Kuna haja ya kurudi pale kwenye kaburi la Shujaa Nduna Songea Mbano na kumuomba wapi alipo ficha siri ya vijana wake kukaa miaka miwili wakiwa wanapigana kwa kutumia silaha za jadi wakipambana na wajeruman waliokua wanatumia silaha za moto.
Au kuna uongo wa mtu mmoja akaona amzalilishe mzee Kinjekitile au dawa ya Kinjekitile ilikua ya ukweli ndiyo maana vita vikakaa kwa muda mrefu?
Au kuna uongo wa mtu mmoja akaona amzalilishe mzee Kinjekitile au dawa ya Kinjekitile ilikua ya ukweli ndiyo maana vita vikakaa kwa muda mrefu?