Je, kuna maisha mengine baada ya hapa duniani?

Je, kuna maisha mengine baada ya hapa duniani?

Honestly I don't know if there's life after death or not. If there's that's gonna be good.
But if there's no life after death, it's great great great since after I pass away I will disappear at all, no more problems, no mo pain, nothing will go on......wow Bora tu kusiwe na maisha Tena after death....maana daaah sio kwa maisha haya😂😂😂 Pesa stress, mapenzi stress, afya stress, urafiki stress, Yaani Kila kitu taabu, you enjoy a little you suffer more!!!!
F*ck I don't wanna live again after I. Die cuz life's bitch🙌🙌🙌
 
Wewe umewahi kufa ukajua kuna maisha baada ya kifo?

Wewe unaona sawa kuwa aminisha wengine kuna maisha baada ya kifo, Na Hujawahi kufa!!

Ila unaona si sahihi wengine kusema hakuna maisha baada ya kifo.

Leta uthibitisho wa kifo chako na thibitisha maisha baada ya kifo.
Tujaribu kuelewa mambo vizuri.

Ni kweli mwili unakufa na unaoza.

Na vipi kuhusu nishati au akili, inakufa?

Tunaposema kufa, tunarejelea nini? Mwili? Akili?
 
Tujaribu kuelewa mambo vizuri.

Ni kweli mwili unakufa na unaoza.

Na vipi kuhusu nishati au akili, inakufa?

Tunaposema kufa, tunarejelea nini? Mwili? Akili?
As far as I know, energy Huwa haifi/kualibika Bali Huwa inaenda kutumika sehemu nyingine au kwa kiumbe mwingine.
Regards
 
Yapo kiroho.
Hivi wakuu tukiacha hizi nadharia na dhana zingine za kufikirika kuhusu hatima yetu baada ya kifo.

Nataka tuongee kiume sasa.

Hivi ni kweli tukifa kuna mahali tunaenda au ni siasa na kufarijiana tu ilmradi maisha yasonge?
 
Na wanaohakikishia wenzao kuwa yapo ndo waliwaho kufa?
Biblia ni historia halisi. Imebainisha ukweli mwingi sana unaojibu maswali makuu yote kuhusu maisha ya mwanadamu yaliyopita, ya sasa na baadaye.

Mtu anayeamini uwepo wa Mungu, anashindwaje kuwa na hakika ya maisha ya baadaye? Anashindwaje kutambua kwamba maisha ya dunia na kaburi siyo mwisho wa mambo?

Mungu aliumba kwa kusudi la kudumu milele kwa viumbe Wake.

Pamoja na kwamba mpango Wake umevurugwa na dhambi, lakini bado ameandaa njia ambayo kwayo mwanadamu anaweza kurejesha mahusiano yake kwa Muumba wake.

Iwapo Mungu ndiye msingi, basi mauti kamwe haiwezi kuwa ukuta wala ukingo. Kuna maisha baada ya Kiama.

Ni muhimu pia kujikumbusha kwamba si kila mtu ataonja mauti. Kuna watu watakaokuwa wangali hai wakati wa kuja kwa Kristu Yesu. 1 Thesalonike 4:16, 17

Usemi mashuhuri kwamba ^kila nafsi itaonja mauti^ unaenezwa na Shetani kupitia malaika wake, kwa lengo kuu la kuwapotezea tumaini watu ambao wamechagua kumpenda na kumtii Mungu.

^Amin, amin, nawaambia, yule alisikiaye neno Langu na kumwamini Yule aliyenipeleka, yuna uzima wa milele; wala haingii hukumuni, bali amepita kutoka mautini kuingia uzimani.^ ~Yohana 5:24
 
Tujaribu kuelewa mambo vizuri.

Ni kweli mwili unakufa na unaoza.

Na vipi kuhusu nishati au akili, inakufa?

Tunaposema kufa, tunarejelea nini? Mwili? Akili?
Akili inahusisha ubongo ukifa chakwanza kuoza ni ubongo.
 
Sound tupu ni sawa na kumwaga maziwa kwenye mchanga halafu uambiwe uyarudishe kwenye Kikombe.Ni mwendo wa kula rahaa tu.
Mwalimu wa muziki na mapenzi,
Kwa sasa Kihesa-Iringa.
 
Biblia ni historia halisi. Imebainisha ukweli mwingi sana unaojibu maswali makuu yote kuhusu maisha ya mwanadamu sasa na baadaye.
Biblia ni Hadithi za kutungwa na kusadikika wala hakuna ulicho jibu zaidi ya stori stori Uchwara tu.
Mtu anayeamini uwepo wa Mungu, anashindwaje kuwa na hakika ya maisha ya baadaye?

Mungu aliumba kwa kusudi la kudumu milele kwa viumbe Wake.
Kama Mungu aliumba kwa kusudi la kudumu milele viumbe wake, Kwa nini viumbe vinakufa?

Yani tayari Mungu huyo ana ji Contradict mwenyewe kwenye uumbaji wake.

Viumbe vinakufa, Halafu unasema Mungu aliumba viumbe vidumu milele!!!

Contradiction.
Pamoja na kwamba mpango Wake umevurugwa na dhambi,
Mungu huyo, Hakujua kwamba mpango wake utavurugwa na dhambi?

"Mpango wa Mungu" mnayedai ni mkamilifu na muweza wa vyote, Una vurugwaje na dhambi?
lakini bado ameandaa njia ambayo kwayo mwanadamu anaweza kurejesha mahusiano yake kwa Muumba wake.

Iwapo Mungu ndiye msingi, basi mauti kamwe hayawezi kuwa ukuta wala ukingo. Kuna maisha baada ya Kiyama.
Mungu alishindwaje kuumba Dunia isiyo na mauti?
Ni muhimu pia kujikumbusha kwamba si kila mtu ataonja mauti. Kuna watu watakaokuwa wangali hai wakati wa kuja kwa Kristu Yesu. 1 Thesalonike 4:16, 17

Usemi mashuhuri kwamba ^kila nafsi itaonja mauti^ inaenezwa na Shetani kupitia malaika wake, kwa lengo kuu la kuwapotezea tumaini watu ambao wamechagua kumpenda na kumtii Mungu.

^Sisi tunajua kwamba tumepita toka mautini kuingia uzimani, kwa maana twawapenda ndugu. Yeye asiyependa, akaa katika mauti.^ ~1 Yohana 3:14
Kama Mungu alitaka tuwe Mbinguni, Kwa nini Aumbe binadamu duniani?

Mungu huyo, Alishindwaje kuumba Binadamu tuwe Mbinguni directly.
 
Hivi wakuu tukiacha hizi nadharia na dhana zingine za kufikirika kuhusu hatima yetu baada ya kifo.

Nataka tuongee kiume sasa.

Hivi ni kweli tukifa kuna mahali tunaenda au ni siasa na kufarijiana tu ilmradi maisha yasonge?
Hakuna Mtu Wa Kudhibitisha Haya Isipokuwa Maiti Ila Kwa Sisi Watu Wa Mungu Tunaamini Yapo Na Ndo Maana Watu Wanaokufa Huzikwa Sehemu Ya Pamoja Kutengeneza Mji Wao Huenda Wanawasiliana Huko Makaburini
 
Back
Top Bottom