PreGE2025 Je, Mbowe kuchagua Heshima au Tamaa?

PreGE2025 Je, Mbowe kuchagua Heshima au Tamaa?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Akina Kigaila,Salum Mwalimu na John Mrema walizoea kupata hela za bure kwa, hawajawahi kupigiwa kura na mtu yeyote kuwa katikahizo nafasi walizozishikilia kwa miaka lukuki. Walizoea vya kunyonga vya kuchinja hawaviwezi.
 
Haya maandiko mengi ni dalili za kushindwa ndo maana mnatupa lawama na shutuma ambazo hamuwezi kuthibitisha.Hii ni aina nyingine ya ujinga mliyonayo uko chadema.Endeleani kuandika maandiko na kujifariji uku mitandaoni siku mkishtuka mtakuta muda sio rafiki kwenu.
 
WEWE mleta mada ,kwani mbowe anachama anachomiliki ,atoke aende walitoka akina zito sembuse FAM
 
Lissu alipoambiwa atoe ushahidi alisema aliyemthibitishia amekufa. Alisema alitoa taarifa katika Kamati Kuu ambapo kuna waliohudhuria walisema kuwa nako alishindwa kutoa ushahidi. Sasa hivi ni zaidi ya miezi mitatu toka washike madaraka. Makabrasha yote wanayo ikiwa pamoja na minutes za vikao vya Kamati Kuu. Mpaka sasa hivi wako kimya. Mambo ya Abduli yalikuwa ni kwa ajili ya kuchafuana. Kama pesa hizo zilikuwepo basi aliyezipokea ni Msigwa maana ndie aliye hamia CCM.

Amandla...
Abdul kahonga watu wengi sana. Alimfuata mpaka Mange USA. Sina shaka na Lissu na ushahidi alishautoa (kwenda nyumbani kwake) sijui unatafuta tena ushahidi gani. Hivi unajua kuwa Lissu wala hakuwa anataka kugombea uenyekiti ila aliyeanzisha mapambano ni Mbowe? Baada ya kuona Lissu hahongeki, akasuka mpango wa kumuondoa umakamu ili Wenje asimikwe. Alitaka Lissu apotee kabisa ili yeye aweze kutimiza masharti ta Samia. Hakujua kuwa uchaguzi utageuka na kumdididmiza yeye. Vita aliyoanzisha yeye ikamshinda.
 
Katika kipindi cha mpito Mbowe alipaswa amsaidie Lissu kuwaonyesha wananchi kuwa kukubali matokeo ilitokana na sauti ya wanachadema yeye alikuwa na fursa ya kuongoza miaka 20 ilitosha kabisa. Chadema ni chama ca wananchi siyo mtu biafsi.

mumeyasahau yale mautsi muliokuwa munamtukana?
 
Mbowe aliomba baada ya uchaguzi mwenyekiti atakayechaguliwa hatibu majeraha sasa kwa mujibu wa G55 wanasema kwamba wapo kwenye pipeline ya kufukuzwa wote waliomuunga mkono mbowe.

Kiongozi wa kanda anafukuzwa kwenye ngazi ya tawi kisa ni timu mbowe.

Tangia awali niliona na kuwashauri G55 waende CHAUMA tu naona hiyo tar 10 wakampe kampani MZee hashim rungwe Spunda kwenye sera yake ya KUSHIBA NA MAENDELEO ,Ubwabwa mashuleni na hospitalini.
 
Mbowe aliomba baada ya uchaguzi mwenyekiti atakayechaguliwa hatibu majeraha sasa kwa mujibu wa G55 wanasema kwamba wapo kwenye pipeline ya kufukuzwa wote waliomuunga mkono mbowe.

Kiongozi wa kanda anafukuzwa kwenye ngazi ya tawi kisa ni timu mbowe.

Tangia awali niliona na kuwashauri G55 waende CHAUMA tu naona hiyo tar 10 wakampe kampani MZee hashim rungwe Spunda kwenye sera yake ya KUSHIBA NA MAENDELEO ,Ubwabwa mashuleni na hospitalini.

Lissu yuko jela zaidi ya mwezi sasa hayo majeraha angeyatibuje?
Kazi ya kutibu majeraha ni ya wanachadema wote na si ya Lissu peke yake
 
Abdul kahonga watu wengi sana. Alimfuata mpaka Mange USA. Sina shaka na Lissu na ushahidi alishautoa (kwenda nyumbani kwake) sijui unatafuta tena ushahidi gani. Hivi unajua kuwa Lissu wala hakuwa anataka kugombea uenyekiti ila aliyeanzisha mapambano ni Mbowe? Baada ya kuona Lissu hahongeki, akasuka mpango wa kumuondoa umakamu ili Wenje asimikwe. Alitaka Lissu apotee kabisa ili yeye aweze kutimiza masharti ta Samia. Hakujua kuwa uchaguzi utageuka na kumdididmiza yeye. Vita aliyoanzisha yeye ikamshinda.
Tuzungumzie ushahidi wa kuwa Wenje aliongozana na Abduli kujaribu kumhonga. Wenje alisema kuwa alimpeleka Abduli ili amsaidie Lissu kulipwa pesa anazoidai serikali/ Bunge. Ikatoka clip ya Lissu akimwambia Abduli kuwa akimsaidia atakuwa rafiki yake wa milele! Inaelekea huo ndio ushahidi aliopeleka Wenje kwenye Kamati Kuu baada ya kushutumiwa kuwa alitaka kumhonga.

Pesa nyingine za Abduli ambazo Lissu alizozingumzia ni zile alizodai zimepenyezwa katika uchaguzi wa jimbo la Nyasa. Baada ya uchaguzi huo rafiki yake kipenzi akakimbilia kwa Abduli! Inawezekana kabisa kuwa Abduli alijaribu kumhonga Mange ili aache kumtukana mama yake. Ila haingii kichwani kwa mtu anaemjua Lissu kama Wenje ampelekee mtu wa kumhonga maana ni wazi kwa hulka yake ataliweka hadharani.

Inawezekana kabisa kuwa Mbowe alitaka Wenje agombee u Makamu Mwenyekiti baada ya kugundua kuwa kuna njama ovu dhidi yake. Ni haki yake kuchagua mgombea mwenza anaemuamini. Lakini pamoja na hayo hakumzuia Lissu kugombea urais.

Hayo masharti mnayozungumzia ya Samia ni yapi? Nini lilikuwa lengo lake? It does not make any sense. Mimi naamini Samia na wenzake hawakutaka Mbowe ashinde maana walijua kuwa itakuwa vigumu sana kuivuruga Chadema yeye akiwa Mwenyekiti.

Kwa kumchagua Lissu mmeingia wenyewe kwenye mkenge. Chini ya uongozi wake uliotukuka Chadema haitakuwa na mgombea wa nafasi yeyote katika uchaguzi wa mwaka huu. CCM itashinda kilaini kabisa. Na hawezi kulazimisha chama chake kugombea maana akifanya hivyo ataonekana mnafik kwa sababu hamna reforms kabla ya uchaguzi.

You have been played.

Amandla...
 
Walimkataa hadharani kwa kejeli na shutma kibao kuwa ni chawa wa Samia n.k. Sasa kwa nini wanahofia kuondoka kwake? Hakuna hata kiongozi mmoja aliyemuomba radhi kwa character assassination ambayo wafuasi wao walimfanyia.
Legacy ya Mbowe haitaathirika kwa uamuzi wowote atakao chukua. FAFO. Sasa mpo kwenye FO stage. Na bado.

Amandla...
Ingekuwa kila baada ya uchaguzi watu hhuombana misamaha basi ccm wngeshamuomba msamaha lowasa.
Kwani alitukanwa yeye tu au pande zote???
 
Ingekuwa kila baada ya uchaguzi watu hhuombana misamaha basi ccm wngeshamuomba msamaha lowasa.
Kwani alitukanwa yeye tu au pande zote???
Kwa hiyo sasa hivi Chadema kimekuwa CCM B ambacho kinaiga kila ambacho mkubwa wake anafanya?

Amandla...
 
Tuzungumzie ushahidi wa kuwa Wenje aliongozana na Abduli kujaribu kumhonga. Wenje alisema kuwa alimpeleka Abduli ili amsaidie Lissu kulipwa pesa anazoidai serikali/ Bunge. Ikatoka clip ya Lissu akimwambia Abduli kuwa akimsaidia atakuwa rafiki yake wa milele! Inaelekea huo ndio ushahidi aliopeleka Wenje kwenye Kamati Kuu baada ya kushutumiwa kuwa alitaka kumhonga.

Pesa nyingine za Abduli ambazo Lissu alizozingumzia ni zile alizodai zimepenyezwa katika uchaguzi wa jimbo la Nyasa. Baada ya uchaguzi huo rafiki yake kipenzi akakimbilia kwa Abduli! Inawezekana kabisa kuwa Abduli alijaribu kumhonga Mange ili aache kumtukana mama yake. Ila haingii kichwani kwa mtu anaemjua Lissu kama Wenje ampelekee mtu wa kumhonga maana ni wazi kwa hulka yake ataliweka hadharani.

Inawezekana kabisa kuwa Mbowe alitaka Wenje agombee u Makamu Mwenyekiti baada ya kugundua kuwa kuna njama ovu dhidi yake. Ni haki yake kuchagua mgombea mwenza anaemuamini. Lakini pamoja na hayo hakumzuia Lissu kugombea urais.

Hayo masharti mnayozungumzia ya Samia ni yapi? Nini lilikuwa lengo lake? It does not make any sense. Mimi naamini Samia na wenzake hawakutaka Mbowe ashinde maana walijua kuwa itakuwa vigumu sana kuivuruga Chadema yeye akiwa Mwenyekiti.

Kwa kumchagua Lissu mmeingia wenyewe kwenye mkenge. Chini ya uongozi wake uliotukuka Chadema haitakuwa na mgombea wa nafasi yeyote katika uchaguzi wa mwaka huu. CCM itashinda kilaini kabisa. Na hawezi kulazimisha chama chake kugombea maana akifanya hivyo ataonekana mnafik kwa sababu hamna reforms kabla ya uchaguzi.

You have been played.

Amandla...
Utetezi kama huu peleka huko mtaani kwenu ambako kuna mazuzu wasiojua ni nini kinaendelea nchini. Huna tofauti na dola inayoteka watu na kuua au kuwapiga halafu wanadai hawajui ni nani anahusika. Mimi siwezi kudanganyika kwani information zangu zinatoka credible sources.
 
Utetezi kama huu peleka huko mtaani kwenu ambako kuna mazuzu wasiojua ni nini kinaendelea nchini. Huna tofauti na dola inayoteka watu na kuua au kuwapiga halafu wanadai hawajui ni nani anahusika. Mimi siwezi kudanganyika kwani information zangu zinatoka credible sources.
Asane sana kwa elimu nzuri.
 
Yote hayo mnazungumza bila ushahidi wowote. Na haitachukuwa muda mtawasema hivyo hivyo hao ambao leo mnawasifia.

Amandla...
Ndiyo. Na wao wakikengeuka na kuacha misingi ya mapambano ya kulikomboa taifa hili toka mikononi mwa hawa wakoloni weusi; kwa nini tusiwaseme!

Lakini hata wewe unayasema hayo ukijuwa viongozi wapya ndani ya chama wamejipambanua, tofauti kabisa na genge lililokuwa limeshikwa na CCM kuwatumiksha.
 
Utetezi kama huu peleka huko mtaani kwenu ambako kuna mazuzu wasiojua ni nini kinaendelea nchini. Huna tofauti na dola inayoteka watu na kuua au kuwapiga halafu wanadai hawajui ni nani anahusika. Mimi siwezi kudanganyika kwani information zangu zinatoka credible sources.
Kwa hiyo unataka tukuamini kwa sababu tu unatuambia kuwa information zako zinatoka credible source! Mtu ambae jina lake amelificha. Stupid is as stupid does.

Amandla...
 
Ndiyo. Na wao wakikengeuka na kuacha misingi ya mapambano ya kulikomboa taifa hili toka mikononi mwa hawa wakoloni weusi; kwa nini tusiwaseme!

Lakini hata wewe unayasema hayo ukijuwa viongozi wapya ndani ya chama wamejipambanua, tofauti kabisa na genge lililokuwa limeshikwa na CCM kuwatumiksha.
Wewe wasema. Ndio shida ya kujiunga na cult. Hamsikii wala hamuambiwi. Eti wamejipambanua! Hamna ubavu wa kuwasema viongozi waliopo. Wenye ubavu ndio wameondoka, mmebakia watu wa mapambio na vuvuzela.

Amandla.
 
Wewe wasema. Ndio shida ya kujiunga na cult. Hamsikii wala hamuambiwi. Eti wamejipambanua! Hamna ubavu wa kuwasema viongozi waliopo. Wenye ubavu ndio wameondoka, mmebakia watu wa mapambio na vuvuzela.

Amandla.
"...cult...". Hili umelitowa wapi wewe!
Tatizo lako toka mwanzo mkuu 'Fundi', huna kumbukumbu yoyote unapoandika humu na kupanga makundi kichwani mwako.
Itakuchukua muda mfupi sana ukijaribu kutazama tu kilicho andikwa huko nyuma, humu humu JF; na kujiridhisha mwenyewe juu ya misimamo ya baadhi ya watu humu.
Hata siwezi kueleza ni 'likes' ngapi tulizogawana kati yetu wewe na mimi miaka miwili mitatu tu iliyopita. Leo hii tayari unatuweka kwenye "cult..."?
Wewe ulikuwa kwenye 'cult' wakati huo; na bado unaendelea na hiyo ya kwenu?
Sasa ni hivi, mkuu, nimalizane na wewe juu ya hili la kurusha rusha tu tope hovyo:
Ukitaka kujuwa "cult" inayo nihusu mimi, hiyo moja tu, inayohusu maslahi ya nchi yetu Tanzania na wananchi wake, basi. Hakuna "cult" nyingine yoyote zaidi ya hapo.

Nenda kamwambie Samia na genge lake lote. Akibadilika leo na kuwapa waTanzania haki ya kuwachagua viongozi wanaowataka wenyewe; na achaguliwe yeye na akaacha ushetani mwingine aliozoea, njoo hapa uniite kuwa ni mfuasi wa "cult" anayoiendesha Samia!

Sasa kama bado hunielewi maelezo yangu haya, sijui nijieleze vipi tena uweze kuelewa.
 
Kwa hiyo sasa hivi Chadema kimekuwa CCM B ambacho kinaiga kila ambacho mkubwa wake anafanya?

Amandla...

"...cult...". Hili umelitowa wapi wewe!
Tatizo lako toka mwanzo mkuu 'Fundi', huna kumbukumbu yoyote unapoandika humu na kupanga makundi kichwani mwako.
Itakuchukua muda mfupi sana ukijaribu kutazama tu kilicho andikwa huko nyuma, humu humu JF; na kujiridhisha mwenyewe juu ya misimamo ya baadhi ya watu humu.
Hata siwezi kueleza ni 'likes' ngapi tulizogawana kati yetu wewe na mimi miaka miwili mitatu tu iliyopita. Leo hii tayari unatuweka kwenye "cult..."?
Wewe ulikuwa kwenye 'cult' wakati huo; na bado unaendelea na hiyo ya kwenu?
Sasa ni hivi, mkuu, nimalizane na wewe juu ya hili la kurusha rusha tu tope hovyo:
Ukitaka kujuwa "cult" inayo nihusu mimi, hiyo moja tu, inayohusu maslahi ya nchi yetu Tanzania na wananchi wake, basi. Hakuna "cult" nyingine yoyote zaidi ya hapo.

Nenda kamwambie Samia na genge lake lote. Akibadilika leo na kuwapa waTanzania haki ya kuwachagua viongozi wanaowataka wenyewe; na achaguliwe yeye na akaacha ushetani mwingine aliozoea, njoo hapa uniite kuwa ni mfuasi wa "cult" anayoiendesha Samia!

Sasa kama bado hunielewi maelezo yangu haya, sijui nijieleze vipi tena uweze kuelewa.
Fundi anampenda Mbowe zaidi kuliko taasisi ya CHADEMA.

Yeye anaamini Mbowe katukanwa sana kwa hiyo ni sahihi atoboe mtumbwi mzima wa chama.

Asichotaka kuangalia kwa mapana ni kuwa hakuna aliyewahi kumtukana Mbowe na kumuumiza zaidi kuliko CCM, Sasa tunashangaa kuwa leo anataka kuiua CHADEMA badala ya kuunganisha nguvu na wanaCHADEMA wengine kuimaliza CCM.
 
Back
Top Bottom