Maoni Chokonozi:Wabunge Wasiwe Mawaziri

ubongokid

JF-Expert Member
Apr 30, 2017
2,032
3,912
NImekaa Hapa Baada ya Mapunziko ya Weekend nimeona nilete mjadala mdogo.
Mjadala huu unahoji ni kwa nini Wabunge wanateuliwa Kuwa Mawaziri?Kuteu Mbunge kuwa waziri ni matumizi mabaya ya Rasilimali na Yanaondoa kabisa Msingi wa uwakilishi wa wananchi na uwajibikaji wa serikali.Bunge ni Muhimili unaojitegemea na Serikali nayo inajitegemea ni kwa nini Mtu awe Mbunge na wakati huo huo ni waziri?Je Bunge Linapopiga KURA inayohusu waizara yake au swala amblo Waziri ana masalhi nalo inakuwaje?

Kwa Upande wa Mishahara na Marupurupu inakuwaje?Yaani Mbunge na Waziri ina maana analipwa mishahara ya Kibunge na Mishahara ya kiwaziri.Huu ni ufisadi na unyonyaji wa wazi kabisa katika TAIFA letu

Wabunge Wabaki Bungeni.Rais ateue Baraza lake la Mawaziri ambalo sio Wabunge ambao wataitwa kwenye Kamati za BUnge na kufanyiwa Veting iwapo wanakidhi vigezo na kama wanakidhi na wana uwezo basi wanapitishwa.Hii ikiwa ni Pamoja na Nafasi ya Waziri Mkuu.

Je wewe unaonaje?
 
NImekaa Hapa Baada ya Mapunziko ya Weekend nimeona nilete mjadala mdogo.
Mjadala huu unahoji ni kwa nini Wabunge wanateuliwa Kuwa Mawaziri?Kuteu Mbunge kuwa waziri ni matumizi mabaya ya Rasilimali na Yanaondoa kabisa Msingi wa uwakilishi wa wananchi na uwajibikaji wa serikali.Bunge ni Muhimili unaojitegemea na Serikali nayo inajitegemea ni kwa nini Mtu awe Mbunge na wakati huo huo ni waziri?Je Bunge Linapopiga KURA inayohusu waizara yake au swala amblo Waziri ana masalhi nalo inakuwaje?

Kwa Upande wa Mishahara na Marupurupu inakuwaje?Yaani Mbunge na Waziri ina maana analipwa mishahara ya Kibunge na Mishahara ya kiwaziri.Huu ni ufisadi na unyonyaji wa wazi kabisa katika TAIFA letu

Wabunge Wabaki Bungeni.Rais ateue Baraza lake la Mawaziri ambalo sio Wabunge ambao wataitwa kwenye Kamati za BUnge na kufanyiwa Veting iwapo wanakidhi vigezo na kama wanakidhi na wana uwezo basi wanapitishwa.Hii ikiwa ni Pamoja na Nafasi ya Waziri Mkuu.

Je wewe unaonaje?
Hili swala limeshajibiwa na Katiba ya Waryoba..
Yaani Rasimu ya katiba ya JMT ambayo haijapitishwa..
Ikipitishwa itakuwa nzuri sana..

Baadhi ya vipengele vingine pia vipo kwenye katiba hiyo pitia hapa

Kipi kinafanya Rasimu ya katiba ya warioba ikose uhalali kwa Serikali na CHADEMA na Vyama vingine vya upinzani kuipigia kelele kuhalalishwa?
 
Mkuu ubongokid una hoja. Kenya, kupitia Katiba yao, walishafika hapo. Kinachofanyika ni Mawaziri hao kuidhinishwa na Bunge tu.

Ni jambo jema kuutenga muhimili wa Serikali na Bunge ili kila mmoja utende kazi zake ipasavyo. Mbunge kuwa Waziri ni kuchanganya mihimili hiyo.
 
Kuteu Mbunge kuwa waziri ni matumizi mabaya ya Rasilimali na Yanaondoa kabisa Msingi wa uwakilishi wa wananchi na uwajibikaji wa serikali.Bunge ni Muhimili unaojitegemea na Serikali nayo inajitegemea ni kwa nini Mtu awe Mbunge na wakati huo huo ni waziri?Je Bunge Linapopiga KURA inayohusu waizara yake au swala amblo Waziri ana masalhi nalo inakuwaje?
Je wewe unaonaje?
Naunga mkono hoja Je, Bunge letu linaendeshwa kikada? Ili tuwe na Bunge la haki, lenye uwezo wa kuisimamia Serikali Kikamilifu, kuna haja Spika asitokane na vyama?
P
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom