leonaldo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 2,585
- 3,179
Nasikitika kuwa vyombo vyote vya habari maarufu duniani vimelidaka Jambo hili saa hizi tunatrend kote duniani mtu kupingwa na watu wake Ila sababu tu ndio zinazotia aibu!sidhan kama hawa ni real people, nna wasiwasi na harakati znazofanyika!