- Thread starter
- #21
Kwani MWajiri wa Waziri si ni sisi wananchi?Sheria zinakataa mkuu mshahara ni siri kati ya mwajiri na mwajiriwa
Kwani MWajiri wa Waziri si ni sisi wananchi?Sheria zinakataa mkuu mshahara ni siri kati ya mwajiri na mwajiriwa
Vipi wanajeshi/polisi ambao ni viongozi wa taasisi mbalimbali? Unataka kusema Hamduni analipwa mshahara wa Polisi na PCCB?yap. si wabunge pia. maana wanakaim nafasi mbili za ubunge na uwaziri
Umewahi kumsikia waziri anawashukuru wananchi? huwa wanashukuru MUNGU na aliyemteua. Over maana hawajiki kwako, angalia madudu ya Gwajima, Mwigulu, Jafo, Kabudi n.k lakini bado wapo ofisi mpk aliyewateua atakapo choka.Kwani MWajiri wa Waziri si ni sisi wananchi?
Huwa wanawashukuru bhana!Umewahi kumsikia waziri anawashukuru wananchi? huwa wanashukuru MUNGU na aliyemteua. Over maana hawajiki kwako, angalia madudu ya Gwajima, Mwigulu, Jafo, Kabudi n.k lakini bado wapo ofisi mpk aliyewateua atakapo choka.
Umma wa Tanzania hawana shughuli na vitu hivyo! Ni watu wachache kama wanne tu ndiyo wanataka kujua! Ila wakitaka kuchokonoa vitu wanajiita umma! Halafu hao hao watasema ni kodi za umma, ambazo kwazo hazikidhi haja!Siri? Kwani c wanalipwa kwa pesa ya umma? Lazima umma wajue pesa zao zinatumikaje
Wachezaji tu mishahara binafsi wanatajwa sembuse pesa ya Umma maana mwajiri ni mwananchi sasa sisi tunawachagua hawa ila mishahara siri tena. Hawa wanalipwa pesa za umma na serikali ni watu nchi za wenzetu mishahara ya wanasiasa sio siri mishahara ya watumishi wa umma ni binafsi japo pia sio siri.Sheria zinakataa mkuu mshahara ni siri kati ya mwajiri na mwajiriwa
Ana kichaa ashukuru wananchi? labda wapiga kura wake na familia yake inavyompa rahaHuwa wanawashukuru bhana!
Huku ni tofauti ndiyo maana viongozi hawawajibiki kwa wananchi, katiba ya hovyo sn, kiongozi anaharibu anahamishwa au anapata promotion, eg Mganga hafai kuwa mtumishi wa umma maana umma hauna imani naye lakini kapata promotion badala ya demotionWachezaji tu mishahara binafsi wanatajwa sembuse pesa ya Umma maana mwajiri ni mwananchi sasa sisi tunawachagua hawa ila mishahara siri tena. Hawa wanalipwa pesa za umma na serikali ni watu nchi za wenzetu mishahara ya wanasiasa sio siri mishahara ya watumishi wa umma ni binafsi japo pia sio siri.
Kazi kweli kweli!Umma wa Tanzania hawana shughuli na vitu hivyo! Ni watu wachache kama wanne tu ndiyo wanataka kujua! Ila wakitaka kuchokonoa vitu wanajiita umma! Halafu hao hao watasema ni kodi za umma, ambazo kwazo hazikidhi haja!
Juzi nilikuwa nasikiliza waziri mkuu wa uingereza tu sijui alitumia pound alfu 15 kukarabati appartment tu wamemshukia aeleze nani kampa yaani wenzetu pesa ya umma sio yako hatari sisi kwa kweli bado tuna kazi sana kufikia level za uwajibikaji, Tutunze siri tu.....Huku ni tofauti ndiyo maana viongozi hawawajibiki kwa wananchi, katiba ya hovyo sn, kiongozi anaharibu anahamishwa au anapata promotion, eg Mganga hafai kuwa mtumishi wa umma maana umma hauna imani naye lakini kapata promotion badala ya demotion
Kama mwajiri ni mwananchi, basi huyo mwananchi anajua mshahara wa mfanya kazi wake! Muulize huyo mwananchi atakwambia.Wachezaji tu mishahara binafsi wanatajwa sembuse pesa ya Umma maana mwajiri ni mwananchi sasa sisi tunawachagua hawa ila mishahara siri tena. Hawa wanalipwa pesa za umma na serikali ni watu nchi za wenzetu mishahara ya wanasiasa sio siri mishahara ya watumishi wa umma ni binafsi japo pia sio siri.
Sisi siasa inalipa kuliko hata mgondi wa Mirerani mkuu, unakuwa juu ya kila kitu, jambo likiharibika anawajibishwa mtendaji/mtalaamu likiwa zuri anasifia mwanasiasaJuzi nilikuwa nasikiliza waziri mkuu wa uingereza tu sijui alitumia pound alfu 15 kukarabati appartment tu wamemshukia aeleze nani kampa yaani wenzetu pesa ya umma sio yako hatari sisi kwa kweli bado tuna kazi sana kufikia level za uwajibikaji, Tutunze siri tu.....
Jibu zuri sn comradeKama mwajiri ni mwananchi, basi huyo mwananchi anajua mshahara wa mfanya kazi wake! Muulize huyo mwananchi atakwambia.
Tuna mfumo wa hovyo snlakini mimi sishangai maana viongozi wote wakiwa wanaapa wao wanaapa kutunza siri tu hilo kwao ndio muhimu hakuna uwazi wao naapa kutunza siri naapa kutunza siri mimi nadhani duniani ni sisi tu tunaapa kutunza siri. Ndoa tu hatuapi kutunza siri.
Pia apo hujaweka dili zingine mana cheo ni dhamanaWaziri anakula 7m, hapo hujaweka ubunge
Tehe teheKama mwajiri ni mwananchi, basi huyo mwananchi anajua mshahara wa mfanya kazi wake! Muulize huyo mwananchi atakwambia.
Kama vile akialikwa kwenye vikao vya Taasisi zilizo chini yake, kuzindua au ziara na kadhalika na kadhalika na kadhalikaPia apo hujaweka dili zingine mana cheo ni dhamana
Rais Analipwa milion 9, kweli?Mkuu hiyo hapana siwezi kutaja hata kama siwezi kukamatwa lakini siyo vizuri kutoa hadharani, elewe tu kuwa ni mnono sn