cotyledon
JF-Expert Member
- Aug 25, 2018
- 2,241
- 1,585
Kama sijaona mtu aliyetekwa, utaniaminisha vipi kwamba watu wanatekwa. Vile vile Kuna uthibitisho wowote kwamba hayati Magufuli aliteka watu. Na kutekwa kwa watu Kuna uhusiano gani na fani yake ya mziki. Kwanini mlazimishe akili zifananeHajakatazwa kuwa mwanaccm , alichotakiwa kujiongeza nacho ni kupiga watu kurundikwa kwenye viroba na maiti kuokotwa ufukweni , watu kutekwa