Je, kuna umuhimu wa kumposti mpenzi kwenye mitandao ya kijamii?

Hivi mkipostiana kwenye mitandao ndo ishara ya upendo? Ingawa utaratibu wa kila mahusiano au ndoa ni wa wale waliomo, lakini kwangu hii kanuni naiona kama ulimbukeni flani hivi.

Labda kama mnaishi kwa umaarufu (fame), yaani kipato chenu kinategemea publicity ya wapenzi, huenda!
 

Kuna umuhimu kama ukifanya hivyo ni sehemu ya furaha yako.
Lakini hakuna umuhimu ikiwa haimaanishi chochote kwako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…