Mzee wa Twitter
JF-Expert Member
- Nov 5, 2023
- 1,283
- 2,042
Wadau nawasabahi.
Kama kichwa cha habari kilivyo.
Je, ni kweli BUNGE hili lina uwezo wa kuisimamia na kuiwajibisha Serikali pindi ikibidi wakati huo huo serikali ndiyo inayowalipa mishahara minono na posho nono au Wananchi tunadanganywa?
Kama kichwa cha habari kilivyo.
Je, ni kweli BUNGE hili lina uwezo wa kuisimamia na kuiwajibisha Serikali pindi ikibidi wakati huo huo serikali ndiyo inayowalipa mishahara minono na posho nono au Wananchi tunadanganywa?