BALENSIAGA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2019
- 2,660
- 4,608
PGO gani mkuu unafikri yale ya kijinga ya wanasheria ndoo yanaweza mfanya asiwe mwelewa kwa taarifa yako Ramadhan kingai alikuwa Rco mkoa arusha mkoa huo siyo lelemama huyo jamaa yupi vizuri sana kesi ya mbowe mnaona kama hafai kwa kuwa huruma ya samia mbowe alitoka mahabusu lakini juwa angewaka mvua kesi nyingi zilizopita kwa kingai nyingi zinamafinikio huyo jamaa siyo wa mchezo
- Ulikuwa unasoma Maswali aliyokuwa anaulizwa na MaWakili Wasomi kina Kibatala?
- Kwa modality ya ujibuji ule PGO ilikuwa inampiga chenga