Je, kuna maisha mengine baada ya hapa duniani?

Je, kuna maisha mengine baada ya hapa duniani?

Hata wanaoeneza uongo huo kwamba kuna maisha Baada ya kifo nao hawajawahi kufa.

Uhakika kwamba hakuna maisha baada ya kifo unatokana na uelewa wa dhana yenyewe kama ilivyo.

Unaelewa maana ya kifo/kufa?
Wewe umewahi kufa ukajua kuna maisha baada ya kifo?

Wewe unaona sawa kuwa aminisha wengine kuna maisha baada ya kifo, Na Hujawahi kufa!!

Ila unaona si sahihi wengine kusema hakuna maisha baada ya kifo.

Leta uthibitisho wa kifo chako na thibitisha maisha baada ya kifo.
Uthibitisho mkuu wa uwepo wa uhai baada ya kifo unatokana na ukweli kwamba uhai wenyewe ni kitu halisi chenye chanzo na kusudi.

Uhai ni kitu halisi; ulimwengu ni kitu halisi; dunia ni kitu halisi.

Dutu, viasili na nishati, viumbe hai, wanyama, mimea na wanadamu, vyote ni halisi. Hata fikra na mawazo ni halisi.

Uhalisia huu una chanzo. Mimi na wewe tupo leo kwa sababu tumezaliwa na wazazi wetu.

Huo ni ukweli usiopingika katu. Kwa upande mwingine, wazazi wetu nao wamezaliwa na wazazi wao.

Na hivyo, ni wazi kwamba uhalisia ni matokeo ya Chanzo – Chanzo Fahili chenye kusudi fahili (the Ultimate Cause with ultimate purpose).

^Mfanyieni BWANA shangwe, dunia yote; Mtumikieni BWANA kwa furaha;
Njoni mbele Yake kwa kuimba;
Jueni kwamba BWANA ndiye Mungu;
Ndiye aliyetuumba na sisi tu watu Wake;
Tu watu Wake, na kondoo wa malisho Yake.

Ingieni malangoni Mwake kwa kushukuru; Nyuani Mwake kwa kusifu;
Mshukuruni, lihimidini jina Lake;
Kwa kuwa BWANA ndiye mwema;
Rehema Zake ni za milele;
Na uaminifu Wake vizazi na vizazi.^ ~ Zaburi 100
 
Biblia inasema hakuna maisha baada ya kifo ni unarudi kwenye udongo na kulala huko.
Weka andiko hilo tulisome.

kama binadamu alitokea Kwa Master Planner na huyo Master Planner alitokea wapi? Chanzo hakipaswi kuishia Kwa Master Planner lazima turudi nyuma tujue na huyo Master Planner alitokea wapi! By this logic Chenye chanzo kina chanzo.
Mantiki kwamba kila chanzo lazima nacho kiwe na chanzo chake, umeitoa wapi?

Mungu ni Chanzo asiye na chanzo. He is the uncaused Cause!

Kwanini asiumbe binadamu awe anamjua Mungu by default pale anapozaliwa?
Ndivyo afanyavyo Mungu 100%. Wanadamu huzaliwa na usalihi wa asili (natural innocence).

Siyo tu kwamba mtu huzaliwa na kukua huku akimjua Mungu kihulka, lakini pia ana sifa ileile ya Mungu ya upendo tangu utotoni.

Mtoto anapozaliwa, huwa hajui dhambi wala hana mtima wa kiburi, chuki na hila (Mithali 6:16-19), ambavyo ni viwakilishi vikuu vitatu vya dhambi zote.

Yeye Mungu anaeijua kesho yetu kwanini aumbe binadamu anaemjua kesho atatenda matendo yasiyompendeza Mungu na Kisha anamuhukumu huyo binadamu?
Swali hili anapaswa kuulizwa mwanadamu mwenyewe; Mungu hausiki hapo kamwe.

Kwa nini mwanadamu ajitumbukize kimakusudi kutenda maovu wakati akijua fika kwamba ni mambo mabaya, na kwamba ataadhibiwa kwayo?
Hivi wewe unajua mtoto wako kesho atazini na nguvu za kumfanya asizini unazo ila unamuacha azini halafu unampa na adhabu! By the way hata hiyo dhambi ya kuzini muasisi wake sio yeye bali ameikuta!
^Waambie, Kama Mimi niishivyo, asema Bwana MUNGU, sikufurahii kufa kwake mtu mwovu; bali aghairi mtu mwovu, na kuiacha njia yake mbaya, akaishi. Ghairini, ghairini, mkaache njia zenu mbaya; mbona mnataka kufa, Enyi nyumba ya Israeli?^ ~Ezekieli 33:11
 
Einstein quote: “If you can't explain it simply, you don't understand it well enough.”
 
Weka andiko hilo tulisome.


Mantiki kwamba lazima kila chenye chanzo na chenyewe kiwe na chanzo umeitoa wapi?

Mungu ni Chanzo asiye na chanzo. He is the uncaused Cause!


Ndivyo afanyavyo Mungu 100%. Wanadamu huzaliwa na usalihi wa asili (natural innocence).

Siyo tu kwamba mtu huzaliwa na kukua huku akimjua Mungu kihulka, lakini pia ana sifa ileile ya Mungu ya upendo tangu utotoni.

Mtoto anapozaliwa, huwa hajui dhambi wala hana mtima wa kiburi, chuki na hila (Mithali 6:16-19), ambavyo ni viwakilishi vikuu vitatu vya dhambi zote.


Swali hili anapaswa kuulizwa mwanadamu mwenyewe; Mungu hausiki hapo kamwe.

Kwa nini mwanadamu ajitumbukize kimakusudi kutenda maovu wakati akijua fika kwamba ni mambo mabaya, na kwamba ataadhibiwa kwayo?

^Waambie, Kama Mimi niishivyo, asema Bwana MUNGU, sikufurahii kufa kwake mtu mwovu; bali aghairi mtu mwovu, na kuiacha njia yake mbaya, akaishi. Ghairini, ghairini, mkaache njia zenu mbaya; mbona mnataka kufa, Enyi nyumba ya Israeli?^ ~Ezekieli 33:11
Haya wakuu kila lakheri na huo mjadala wenu muruwa.

mkubaliane, wadau tunasubiri majibu yaliyonyooka, yasiyo na konakona.
 
Kwenye hizo ahadi za kwenye vitabu vya dini ,hazifariji chochote zaidi ya kukufanya uishi kwa mashaka, na kulia pilipili gizani unawashwa lakini hausemi.

Kuna fala moja lokole liliruka fensi kidogo lipasuke kichwa kisa alifumwa anakunywa bia.
Dini ujinga Mwingi sana ...anaishi kwa mashaka mwisho anakufa anarudi kuwa mbolea ya mimea iliyopo muda huo...ukifa imeisha hiyo muache kuandanganyana...mifumo inawatesa sana watu....
 
Dini ujinga Mwingi sana ...anaishi kwa mashaka mwisho anakufa anarudi kuwa mbolea ya mimea iliyopo muda huo...ukifa imeisha hiyo muache kuandanganyana...mifumo inawatesa sana watu....
💯
 
Dini ujinga Mwingi sana ...anaishi kwa mashaka mwisho anakufa anarudi kuwa mbolea ya mimea iliyopo muda huo...ukifa imeisha hiyo muache kuandanganyana...mifumo inawatesa sana watu....
Said by who, really? By a person whose mind is full of Illusion

Pumzi unayoivuta na uhai ulio nao amekupeni Mungu.

Yeye yupo jana, leo na hata milele.

Habari njema ni kwamba anakupendeni nyote, licha ya kudhani kwa kuukana uwepo Wake, anaweza kutoweka kweli.
 
Hakuna wa kuidhibitisha Hilo,maana hakuna aliyekufa akarudi
 
Hivi wakuu tukiacha hizi nadharia na dhana zingine za kufikirika kuhusu hatima yetu baada ya kifo.

Nataka tuongee kiume sasa.

Hivi ni kweli tukifa kuna mahali tunaenda au ni siasa na kufarijiana tu ilmradi maisha yasonge?
.
 
Kwanzia kwenye sparm na yai wewe ni matokeo ya nishati kutokea kwenye mimea na wanyama na udongo , pia ukifa unakua nishati ya mimea wanyama na udongo tena , process hii ni endelevu , wewe ni dunia na dunai ilivyo ni wewe .

🫡🫡🫡
 
Hivi wakuu tukiacha hizi nadharia na dhana zingine za kufikirika kuhusu hatima yetu baada ya kifo.

Nataka tuongee kiume sasa.

Hivi ni kweli tukifa kuna mahali tunaenda au ni siasa na kufarijiana tu ilmradi maisha yasonge?
Mpaka uwaulize wafu, wakujibu vinginevyo tumia imani zilizopo kuamini kulingana na imani uliyochagua kama hutaki Acha ishi bila imani.

Ahsante dj,
 
Back
Top Bottom