Je, majukumu ya DCI ni yapi? Asiyeijua PGO awezaje kuwa DCI?

Baada ya kusikia uteuzi wa Ramadhan Kingai kuwa DCI, Akichukua nafasi ya Wambura , ambaye amepandishwa na kuwa IGP , watu wengi wamehoji UADILIFU wa Mamlaka ya uteuzi.

Wananchi kuhoji uteuzi huu si jambo la kushangaza, hii ni kwa sababu DCI ni Mtumishi wa umma , uteuzi wake unaweza kushangiliwa, kupuuzwa ama kuhojiwa, kuhoji uteuzi ama ajira yoyote ya mtumishi wa Umma haijawahi kuwa kosa kisheria na ndio maana Uteuzi wa Abdallah Zombe kuwa RPC Songwe ulihojiwa na hatimaye akakamatwa na kufunguliwa kesi ya aibu Mahakamani.

Kingai aliyekuwa RPC wa Kinondoni anafahamika kama Mmoja wa Maofisa wa Juu wa Jeshi la Polisi Tanzania ambaye hafahamu chochote kuhusu PGO, kwa Wasiofahamu PGO ndio mwongozo wa Jeshi la Polisi Tanzania katika utekelezaji wa Majukumu yake , PGO ndio Msahafu wa Jeshi la Polisi , asiyeifahamu hatakiwi si tu kuwa DCI , bali hatakiwi kuwa hata Konstebo , hili lilithibitika kwenye kesi ya Uongo aliyotumwa kuiandaa iliyoitwa Kesi ya Ugaidi ya Mbowe na wenzake watatu, Kingai akishirikiana na Mtoto wa Mahita ( IGP WA ZAMANI ) Walihusika kuanzia kumkamata Freeman Mbowe na kupekua nyumbani kwake, ambako ALINUKULIWA AKIMWAMBIA MBOWE KWAMBA SAFARI HII HUTOKI NA TUNAKUPA KESI YA UGAIDI, ( Hakuwahi kukanusha ) , hata hivyo Mbowe alitoka na yuko huru, mtu wa namna hii kumpa cheo cha DCI ni kichekesho na kituko kikubwa na ni dharau kubwa sana kwa Watanzania kulikofanywa na Mamlaka ya Uteuzi kwa sababu ya kulewa madaraka .

Labda sasa tuambiwe MAJUKUMU MAPYA YA DCI , bali kama ni yale yanayofahamika siku zote KINGAI HAFAI NA AONDOLEWE HARAKA, Kuanza upya siyo Ujinga.
Erythrocyte , CHADEMA should protest strongly about Kingai being elected to a position of DCI! Hii ni hatari, Chadema or upinzani wa kweli in general hamko salama. Kwa aliyoyafanya katika kesi ya kubambikiwa ya Mbowe, hafai kabisa. Huyu mama siye!
 
Watu wengi tumeshangaa mamlaka za uteuzi kufanya haya, labda ni Asante kwa kufanya aliyotumwa! Labda ni kusikiliza mamlaka kwa Kila anapopokea maagizo Toka juu hata kama hayana impact! Inatufanya tuamini sasa kwamba asali ya nchi hii inalambishwa kwa watu wa aina Moja tu? Na hili lisipopigiwa kelele huko tuendapo litaleta shida, nchi hii iswe ni ya aina ya watu wanaomfurahisha Alie juu tu, Tusifikia kama ya wahutu na watusi, tukaaminishwa Walamba Asali ni watu wa aina Fulani tu, na wengingine ni Walamba Simu. Mamlaka Angalieni Hili, wananchi hatupendezwi na hili!!
Niliandika kuwa Africa needs a second wave of liberation strugle, this time from fellow black colonialists, JF wakafuta uzi huo!
 
Uzi huu ni kwa Maslahi ya Taifa
Taifa lipi na wakati kwenye uzi umemtaja Mbowe kana kwamba Mbowe ndio taifa na taifa ndio Mbowe. Ki ukweli imeshaonesha wazi kuwa Mbowe hapendi hata kidogo kuona chawa wake mnatumia jina lake kwa lengo la kujitafutia ugali wenu huku mkimchonganisha yeye na mamlaka. Wenyewe mnajua mkionesha juhudi za kumpigania hata pale pasipostahili kupiganiwa mtaonekana wajanja mbele yake, na kumbe yeye anawachora tu jinsi mnapoteza muda wenu, nguvu zenu na akili zenu kwa ajili yake. Kumbuka siku ulioandika kuwa Mbowe akienda ikulu atakuwa amewasaliti wanachadema na wapenda haki mazima. Kesho yake Mbowe akapuuza mkwala wako, akaenda ikulu na bado mpaka leo unaendelea kumganda ganda na kuchafua CV za wengine kisa Mbowe. Hizi siasa za kuattack watu zishashindwa ndugu yang, angalieni njia nyingine nzuri za kutengeneza wanachama na wapiga kura wapya. Achaneni na hizi za kuchafuana toka enzi za Lowasa.
 
Ifike wakati wananchi tukatae ......maamuzi yetu yatatukwamua toka kwenye katiba mbovu na kufikia katiba nzuri. Nasema kwa Nia njema baada ya kutazama na kulinganisha tawala mbili chini ya JPM na SHS. Leo Kuna marekebisho mengi tu utawala wa Sasa unazipitia na kuboresha ambapo utawala uliopita ulionekana kuwa jinai.
Kwahiyo suluhu Ni katiba nzuri inayotokana na wenye nchi na siyo kwa watawala. Huwezi kutengeneza katiba ya wananchi ukiwa umezungukwa na bunduki na kuwafungulia wenye mawazo tofauti na wewe milango ya magereza.
 
Ifike wakati wananchi tukatae ......maamuzi yetu yatatukwamua toka kwenye katiba mbovu na kufikia katiba nzuri. Nasema kwa Nia njema baada ya kutazama na kulinganisha tawala mbili chini ya JPM na SHS. Leo Kuna marekebisho mengi tu utawala wa Sasa unazipitia na kuboresha ambapo utawala uliopita ulionekana kuwa jinai.
Kwahiyo suluhu Ni katiba nzuri inayotokana na wenye nchi na siyo kwa watawala. Huwezi kutengeneza katiba ya wananchi ukiwa umezungukwa na bunduki na kuwafungulia wenye mawazo tofauti na wewe milango ya magereza.
Swadakta
 
PGO gani mkuu unafikri yale ya kijinga ya wanasheria ndoo yanaweza mfanya asiwe mwelewa kwa taarifa yako Ramadhan kingai alikuwa Rco mkoa arusha mkoa huo siyo lelemama huyo jamaa yupi vizuri sana kesi ya mbowe mnaona kama hafai kwa kuwa huruma ya samia mbowe alitoka mahabusu lakini juwa angewaka mvua kesi nyingi zilizopita kwa kingai nyingi zinamafinikio huyo jamaa siyo wa mchezo
mafanikio gani mjinga tuu huyooo
 
Mbowe ashawambieni siasa za majitaka achaneni nazo, ila hamtaki usikia. Ukute Mbowe mwenyewe ashampigia mama kumpongeza kwa uteuzi huu, afu chawa from nowhere unakuja kujifanya una uchungu nae sana kuliko anavyojionea uchungu mwenyewe.

Hii ni aibu kubwa, siasa za namna hii hazina afya tena kwenye taifa letu, haswa baada ya wale waliokuwa viongozi wa chawa kulambishwa asali na mwenye mzinga.

View attachment 2298136

IMG_3548.jpg

watu wameshaachana na habari za akina mdee
 
PGO gani mkuu unafikri yale ya kijinga ya wanasheria ndoo yanaweza mfanya asiwe mwelewa kwa taarifa yako Ramadhan kingai alikuwa Rco mkoa arusha mkoa huo siyo lelemama huyo jamaa yupi vizuri sana kesi ya mbowe mnaona kama hafai kwa kuwa huruma ya samia mbowe alitoka mahabusu lakini juwa angewaka mvua kesi nyingi zilizopita kwa kingai nyingi zinamafinikio huyo jamaa siyo wa mchezo
Kule Arusha wakati akiwa huko kama RCO ndiyo wakati Sabaya alifanya uhuni wote ambao alihukumiwa kwa huo miaka 30 jela.
Kingai hakuwahi kuhoji wala kujiuliza ni kwa nini mtu ni DC mkoa mwingine na anakuja AR kunyang"anya watu hela za kulewea usiku kwenye mabaa kwa gia ya ukusanyaji kodi.
Kingai hafai kuaminiwa hata kazi ya utumishi wa house boy nyumbani achilia mbali u DCI.
To peak kingai as DCI is to prove with no doupt that our government is corrupt and rotten system.
 
Kule Arusha wakati akiwa huko kama RCO ndiyo wakati Sabaya alifanya uhuni wote ambao alihukumiwa kwa huo miaka 30 jela.
Kingai hakuwahi kuhoji wala kujiuliza ni kwa nini mtu ni DC mkoa mwingine na anakuja AR kunyang"anya watu hela za kulewea usiku kwenye mabaa kwa gia ya ukusanyaji kodi.
Kingai hafai kuaminiwa hata kazi ya utumishi wa house boy nyumbani achilia mbali u DCI.
To peak kingai as DCI is to prove with no doupt that our government is corrupt and rotten system.
Aiseeee !!!
 
Baada ya kusikia uteuzi wa Ramadhan Kingai kuwa DCI, Akichukua nafasi ya Wambura , ambaye amepandishwa na kuwa IGP , watu wengi wamehoji UADILIFU wa Mamlaka ya uteuzi.

Wananchi kuhoji uteuzi huu si jambo la kushangaza, hii ni kwa sababu DCI ni Mtumishi wa umma , uteuzi wake unaweza kushangiliwa, kupuuzwa ama kuhojiwa, kuhoji uteuzi ama ajira yoyote ya mtumishi wa Umma haijawahi kuwa kosa kisheria na ndio maana Uteuzi wa Abdallah Zombe kuwa RPC Songwe ulihojiwa na hatimaye akakamatwa na kufunguliwa kesi ya aibu Mahakamani.

Kingai aliyekuwa RPC wa Kinondoni anafahamika kama Mmoja wa Maofisa wa Juu wa Jeshi la Polisi Tanzania ambaye hafahamu chochote kuhusu PGO, kwa Wasiofahamu PGO ndio mwongozo wa Jeshi la Polisi Tanzania katika utekelezaji wa Majukumu yake , PGO ndio Msahafu wa Jeshi la Polisi , asiyeifahamu hatakiwi si tu kuwa DCI , bali hatakiwi kuwa hata Konstebo , hili lilithibitika kwenye kesi ya Uongo aliyotumwa kuiandaa iliyoitwa Kesi ya Ugaidi ya Mbowe na wenzake watatu, Kingai akishirikiana na Mtoto wa Mahita ( IGP WA ZAMANI ) Walihusika kuanzia kumkamata Freeman Mbowe na kupekua nyumbani kwake, ambako ALINUKULIWA AKIMWAMBIA MBOWE KWAMBA SAFARI HII HUTOKI NA TUNAKUPA KESI YA UGAIDI, ( Hakuwahi kukanusha ) , hata hivyo Mbowe alitoka na yuko huru, mtu wa namna hii kumpa cheo cha DCI ni kichekesho na kituko kikubwa na ni dharau kubwa sana kwa Watanzania kulikofanywa na Mamlaka ya Uteuzi kwa sababu ya kulewa madaraka .

Labda sasa tuambiwe MAJUKUMU MAPYA YA DCI , bali kama ni yale yanayofahamika siku zote KINGAI HAFAI NA AONDOLEWE HARAKA, Kuanza upya siyo Ujinga.
Labda ni mtu wa TISS na yuko police kwa Kazi maalum...ndio maana mambo yao mengi hayajui kiundani...Hayati JPM Amewahi kugusia jambo hili kipindi hicho anamteua DGI...
 
Back
Top Bottom