Je, Mapambano ya Wanaharakati na Diamond yana faida kwa nchi?

sidhan kama hawa ni real people, nna wasiwasi na harakati znazofanyika!
Nasikitika kuwa vyombo vyote vya habari maarufu duniani vimelidaka Jambo hili saa hizi tunatrend kote duniani mtu kupingwa na watu wake Ila sababu tu ndio zinazotia aibu!
 
Chadema imejaa utoto mwingi. Kama kinahitajika chama mbadala, kinachoweza shika madaraka baada ya CCM, tuandae chama, kingine. Chadema si chama sahihi
 
Kusaini petition sio kugonga like mwanangu,Kama hujui hiyo petition no Kati ya petition 4 zinazo trend duniani,imeushitua ulimwengu huenda Diamond akawa mtanzania maarufu zaidi duniani
Hoja ni kwamba anafatitiliwa na watu wengi sana. Hiyo 25000 ni watu na milioni 10 ni watu pia sasa 25000 wakikukataa wakati unakubalika na watu m. 10 huoni kama ni move ya kutafuta sehemu ya kutolea machungu. Kusaini kuna ugumu gani?
 
Hujaelewa au huelewi kabisa...

Kumbuka ulivyofundishwa shuleni kwenye somo la FASIHI kuwa, MSANII yeyote kama alivyo KIONGOZI yeyote ni KIOO CHA JAMII...

Kioo hakioneshi kisichoonekana. Jamii inatazama kile msanii anachofanya hadharani na kuonekana na kila mtu. Jamii ndiyo inayotoa hukumu ya kile msanii au kiongozi afanyacho..

Hayo ya kupewa milioni 100 unayajua wewe na yamefanyika sirini huko. Jamii haijishughulishi nayo hayo. Tunataka kumhukumu kwa kile anachokisambaza ktk jamii kupitia usanii wake. Kizuri au kibaya. Hapo kila mtu atajaji kivyake...

By the way, siyo kila sehemu/mahali palipo na pesa utakwenda kuchukua pesa hizo hata kama itabidi "uvuje jacho" kuzipata eti tu kwa sababu untafuta pesa...!

Alichofanya Diamond Platnumz na kujipatia hizo usemazo milioni 100 huko sirini ni ujambazi tu dhidi ya utu na haki za raia kwa kutumiwa na utawala katili wa CCM kwa jina la "kutoa burudani...."

Hapa ndipo lilipo tatizo ndugu. Fungua macho yako ya ndani uone. Acha kutazama kwa juu juu tu bila kutafakari...

The guy doesn't deserve any international recognition under this circumstances and we are going to make sure that is happening...!!
Katika lugha rahisi ni kwamba Diamond alichagua Pesa na sio utu.
 
Yule ni mfanyabiashara kaenda pale kufanya burudani baada ya kulipwa sio kufanya siasa ungeelewa Hili lisingekusumbua na kuna wengine wameenda pale kufuata burudani sio hotuba za wanasiasa ndio maana baada ya diamond kutumbuiza wanasepa shida ni nyinyi mnaoteseka
Sio mbaya akaendela na biashara zake Kama ulivyotujuza.aachane na hizi tuzo .
 
Kwa mliokuwa hamjui, ogopa sana mtu/watu wenye uwezo wa kuandika. Ukiandikwa majambo yako yote kwa namna inavyostahili, utapata au kukosa ukitakacho chote. Mwambie Diamond Platnumz apoe, akae, aombe radhi kwa umma na ajirekebishe. Akitunisha mabega anaweza kuishia hapa kwa sababu biashara yake inategemea sana public relations.
We jamaa una Akili nyingi Sana.
 
Yeye ni CCM pale tu analipwa mapene lakini yeye sio CCM Wala Hana kadi ya CCM pia yeye sio Chadema wasanii ambao ni CCM ni steve nyerere, Mwana fa, Babu tale,Shilole, irene uwoya. Diamond yupo kibiashara na ndio maana kikiisha tu kipindi Cha kampeni uwezi kumuona kwenye harakati za CCM.
Kadanganye Mabwege Wenzako.
Nyambafu.Aliyekuambia kuwa CCM Ni lazima uwe Kiongozi Ni Nani!!!???
 
Chadema imejaa utoto mwingi. Kama kinahitajika chama mbadala, kinachoweza shika madaraka baada ya CCM, tuandae chama, kingine. Chadema si chama sahihi
Na wengi wao ni wapumbavu waliojaa hasira kutokana na kukosa vya bure au kufikiria kuwa Kuna ambaye atawapa vya bure
 
Hoja ya hao wanaharakati ni kwamba Diamond hakusimama upande wa haki pindi uongozi wa awamu ya tano ukitekeleza uovu kwa watanzania na badala yake diamond alitumia title/platform alonayo kuwasafisha na kuwapigia debe hao wanaoitwa madhalimu wa utawala wa awamu ya tano

Sasa kabla ya kuja heading yako ilikua kwanz uhoji ni faida zipi walizopata watanzania wakati diamond amesimama upande dhalimu
Diamond ni mwanamziki na anafanya Kazi ya mziki, hizo haki watazisimamia wengine.
 
Mtu anaefuata haki kwa masilahi ya taifa ni mzuri kuliko yule anaefata kwa masilahi yake mweyewe.

Mond kafuata masilahi yake bila kujali position yake kama kioo cha jamii katika taifa
Mond alikuwa sahihi kuchagua upande anaoupenda. Huwezi kulazimisha unachoona ni sahihi KWAKO na kwa wengine ni sahihi
 
Hujaelewa au huelewi kabisa...

Kumbuka ulivyofundishwa shuleni kwenye somo la FASIHI kuwa, MSANII yeyote kama alivyo KIONGOZI yeyote ni KIOO CHA JAMII...

Kioo hakioneshi kisichoonekana. Jamii inatazama kile msanii anachofanya hadharani na kuonekana na kila mtu. Jamii ndiyo inayotoa hukumu ya kile msanii au kiongozi afanyacho..

Hayo ya kupewa milioni 100 unayajua wewe na yamefanyika sirini huko. Jamii haijishughulishi nayo hayo. Tunataka kumhukumu kwa kile anachokisambaza ktk jamii kupitia usanii wake. Kizuri au kibaya. Hapo kila mtu atajaji kivyake...

By the way, siyo kila sehemu/mahali palipo na pesa utakwenda kuchukua pesa hizo hata kama itabidi "uvuje jacho" kuzipata eti tu kwa sababu untafuta pesa...!

Alichofanya Diamond Platnumz na kujipatia hizo usemazo milioni 100 huko sirini ni ujambazi tu dhidi ya utu na haki za raia kwa kutumiwa na utawala katili wa CCM kwa jina la "kutoa burudani...."

Hapa ndipo lilipo tatizo ndugu. Fungua macho yako ya ndani uone. Acha kutazama kwa juu juu tu bila kutafakari...

The guy doesn't deserve any international recognition under this circumstances and we are going to make sure that is happening...!!
Diamond aliona hayati Magufuli anastahili kuchagulia ndo maana kampigia kampeni.
 
Back
Top Bottom