Je, kwa kilichotokea Jana pale Durban hasa kwa Stellenbosch FC kukosa Haki zao katika Matukio Mawili ya VAR tunaamini kuwa BAHATI ipo Maishani?

Je, kwa kilichotokea Jana pale Durban hasa kwa Stellenbosch FC kukosa Haki zao katika Matukio Mawili ya VAR tunaamini kuwa BAHATI ipo Maishani?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
63,006
Reaction score
126,388
Mimi ni Simba SC damu damu ila labda tu uwe ni Mpumbavu, Mshamba na huujui Mpira na wala hujaucheza pia ndiyo yo utaweza Kukataa kuwa yale Matukio yote Makubwa mawili yaliyopelekea Mwamuzi kutumia VAR kuyaamua yalikuwa ni sahihi ila ni BAHATI tu na NYOTA ya Siku ndiyo viliibeba Simba SC yetu?

Ninajua leo wengi Wenu mtakuja Kunibishia / Kunikatalia hili kwakuwa tayari Timu yetu imeshafuzu, ila Ukweli ndiyo huo.
 
Mimi ni Simba SC damu damu ila labda tu uwe ni Mpumbavu, Mshamba na huujui Mpira na wala hujaucheza pia ndiyo yo utaweza Kukataa kuwa yale Matukio yote Makubwa mawili yaliyopelekea Mwamuzi kutumia VAR kuyaamua yalikuwa ni sahihi ila ni BAHATI tu na NYOTA ya Siku ndiyo viliibeba Simba SC yetu?

Ninajua leo wengi Wenu mtakuja Kunibishia / Kunikatalia hili kwakuwa tayari Timu yetu imeshafuzu, ila Ukweli ndiyo huo.
Ni kweli tupu
 
Yule Refa anatakiwa kupewa Noble prize. Anajua kutafsiri sheria 17 na kanuni zake za mpira.

CAF walikua sahihi kubadilisha waamuzi, na kuwaweka wale.
Ushindi na Kutinga CAFCC jana Kumeshakulevya hadi Akili na umeshindwa kuwa Mkweli na kuamini kuwa BAHATI ipo mno.
 
Sibishani na Mijitu isiyojua Mpira tafadhali. Tulia vizuri kisha rejea yale Matukio mawili yote na ukimaliza rudi unipigie Saluti.
Hahaha 😂, huenda uliangalia ligi ya Brazil ukiamini ni mashindano ya CAF halafu baadaye ukasikiliza redio ukasikia jinsi VAR ilivyotenda haki then akachukua simu yako na ku type mambo ya ajabu.

OKW BOBAN SUNZU
 
Back
Top Bottom