DCI Ramadhani Kingai alitaka Jeshi la polisi kutenda haki kwa wananchi

seedfarm

JF-Expert Member
Feb 9, 2020
260
2,654
Akiwa mkoani mwanzo akiongea na maafisa wa Polisi DCI Ramadhani Kingai amesema kila wakati Jeshi la polisi linanyoshewa vidole kutokana na baadhi ya polisi kutotenda haki kwa wananchi kwa kuwanyima dhamana zao

DCI Kingai amesisitiza Jeshi la polisi lazima libadilike kwa baadhi ya polisi kuacha kuchukua rushwa na kubambikia kesi wananchi

DCI Kingai amesisitiza hatakubali kuona mtu mmoja anasababisha Jeshi nzima la polisi kuonekana halifai kisa kunyima haki wananchi

Chanzo ni ITV habari saa mbili usiku

Kwa wasiomjua Bwana Ramadhani Kingai kabla ya kuwa DCI huyu ndiye aliyekuwa shahidi mkuu wa jamhuri kwenye kesi ya Mbowe na wale Makomando

Kwa mujibu wa ushahidi wake Bwana Afande Kingai mahakamani kwenye kesi ya Freeman Mbowe alipobanwa na akina Peter Kibatala kila mtu hapa JF na watanzania kwa ujumla Walishuhudia kesi ya kupikwa na kusababisha Freeman Mbowe na wenzake kukaa jela bila dhamana

Afande Kingai huyu huyu Leo anasisitiza haki kwa wananchi na wananchi wapewe dhamana zao

Hii unaweza kusema ukishangaa ya Musa utayaona ya Firauni

Hii unaweza kusema pia wonders shall never end

Hii nchi lazima tuwe na mifumo itakayowafanya watawala wawaheshimu wananchi, Mtu kama Kingai hakupaswa kuwa DCI hata kidogo kwenye nchi zinazosimamia sheria na utawala bora
 
Sihitaji kumsemea vibaya huyo kingai kwa sababu ndiyo ameshapewa na amekuwa DCI haya mengine ni kelele tu sawa na ni kumtusi Magufuri wkt huu, haisaidii kitu.
 
Akiwa mkoani mwanzo akiongea na maafisa wa Polisi DCI Ramadhani Kingai amesema kila wakati Jeshi la polisi linanyoshewa vidole kutokana na baadhi ya polisi kutotenda haki kwa wananchi kwa kuwanyima dhamana zao

DCI Kingai amesisitiza Jeshi la polisi lazima libadilike kwa baadhi ya polisi kuacha kuchukua rushwa na kubambikia kesi wananchi

DCI Kingai amesisitiza hatakubali kuona mtu mmoja anasababisha Jeshi nzima la polisi kuonekana halifai kisa kunyima haki wananchi

Chanzo ni ITV habari saa mbili usiku

Kwa wasiomjua Bwana Ramadhani Kingai kabla ya kuwa DCI huyu ndiye aliyekuwa shahidi mkuu wa jamhuri kwenye kesi ya Mbowe na wale Makomando

Kwa mujibu wa ushahidi wake Bwana Afande Kingai mahakamani kwenye kesi ya Freeman Mbowe alipobanwa na akina Peter Kibatala kila mtu hapa JF na watanzania kwa ujumla Walishuhudia kesi ya kupikwa na kusababisha Freeman Mbowe na wenzake kukaa jela bila dhamana

Afande Kingai huyu huyu Leo anasisitiza haki kwa wananchi na wananchi wapewe dhamana zao

Hii unaweza kusema ukishangaa ya Musa utayaona ya Firauni

Hii unaweza kusema pia wonders shall never end

Hii nchi lazima tuwe na mifumo itakayowafanya watawala wawaheshimu wananchi, Mtu kama Kingai hakupaswa kuwa DCI hata kidogo kwenye nchi zinazosimamia sheria na utawala bora

Haki ipi kamtendea Mosses Lijenje?
 
Akiwa mkoani mwanzo akiongea na maafisa wa Polisi DCI Ramadhani Kingai amesema kila wakati Jeshi la polisi linanyoshewa vidole kutokana na baadhi ya polisi kutotenda haki kwa wananchi kwa kuwanyima dhamana zao

DCI Kingai amesisitiza Jeshi la polisi lazima libadilike kwa baadhi ya polisi kuacha kuchukua rushwa na kubambikia kesi wananchi

DCI Kingai amesisitiza hatakubali kuona mtu mmoja anasababisha Jeshi nzima la polisi kuonekana halifai kisa kunyima haki wananchi

Chanzo ni ITV habari saa mbili usiku

Kwa wasiomjua Bwana Ramadhani Kingai kabla ya kuwa DCI huyu ndiye aliyekuwa shahidi mkuu wa jamhuri kwenye kesi ya Mbowe na wale Makomando

Kwa mujibu wa ushahidi wake Bwana Afande Kingai mahakamani kwenye kesi ya Freeman Mbowe alipobanwa na akina Peter Kibatala kila mtu hapa JF na watanzania kwa ujumla Walishuhudia kesi ya kupikwa na kusababisha Freeman Mbowe na wenzake kukaa jela bila dhamana

Afande Kingai huyu huyu Leo anasisitiza haki kwa wananchi na wananchi wapewe dhamana zao

Hii unaweza kusema ukishangaa ya Musa utayaona ya Firauni

Hii unaweza kusema pia wonders shall never end

Hii nchi lazima tuwe na mifumo itakayowafanya watawala wawaheshimu wananchi, Mtu kama Kingai hakupaswa kuwa DCI hata kidogo kwenye nchi zinazosimamia sheria na utawala bora
Je una uhakika hgani kuwa mboye hakupanga kweli nyamaa yoyote ile

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Akiwa mkoani mwanzo akiongea na maafisa wa Polisi DCI Ramadhani Kingai amesema kila wakati Jeshi la polisi linanyoshewa vidole kutokana na baadhi ya polisi kutotenda haki kwa wananchi kwa kuwanyima dhamana zao

DCI Kingai amesisitiza Jeshi la polisi lazima libadilike kwa baadhi ya polisi kuacha kuchukua rushwa na kubambikia kesi wananchi

DCI Kingai amesisitiza hatakubali kuona mtu mmoja anasababisha Jeshi nzima la polisi kuonekana halifai kisa kunyima haki wananchi

Chanzo ni ITV habari saa mbili usiku

Kwa wasiomjua Bwana Ramadhani Kingai kabla ya kuwa DCI huyu ndiye aliyekuwa shahidi mkuu wa jamhuri kwenye kesi ya Mbowe na wale Makomando

Kwa mujibu wa ushahidi wake Bwana Afande Kingai mahakamani kwenye kesi ya Freeman Mbowe alipobanwa na akina Peter Kibatala kila mtu hapa JF na watanzania kwa ujumla Walishuhudia kesi ya kupikwa na kusababisha Freeman Mbowe na wenzake kukaa jela bila dhamana

Afande Kingai huyu huyu Leo anasisitiza haki kwa wananchi na wananchi wapewe dhamana zao

Hii unaweza kusema ukishangaa ya Musa utayaona ya Firauni

Hii unaweza kusema pia wonders shall never end

Hii nchi lazima tuwe na mifumo itakayowafanya watawala wawaheshimu wananchi, Mtu kama Kingai hakupaswa kuwa DCI hata kidogo kwenye nchi zinazosimamia sheria na utawala bora
Kmmmk
 
Je una uhakika hgani kuwa mboye hakupanga kweli nyamaa yoyote ile

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mkuu ulifuatilia hii kesi vizuri tangu mwanzo

Kulikuwa na kesi ndani ya kesi ambazo majaji walizitolea maamuzi hivyo ukweli ulijulikana kabla ya kesi ya msingi

Kesi ndani ya kesi, Mashahidi walihojiwa karibu wote na majaji walitoa uamuzi wa hizo kesi ndogo kabla ya kesi ya msingi

Mkuu wewe uelewa wako utakuwa mdogo sana, Unahitaji spoonfeeding
 
Hawa ndio huwa wasema nguruwe hatuli ila mchuzi wake tunakunywa! Kwenye nchi zilizo na utawala bora Kingai alitakiwa kuwa pembeni na ameshaundiwa tume kuhusu uhusika wake kwenye kesi feki ya Mbowe
 
Back
Top Bottom