Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 13,481
- 26,384
Tell me you don't believe that you really exist.Thibitisha ni wakati gani Dunia haikuwepo kisha ikawepo.
Maisha hayo baada ya kifo yapo wapi?
Tell me you don't believe that you really exist.Thibitisha ni wakati gani Dunia haikuwepo kisha ikawepo.
Maisha hayo baada ya kifo yapo wapi?
Hakuna tuondako hata Biblia inasema hilo. Mambo yote fanya kwa uwezo wako ukiwa haiHivi wakuu tukiacha hizi nadharia na dhana zingine za kufikirika kuhusu hatima yetu baada ya kifo.
Nataka tuongee kiume sasa.
Hivi ni kweli tukifa kuna mahali tunaenda au ni siasa na kufarijiana tu ilmradi maisha yasonge?
sound logicKama kabla ya kuzaliwa ulikua haujui utajuaje ukifa sasa.
Ni mazuzu mazuzu tu 😂🤣Tahadhari tu kwamba hao wanaoharakisha kuwahakikishieni kwa ujasiri wote kwamba hakuna maisha baada ya mauti, hawajawahi kufa kamwe.
Wewe ulishawahi kufa ukathibitisha kuna maisha baada ya kifo?Tahadhari tu kwamba hao wanaoharakisha kuwahakikishieni kwa ujasiri wote kwamba hakuna maisha baada ya mauti, hawajawahi kufa kamwe.
Ulisha wahi kufa ukathibitisha kuna maisha baada ya kifo?Ni mazuzu mazuzu tu 😂🤣
Hakuna kuongea kiume kwenye hizi ishu..Hivi wakuu tukiacha hizi nadharia na dhana zingine za kufikirika kuhusu hatima yetu baada ya kifo.
Nataka tuongee kiume sasa.
Hivi ni kweli tukifa kuna mahali tunaenda au ni siasa na kufarijiana tu ilmradi maisha yasonge?
I exist now.Tell me you don't believe that you really exist.
🤣, Kwani wewe ni miongoni mwa mazuzu nilio wataja??Ulisha wahi kufa ukathibitisha kuna maisha baada ya kifo?
Kama Hujawahi kufa ukathibitisha kuna maisha baada ya kifo ila unajisemea semea tu, Ninyi ndio mazuzu...
Mna ongea "illusions"ambazo ninyi wenyewe hamjawahi thibitisha
Naku uliza hivi 👇🤣, Kwani wewe ni miongoni mwa mazuzu nilio wataja??
Hata uongo unaweza kuaminiwa ni ukweli.Asikudanganye mtu,ni kweli kabisa kuna maisha baada ya kifo.Kikubwa tupatane na Mungu kabla ya kifo ili atupokee kwenye maisha hayo mema kuliko haya.
Yea F*ck itHonestly I don't know if there's life after death or not. If there's that's gonna be good.
But if there's no life after death, it's great great great since after I pass away I will disappear at all, no more problems, no mo pain, nothing will go on......wow Bora tu kusiwe na maisha Tena after death....maana daaah sio kwa maisha hayaPesa stress, mapenzi stress, afya stress, urafiki stress, Yaani Kila kitu taabu, you enjoy a little you suffer more!!!!
F*ck I don't wanna live again after I. Die cuz life's bitch![]()

Lete andiko tusome; achana na porojo.Hakuna tuondako hata Biblia inasema hilo. Mambo yote fanya kwa uwezo wako ukiwa hai
You're not thinking. Rudia kusoma kauli yangu na maoni yako. It's quite illogical. Sorry for you!Wewe ulishawahi kufa ukathibitisha kuna maisha baada ya kifo?
Yani unatoa tahadhari usiyo ijua wala huna uthibitisho na tahadhari hiyo.
Thibitisha kwamba ulishawahi kufa ukajua kwamba kuna maisha baada ya kufa.
Can you prove it -- that there is no afterlife?I exist now.
Not before my birth and when I die.
Unazungumzia mizimu (mashetani) yanayochukua umbo na sura ya wafu, na kuwazukia watu.Hahaha binafsi yangu nina amani kuna maisha baada ya kifo. Hutoishi kama mwanadamu wa nyama bali kama roho isiyo na mwili, hutoweza kula wala kunywa ila nafsi yako ama roho yako itaishi kwenye ulimwengu wa wafu.
Nikileta andiko utaamini?Lete andiko tusome; achana na porojo.
You're not thinking. Rudia kusoma kauli yangu na maoni yako. It's quite illogical. Sorry for you!
BTW: You don't have to die in order to prove the afterlife. Your logic is interesting.
Can you prove it -- that there is no afterlife?
Unazungumzia mizimu (mashetani) yanayochukua umbo na sura ya wafu, na kuwazukia watu.
Hiyo ni mada nyingine.
Shahawa na manii ni udongo?How the universe works , uliendelea kukisoma mkuu au uliishia apo tu ?
PumbavuWeka andiko hilo tulisome.
Mantiki kwamba kila chanzo lazima nacho kiwe na chanzo chake, umeitoa wapi?
Mungu ni Chanzo asiye na chanzo. He is the uncaused Cause!
Ndivyo afanyavyo Mungu 100%. Wanadamu huzaliwa na usalihi wa asili (natural innocence).
Siyo tu kwamba mtu huzaliwa na kukua huku akimjua Mungu kihulka, lakini pia ana sifa ileile ya Mungu ya upendo tangu utotoni.
Mtoto anapozaliwa, huwa hajui dhambi wala hana mtima wa kiburi, chuki na hila (Mithali 6:16-19), ambavyo ni viwakilishi vikuu vitatu vya dhambi zote.
Swali hili anapaswa kuulizwa mwanadamu mwenyewe; Mungu hausiki hapo kamwe.
Kwa nini mwanadamu ajitumbukize kimakusudi kutenda maovu wakati akijua fika kwamba ni mambo mabaya, na kwamba ataadhibiwa kwayo?
^Waambie, Kama Mimi niishivyo, asema Bwana MUNGU, sikufurahii kufa kwake mtu mwovu; bali aghairi mtu mwovu, na kuiacha njia yake mbaya, akaishi. Ghairini, ghairini, mkaache njia zenu mbaya; mbona mnataka kufa, Enyi nyumba ya Israeli?^ ~Ezekieli 33:11