Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 13,481
- 26,384
Historia ya Biblia inaenda mbali zaidi ya Uarabu na Uzungu na hata ubinadamu wenyewe.kwanini hizo biblia na misafu zisimtaje MUASISI wetu hata mmoja tu aliyetoa ushuhuda wa neno la MUNGU woooote ni wazungu na waarabu tu?
Ni document ambayo wameandika wanadamu kwa uongozi wa Mungu. Hii inaitwa ufunuo wenye uvuvio.
Viumbe vikishakufa, vimekufa. Viasili vyake hurejea katika hali yake husika kabla huyo kiumbe hajawepo.Je viumbe vingine vyenye uhai vinaenda huko pia vikifa?na je vinapitia mafundisho yapi ili kujiandaa?
You may call it reverse creation -- going back to the original state.
Tofauti pekee ni kumbukumbu yake iliyopo kwa watu ambao wangali hai.
Hiyo ni kusema kwamba walio hai ndio wanajua kuwa fulani na fulani aliwahi kuwepo.
Otherwise, yeye hayupo tena kwa kipindi hicho cha umauti.
Hauko mbali na jibu halisi. Original man, Adamu na Hawa walifundishwa moja kwa moja na Mungu.Hao WAASISI wetu walipitia mafundisho yapi ambayo yaliwaelekeza jinsi wanaenda kuishi tena?
Kwani dini ilianza lini? Baada tu ya mwanadamu kuumbwa, hapohapo na dini nayo ikazaliwa.Maisha mapya yapo kwakuwa umeelekezwa kupitia biblia au msahafu? na je waliokuwepo kabla ya dini inakuwaaje.
Unaelewaje maana ya dini? Dini simply, ni elimu juu ya Mungu.
Hao uliowataja wote wameikuta dini, kama ambavyo mimi na wewe tumezaliwa tukaikuta. Don't be so naive.Hizi dini zenu za michongo zilianzishwa na kuletwa na wazungu hawa hapa chini:
Halafu, unachodharau kwa Wazungu ni dini tu? Vipi kuhusu elimu yao, sayansi, sanaa, lugha, teknolojia?
Unaonekana wazi umejaa nahaba na nishaha (bias and prejudice) dhidi ya dini. Sorry for you.
Kwa hiyo Mwafrika angetajwa kufufuliwa kwenye Biblia ndipo ungeamini?Lazaro ni mzungu na Yesu ni Mzungu, je kuna Mwafrika aliyewahi kufufuliwa na Yesu?
Sisi wengine hatuoni tofauti ya Uzungu, Uarabu, Uafrika.
Mwanadamu ni yuleyule tu -- ukoo mmoja wenye vinasaba sawia vya Adamu na Hawa.
Katika Mbingu na Nchi mpya watakuwepo wanyama, mimea, na viumbe mbalimbali.Mbwa,miti,samaki,mawe,n k pia vitakuwa na maisha mapya?
Binadamu ni ngazi ya juu ya uumbaji wa Mungu duniani. Ameumbwa kwa sura na mfano wa Mungu Mwenyewe.
Ndiye kiumbe pekee miongoni mwao wote mwenye utashi. Umeona tofauti?
Mwanadamu ndiye mgeni rasmi duniani, ndiyo sababu alitokezwa baada ya viumbe vingine vyote kuandaliwa ili kumpokea katika siku ya sita.
Dunia yote na vilivyomo iliumbwa kwa kusudi la kumtegemeza mwanadamu, ambaye ndiye mtawala wa vyote.
Unatabiri au? Maana kuna kiama na hukumu, watakatifu kubadilishwa na kutwaliwa mbinguni na maisha ya milele.Kitu ambacho hakijawahi kutokea hapa duniani hakitokaa kitokee ndani ya maisha na kufa.
By the way, ufufuo siyo suala geni duniani.
Kila alichoumba Mungu kina kusudi lake. Kila chema atendacho Mungu kimekusudiwa kudumu milele. He's a perfect God.Hakuna maisha baada ya kufa viumbe vyote viliumbiwa hapa duniani hivyo vitafia hapa dunia ilipo roho na nafsi ya MUNGU aliyeviumba.
Mungu akiamua leo ufufuo utokee, hilo halina ubishi, kama alivyofanya kwa Musa na Lazaro na hata Yesu Mwenyewe, na wengine wengi.kama kungekua na ufufuo basi hayo mabaki yangekuwa yameshafufuka kwa awamu ya kwanza na ya pili au hata ya tatu.
Tangu lini mwanadamu akampangia Muumbaji wake ratiba?
Yes. 100%Momi naamini hakuna mwisho wa dunia
The end is coming. Make no mistake about it.Kinachoweza kutokea labda ni dunia kuelemewa kwa idadi ya uzito wa viumbe vinavyozaliana na kwa uwezo wa MUNGU kukatoa muujiza wowote wa mabadiliko ya uwepo wa binadamu,hilo tu!!
Mabadiliko hayo ya kimuujiza unayozungumzia ndiyo Kiama yenyewe. Your preposterous inspiration really sucks!
Hili neno ufufuo inaonekana unaliogopa sana.Ndiyo kabisa,hali hiyo yaweza kuwa ni kujaa kwa dunia na kuelemewa kwa idadi ya watu kuwa kubwa na kupungua kwa viumbe wengine kama wanyama na mimea kutokana na overpopulation tukio ambalo linawezatokea baada ya miaka mingi saaaana siyo UFUFUKO !!!
Halafu siyo ufufuko (reincarnation), bali ni ufufuo (resurrection).
It's only fools who fight away truth by denying it.
But we fully believe there's Andromeda Galaxy and millions others, yet no one has ever been there!Swali lako ulitakiwa uwaulize waliowai kufa, sisi tulio hai tutajuaje?
Scientists even know how much is the temperature of our sun at its very core -- 15,000,000⁰C!
They can even tell with their manipulative, detailed, geological shrewdness how the universe came into being 13.8 billion years ago through the infamous Big Bang.
What if mimi pia natilia shaka mawazo yako ya kuitilia shaka Biblia?Mkuu huwezi kutetea hoja yako kwa kutumia kitabu chenye maneno yanayotiliwa shaka na mtoa hoja!
Kwani Biblia ina umri gani? Hujui kwamba Musa amehusika katika uandishi wa Biblia? Ayubu naye?Kama kweli Biblia ni kitabu cha Mungu kwanini kisiwepo baada ya uumbaji kama manual book?
What's your point?Mkuu kubali kufikiri nje ya imani yako, mbali na biblia tafuta vitabu vya apocalypse vipitie hatimaye chunguza jinsi wanyama, mimea na maumbile ya asili kwa ujumla yanavyofanya kazi utaongeza ufahamu wa huu ulimwengu!
Kama unataka kusikia tu yale unayojua wewe, kuna maana gani tena ya kudadisi?sio wote tunaosoma andiko lako ni Wakristo!
If I quoted something (from Scripture, especially), that means it perfectly captures and represents my own worldview so much so that I couldn't have said it better.
That said, consider my quoting of the Bible as my very thoughts and thinking process.
This is preposterous. How in the world does anything that has been caused be otherwise regarded as nothingness? You sound gibberish.Kukuongezea kidogo, there is nothing without a cause, even the nothingness has a cause!
It's not based on probability. It's undisputed fact. We know it, you do too -- the only difference is your denial.Hayo maisha baada ya kufa yatakuwepo only based on the probability ya kufufuliwa in a time ambayo no body knows!
Define ^nafsi^Mwili ndio unaokufa.
Nafsi haifi kwakuwa haiumwi wala haizeeki.
Aliyekufa hajui lolote, hadi ufufuo. There are in unconscious sleep -- no thoughts, feelings, brain activity, no nothing.Ndio maana nasema aliyekufa anayajua mengi kuliko anayeishi.
It's rather the opposite. You seem to have mentally created your own god, so you may annihilate it by the same reasoning.Ukijiuliza maswali haya utafahamu kwamba Mungu anayedaiwa kwamba ni Mungu muweza wa vyote, mkamilifu na mwema hayupo.
Human beings created God through assumptions, Based on things beyond their imaginations.
The God I believe in wouldn't be God if He ceased to be mysterious in His nature.
Or, you can help him by doing the exact opposite: prove that He doesn't exist.Hujathibitisha Mungu yupo, umetoa kauli ya imani tu.
Thibitisha Mungu yupo.