- Thread starter
- #41
Inaweza ikawa kweli!
Inaweza ikawa kweli!
Kwa maana hiyo wakikamata ile 11 million bado na kwenye Uwaziri wanakamata kitu tena! Je ya Uwaziri ni bei gani vile?
Uliza kuna matabakamangapi ya wafanyakazi ndani ya serikali?Hebu tujadili hili - Je, ukiwa Waziri unakuwa unalipwa mishahara na marupurupu ya ubunge na kisha unaongezewa na ya Uwaziri au inakuwaje hapo?
Kumbe kulikuwa na sharia ya hivyo?Uliza kuna matabakamangapi ya wafanyakazi ndani ya serikali?
Je ile seria ya kuficha misahara na marurupu za enzi za msee mkapa imefutwa?
haipungui 8m take home, ukimwekea na mazagazaga mengine ya Ubunge na Uwaziri kwa mwezi hakosi 18 hadi 20m.Uwaziri ni bei gani salary zao?
Waziri ni mbunge, mshahara wake ni wa ubunge, posho hawezi kupewa sawa na wabunge wawapo bungeni yeye atapata posho sawa na mtumishi wa serikali. Kwa mantiki hiyo, akiwa tu nje ya kituo cha kazi.Hebu tujadili hili - Je, ukiwa Waziri unakuwa unalipwa mishahara na marupurupu ya ubunge na kisha unaongezewa na ya Uwaziri au inakuwaje hapo?
Du. Nitafanya kila namna niwe mbunge pia!Waziri ni mbunge, mshahara wake ni wa ubunge, posho hawezi kupewa sawa na wabunge wawapo bungeni yeye atapata posho sawa na mtumishi wa serikali. Kwa mantiki hiyo, akiwa tu nje ya kituo cha kazi.
Unafikiri wale wanaotoana jasho na nusura waumizane ktk michakato ni bure?Du. Nitafanya kila namna niwe mbunge pia!
Nimeelewa sasa Mkuu!Unafikiri wale wanaotoana jasho na nusura waumizane ktk michakato ni bure?
Cha ajabu,hatuoni la maana wanafanya isipokuwa kelele tuu,kampuni za maana wanazo watu wasio na kelele,nadhani kelele ya mwafrika huenda mungu haipendi kabisaMkuu hiyo ni siri siyo vizuri kutaja, sema ni nono zaidi ya mshahara wa Katibu Mkuu wa Wizara tofauti kama 3K
Analipwa mshahara wa uwaziri tu bungeni halipw mshahara bal poshoWaziri anakula 7m, hapo hujaweka ubunge
DuuMshahara kama mshahara wa mbunge haufiki 5M, fedha nyingi zinaitwa posho(8M) iliwasikatwe kodi mkuu, zimefichwa huko sababu posho haikatwi kodi
Kama ni siri mbona mshahara na posho za wabunge ziko waziMkuu hiyo ni siri siyo vizuri kutaja, sema ni nono zaidi ya mshahara wa Katibu Mkuu wa Wizara tofauti kama 3K
Umeona wapi?Kama ni siri mbona mshahara na posho za wabunge ziko wazi
Bashe je umemuachaje mkuu ni upuuzi over upuuuzUmewahi kumsikia waziri anawashukuru wananchi? huwa wanashukuru MUNGU na aliyemteua. Over maana hawajiki kwako, angalia madudu ya Gwajima, Mwigulu, Jafo, Kabudi n.k lakini bado wapo ofisi mpk aliyewateua atakapo choka.
Hii awamu inaviongozi wa hovyo wengi snBashe je umemuachaje mkuu ni upuuzi over upuuuz