mlinzi mlalafofofo
JF-Expert Member
- Apr 20, 2008
- 762
- 1,400
- Thread starter
- #61
mkuu ungetupia kaushahidi kuliweka sawa hili tumalize ubishiKula sana bata, kula kimasikhara hakuna maisha baada ya kifo.......ukifa umekufa no longer mzeee
mkuu ungetupia kaushahidi kuliweka sawa hili tumalize ubishiKula sana bata, kula kimasikhara hakuna maisha baada ya kifo.......ukifa umekufa no longer mzeee
Tujaribu kuelewa mambo vizuri.Wewe umewahi kufa ukajua kuna maisha baada ya kifo?
Wewe unaona sawa kuwa aminisha wengine kuna maisha baada ya kifo, Na Hujawahi kufa!!
Ila unaona si sahihi wengine kusema hakuna maisha baada ya kifo.
Leta uthibitisho wa kifo chako na thibitisha maisha baada ya kifo.
As far as I know, energy Huwa haifi/kualibika Bali Huwa inaenda kutumika sehemu nyingine au kwa kiumbe mwingine.Tujaribu kuelewa mambo vizuri.
Ni kweli mwili unakufa na unaoza.
Na vipi kuhusu nishati au akili, inakufa?
Tunaposema kufa, tunarejelea nini? Mwili? Akili?
Nachouliza Mimi Kuna uwezekano wa kuzaliwa tena
Hivi wakuu tukiacha hizi nadharia na dhana zingine za kufikirika kuhusu hatima yetu baada ya kifo.
Nataka tuongee kiume sasa.
Hivi ni kweli tukifa kuna mahali tunaenda au ni siasa na kufarijiana tu ilmradi maisha yasonge?
Na wanaohakikishia wenzao kuwa yapo ndo waliwaho kufa?Tahadhari tu kwamba hao wanaowahakikishieni kwa ujasiri wote kwamba hakuna maisha baada ya mauti, hawajawahi kufa kamwe.
ili iweje mkuu? angalia mkuu usijekuzaliwa kima wa misitu ya kongoNachouliza Mimi Kuna uwezekano wa kuzaliwa tena?
Biblia ni historia halisi. Imebainisha ukweli mwingi sana unaojibu maswali makuu yote kuhusu maisha ya mwanadamu yaliyopita, ya sasa na baadaye.Na wanaohakikishia wenzao kuwa yapo ndo waliwaho kufa?
Ili Akili ifanye kazi ubongo lazima uwe hai.Tujaribu kuelewa mambo vizuri.
Ni kweli mwili unakufa na unaoza.
Na vipi kuhusu nishati au akili, inakufa?
Tunaposema kufa, tunarejelea nini? Mwili? Akili?
Ndio maana ninasema ni vema tukaelewa vizuri mambo.As far as I know, energy Huwa haifi/kualibika Bali Huwa inaenda kutumika sehemu nyingine au kwa kiumbe mwingine.
Regards
Akili inahusisha ubongo ukifa chakwanza kuoza ni ubongo.Tujaribu kuelewa mambo vizuri.
Ni kweli mwili unakufa na unaoza.
Na vipi kuhusu nishati au akili, inakufa?
Tunaposema kufa, tunarejelea nini? Mwili? Akili?
Hakuna hata haja ya kujua coz hata ukizaliwa tena itakua sio wewe huyu wa Leo.Nachouliza Mimi Kuna uwezekano wa kuzaliwa tena?
Kiasili kabisa kwa sababu dini na sayansi ni man made.Majibu Kidini au Kisayansi?
Biblia ni Hadithi za kutungwa na kusadikika wala hakuna ulicho jibu zaidi ya stori stori Uchwara tu.Biblia ni historia halisi. Imebainisha ukweli mwingi sana unaojibu maswali makuu yote kuhusu maisha ya mwanadamu sasa na baadaye.
Kama Mungu aliumba kwa kusudi la kudumu milele viumbe wake, Kwa nini viumbe vinakufa?Mtu anayeamini uwepo wa Mungu, anashindwaje kuwa na hakika ya maisha ya baadaye?
Mungu aliumba kwa kusudi la kudumu milele kwa viumbe Wake.
Mungu huyo, Hakujua kwamba mpango wake utavurugwa na dhambi?Pamoja na kwamba mpango Wake umevurugwa na dhambi,
Mungu alishindwaje kuumba Dunia isiyo na mauti?lakini bado ameandaa njia ambayo kwayo mwanadamu anaweza kurejesha mahusiano yake kwa Muumba wake.
Iwapo Mungu ndiye msingi, basi mauti kamwe hayawezi kuwa ukuta wala ukingo. Kuna maisha baada ya Kiyama.
Kama Mungu alitaka tuwe Mbinguni, Kwa nini Aumbe binadamu duniani?Ni muhimu pia kujikumbusha kwamba si kila mtu ataonja mauti. Kuna watu watakaokuwa wangali hai wakati wa kuja kwa Kristu Yesu. 1 Thesalonike 4:16, 17
Usemi mashuhuri kwamba ^kila nafsi itaonja mauti^ inaenezwa na Shetani kupitia malaika wake, kwa lengo kuu la kuwapotezea tumaini watu ambao wamechagua kumpenda na kumtii Mungu.
^Sisi tunajua kwamba tumepita toka mautini kuingia uzimani, kwa maana twawapenda ndugu. Yeye asiyependa, akaa katika mauti.^ ~1 Yohana 3:14
Hakuna Mtu Wa Kudhibitisha Haya Isipokuwa Maiti Ila Kwa Sisi Watu Wa Mungu Tunaamini Yapo Na Ndo Maana Watu Wanaokufa Huzikwa Sehemu Ya Pamoja Kutengeneza Mji Wao Huenda Wanawasiliana Huko MakaburiniHivi wakuu tukiacha hizi nadharia na dhana zingine za kufikirika kuhusu hatima yetu baada ya kifo.
Nataka tuongee kiume sasa.
Hivi ni kweli tukifa kuna mahali tunaenda au ni siasa na kufarijiana tu ilmradi maisha yasonge?
😁😁daah ww umeua bendi. nmecheka sana apa km chizMji Wao Huenda Wanawasifiriana Huko Makaburini