasa, hanyimwi vyote.
Ukweli niliouona (maana macho ninayo) ni kwamba wananchi wengi wamelipuuza na kulidharau kabisa bunge jipya linaloendelea Mjini Dodoma, wadau hawana habari nalo wala hawataki hata kufuatilia yanayojiri, taarifa zinaonyesha kwamba namna wabunge hao walivyopatikana na namna uchaguzi wa 2020 ulivyoendeshwa ndio sababu kubwa ya wananchi kulipuuza bunge hili.
Hawaoni kama wabunge walioingizwa bungeni kwa mbeleko ya chuma huku wengine wakiingizwa ndani ya bunge bila kuwakilisha chama chochote cha siasa kama Katiba ya nchi inavyotaka, kuna mashaka mazito kama wabunge hawa wa kutengeneza maabara wanaweza kuhoji masuala ya msingi , kwa ujumla wananchi wameamua kujitenga na bunge hili japo juhudi za kulitangaza zimekuwa kubwa mno !
Nakulilia Tanzania .
Hapana, kuna vikao vya chama ktk jina la bunge.Hivi kumbe Bunge bado lipo?
Mie nilishasahau kabisa yaani.
Hakika !Hapana, kuna vikao vya chama ktk jina la bunge.
Naona nawewe unajitahidi kupigania tumbo lako bila Kujali hatma ya wajukuu zako.Naona wote mliokosa ubunge mna steam out frustration zenu kwenye huu uzi kwa kuponda bunge!!!
Kisha wakisha lidhalau hilo bunge kunatokea hasara gani?Inasemekana kwamba hata ambaye amenyimwa macho basi angalau anapewa uwezo wa kunusa na kupapasa, hanyimwi vyote.
Ukweli niliouona (maana macho ninayo) ni kwamba wananchi wengi wamelipuuza na kulidharau kabisa bunge jipya linaloendelea Mjini Dodoma, wadau hawana habari nalo wala hawataki hata kufuatilia yanayojiri, taarifa zinaonyesha kwamba namna wabunge hao walivyopatikana na namna uchaguzi wa 2020 ulivyoendeshwa ndio sababu kubwa ya wananchi kulipuuza bunge hili.
Hawaoni kama wabunge walioingizwa bungeni kwa mbeleko ya chuma huku wengine wakiingizwa ndani ya bunge bila kuwakilisha chama chochote cha siasa kama Katiba ya nchi inavyotaka, kuna mashaka mazito kama wabunge hawa wa kutengeneza maabara wanaweza kuhoji masuala ya msingi , kwa ujumla wananchi wameamua kujitenga na bunge hili japo juhudi za kulitangaza zimekuwa kubwa mno !
Nakulilia Tanzania .
Kupuuzwa ni aibu , maana yake ni kwamba hakuna anayelifuatilia na wala hiyo miswada yao haiungwi mkono na wananchiKisha wakisha lidhalau hilo bunge kunatokea hasara gani?
Au wakilisifia kunapatikana faida gani?
Naomba.majibu hayo mawili ili niendelee kuchangia.
!!!!!!!!!!!!!!!!????????????/Inasemekana kwamba hata ambaye amenyimwa macho basi angalau anapewa uwezo wa kunusa na kupapasa, hanyimwi vyote.
Ukweli niliouona (maana macho ninayo) ni kwamba wananchi wengi wamelipuuza na kulidharau kabisa bunge jipya linaloendelea Mjini Dodoma, wadau hawana habari nalo wala hawataki hata kufuatilia yanayojiri, taarifa zinaonyesha kwamba namna wabunge hao walivyopatikana na namna uchaguzi wa 2020 ulivyoendeshwa ndio sababu kubwa ya wananchi kulipuuza bunge hili.
Hawaoni kama wabunge walioingizwa bungeni kwa mbeleko ya chuma huku wengine wakiingizwa ndani ya bunge bila kuwakilisha chama chochote cha siasa kama Katiba ya nchi inavyotaka, kuna mashaka mazito kama wabunge hawa wa kutengeneza maabara wanaweza kuhoji masuala ya msingi , kwa ujumla wananchi wameamua kujitenga na bunge hili japo juhudi za kulitangaza zimekuwa kubwa mno !
Nakulilia Tanzania .
Mkuu nakustahi sana,kinachoendelea Dodoma siyo Bunge bali mkutano wa CCM.Inasemekana kwamba hata ambaye amenyimwa macho basi angalau anapewa uwezo wa kunusa na kupapasa, hanyimwi vyote.
Ukweli niliouona (maana macho ninayo) ni kwamba wananchi wengi wamelipuuza na kulidharau kabisa bunge jipya linaloendelea Mjini Dodoma, wadau hawana habari nalo wala hawataki hata kufuatilia yanayojiri, taarifa zinaonyesha kwamba namna wabunge hao walivyopatikana na namna uchaguzi wa 2020 ulivyoendeshwa ndio sababu kubwa ya wananchi kulipuuza bunge hili.
Hawaoni kama wabunge walioingizwa bungeni kwa mbeleko ya chuma huku wengine wakiingizwa ndani ya bunge bila kuwakilisha chama chochote cha siasa kama Katiba ya nchi inavyotaka, kuna mashaka mazito kama wabunge hawa wa kutengeneza maabara wanaweza kuhoji masuala ya msingi , kwa ujumla wananchi wameamua kujitenga na bunge hili japo juhudi za kulitangaza zimekuwa kubwa mno !
Nakulilia Tanzania .