Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 875
- 4,101
Sijui kama ni Mimi peke yangu ndiye simwelewi DCI Kingai au ni watu wengi? Matukio ya Uhalifu yameongezeka Sana siku za hivi karibuni. Polisi kutunishiana misuli na raia limekuwa Jambo la kawaida lakini kibaya zaidi NI kuongezeka Kwa matukio ya Askari kufanya mauaji Kwa raia kizembe wakati wanatekeleza majukumu Yao.
Haya yote yanatokea wakuu wapolisi WA mikoa ndio wamebaki na dhamana yakujichunguza au kutolea ufafanuzi matukio yaliyotendwa na Askari waliopo kwenye maeneo Yao. Kutoa taarifa siyo tatizo, tatizo kubwa NI Aina ya taarifa wanayotoa. Nimpongeze RPC Rorya ameweza kuweka wazi kwenye taarifa yake kwamba Askari wameua Kwa uzembe na wamekamatwa.
Huko Geita Askari Kwa kushirikiana na wataalam wataalam WA afya wametoa taarifa ya uongo na kupelekea kituo cha polisi kuchomwa Moto na wananchi Kugoma kumzika mpendwa wao. Kwanini polisi walidanganya, nikutokana na ukweli kwamba bado DCI ajataka kujipambanua kama mpenda Haki.
Lakini pia kuonyesha kwamba bado majukumu yake yanapwaya, ameelekezwa na IGP aende Geita kuzungumza na wananchi; hii siyo sawa. Alipaswa yeye mwenyewe kuunda tume ya uchunguzi asubiri kuletewa taarifa akiwa kama bosi WA uchunguzi nchini. Tukio lile linahusu jinai ambayo yeye ndiye mwenye final opinion kwenye uchunguzi WA jinai; anapokwenda field ataepuka vipi kuwa biased kwenye matokeo ya uchunguzi?
Lakini pia katika eneo jingine ninapotaka ayachungulie vyema majukumu yake ni kuhusu wizi uliofanywa kwenye mfuko wa maafa wa Jeshi la polisi. CAG amesema na Mhe Rais akasema; tulitegemea yeye kama mkuu WA upelelezi awe ameanza kuchukua hatua lakini hakuna hatua zilizochukuliwa badala yake mtuhumiwa mmoja anaripotiwa yupo S. Africa eti katoroka.
Wakati mtuhumiwa akiripotiwa kutoroka kamati ya chama tawala chini ya Mwenyekiti ambaye NI Mhe. Rais inatoka na maazimio kwamba hatua zichuliwe Kwa wote walioiba Mali za umma. DCI Kwa kipindi hiki hakupaswa kwenda Geita alipaswa kutuambia NI hatua gani ameanza kuchukua kutekeleza maelekezo ya Mhe. Rais.
Hii nitafakuri yangu naweza nikawa nawaza sahihi au wrong ila nimewaza kumsaidia Kingai kuchanga karata vyema kwenye kiti alichokalia. Wapo wengi wanakimendea hivyo nampa ushauri awe active, professional, leader na aboreshe mahusiano Kati yake na mnyororo mzima WA upelelezi nchini. Awakumbushe watendaji wake Do and Don't itamsaidia Sana kuvuka kiunzi kilichopo mbele yake.
Mwisho, nimwonbe akae vizuri na DPP aliyepo sasa; simfahamu vyema Ila kuna mabadiliko naamini ameyafanya Kwa waendesha mashtaka...kelele dhidi ya Ofisi ya DPP zimepungua Kwa Kasi Sana. Maana yake huyu akiwa ni mdau mkubwa WA wapelelezi basi achote strategy kwake kelele za upelelezi zipungue kwenye jamaa na trust irudi.
Narudia tena, maoni haya siyo binding, nimaoni binafsi kuhusu kuongezeka Kwa Uhalifu, upashanaji habari na uwezo wakurespond Kwa wakati periority issue. Amri ya Mhe. Rais ni kubwa, aangalie wakati na ajifunze kudeligate powers
Haya yote yanatokea wakuu wapolisi WA mikoa ndio wamebaki na dhamana yakujichunguza au kutolea ufafanuzi matukio yaliyotendwa na Askari waliopo kwenye maeneo Yao. Kutoa taarifa siyo tatizo, tatizo kubwa NI Aina ya taarifa wanayotoa. Nimpongeze RPC Rorya ameweza kuweka wazi kwenye taarifa yake kwamba Askari wameua Kwa uzembe na wamekamatwa.
Huko Geita Askari Kwa kushirikiana na wataalam wataalam WA afya wametoa taarifa ya uongo na kupelekea kituo cha polisi kuchomwa Moto na wananchi Kugoma kumzika mpendwa wao. Kwanini polisi walidanganya, nikutokana na ukweli kwamba bado DCI ajataka kujipambanua kama mpenda Haki.
Lakini pia kuonyesha kwamba bado majukumu yake yanapwaya, ameelekezwa na IGP aende Geita kuzungumza na wananchi; hii siyo sawa. Alipaswa yeye mwenyewe kuunda tume ya uchunguzi asubiri kuletewa taarifa akiwa kama bosi WA uchunguzi nchini. Tukio lile linahusu jinai ambayo yeye ndiye mwenye final opinion kwenye uchunguzi WA jinai; anapokwenda field ataepuka vipi kuwa biased kwenye matokeo ya uchunguzi?
Lakini pia katika eneo jingine ninapotaka ayachungulie vyema majukumu yake ni kuhusu wizi uliofanywa kwenye mfuko wa maafa wa Jeshi la polisi. CAG amesema na Mhe Rais akasema; tulitegemea yeye kama mkuu WA upelelezi awe ameanza kuchukua hatua lakini hakuna hatua zilizochukuliwa badala yake mtuhumiwa mmoja anaripotiwa yupo S. Africa eti katoroka.
Wakati mtuhumiwa akiripotiwa kutoroka kamati ya chama tawala chini ya Mwenyekiti ambaye NI Mhe. Rais inatoka na maazimio kwamba hatua zichuliwe Kwa wote walioiba Mali za umma. DCI Kwa kipindi hiki hakupaswa kwenda Geita alipaswa kutuambia NI hatua gani ameanza kuchukua kutekeleza maelekezo ya Mhe. Rais.
Hii nitafakuri yangu naweza nikawa nawaza sahihi au wrong ila nimewaza kumsaidia Kingai kuchanga karata vyema kwenye kiti alichokalia. Wapo wengi wanakimendea hivyo nampa ushauri awe active, professional, leader na aboreshe mahusiano Kati yake na mnyororo mzima WA upelelezi nchini. Awakumbushe watendaji wake Do and Don't itamsaidia Sana kuvuka kiunzi kilichopo mbele yake.
Mwisho, nimwonbe akae vizuri na DPP aliyepo sasa; simfahamu vyema Ila kuna mabadiliko naamini ameyafanya Kwa waendesha mashtaka...kelele dhidi ya Ofisi ya DPP zimepungua Kwa Kasi Sana. Maana yake huyu akiwa ni mdau mkubwa WA wapelelezi basi achote strategy kwake kelele za upelelezi zipungue kwenye jamaa na trust irudi.
Narudia tena, maoni haya siyo binding, nimaoni binafsi kuhusu kuongezeka Kwa Uhalifu, upashanaji habari na uwezo wakurespond Kwa wakati periority issue. Amri ya Mhe. Rais ni kubwa, aangalie wakati na ajifunze kudeligate powers