Jumong S
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 7,312
- 10,494
- Thread starter
- #321
Nipo na Li-Qur'an hapa home nikuambie nalifanyia Nini baada ya kulisoma?Unadhani ni kitabu cha mchezo mtu atume hovyo au unadhani juha kama wewe ukipewa utaweza soma? Qur'an na kitakatifu ili ukishike inabidi uwe msafi wa mwili na roho usifananishe qur'an na vitabu vya riwaya vilivyo tungwa na walevi kwa maslahi yao yakupasa ukiheshimu si kitabu kama vitabu vingine ni kitabu cha muongozo