Je, Kulikuwa na Machafuko Kabla ya Mwanadamu?

Je, Kulikuwa na Machafuko Kabla ya Mwanadamu?

Huoni kwa maelezo hayo, unam portray Muumba kama kiumbe asiye na msimamo. Leo unaruhusu kitu X, kesho unapiga marufuku kitu X.
Mkuu walikua wanajibu ilimradi tu kutetea point zao ambazo hata wao hawana uhakika nazo ila wanataka point zako ziwe zimeandikwa kitoka sehemu flani 😆
 
Logic ni ndogo tu hapa, hivi ukitaka kuanzisha kitu kikiwa absolute zero, sheria za kuanzia zinawezaje kufanana na sheria za kukiendesha kikiwa tayari kimeshakuwa kikubwa na kusambaa?
Kwa misingi hiyo hiyo unayoiita logic, kama mwanzoni ilionekana ni sahihi ndugu kuoana ili kuijaza dunia, muumbaji alipata au angepata hasara zipi endapo viumbe aliowaumba wangeendelea na utaratibu huo huo wa kuijaza dunia, au unataka tuamini kwamba malengo ya kuijaza dunia yalikuwa yameanza kutimia?
 
Mkuu walikua wanajibu ilimradi tu kutetea point zao ambazo hata wao hawana uhakika nazo ila wanataka point zako ziwe zimeandikwa kitoka sehemu flani 😆
Nimewasoma, zaidi nilichokiona ni matumizi makubwa ya msamiati ya kizungu katika kutetea hoja zao ila hakukuwa na hoja za msingi.
 
Nimezidi kumuelewesha huko mbele, utaona tu mkuu, endelea kusoma.
Nimesoma kuanzia uzi ulipoanzia hadi ulipoishia. Sijaona aliyetoa maelezo yenye mashiko.
Sanasana nimeona watu wakitupiana maneno ya kukashifiana badala ya kujenga hoja za kutetea wanachokiamini au at least kukubali kwamba kuna mapungufu.
 
Kwa misingi hiyo hiyo unayoiita logic, kama mwanzoni ilionekana ni sahihi ndugu kuoana ili kuijaza dunia, muumbaji alipata au angepata hasara zipi endapo viumbe aliowaumba wangeendelea na utaratibu huo huo wa kuijaza dunia, au unataka tuamini kwamba malengo ya kuijaza dunia yalikuwa yameanza kutimia?
Unajua maana ya genetic diversity au unabisha mradi ubishe?
 
Nimesoma kuanzia uzi ulipoanzia hadi ulipoishia. Sijaona aliyetoa maelezo yenye mashiko.
Sanasana nimeona watu wakitupiana maneno ya kukashifiana badala ya kujenga hoja za kutetea wanachokiamini au at least kukubali kwamba kuna mapungufu.
Basi uko slow sana kwenye suala zima la kusoma kwa ufahamu na kuchanganua mambo.
 
Nimewasoma, zaidi nilichokiona ni matumizi makubwa ya msamiati ya kizungu katika kutetea hoja zao ila hakukuwa na hoja za msingi.
Kama uwezo wako wa kuchanganua mambo ni mdogo kwanini usione hakuna logic?

Lalamikia uwezo wako mdogo wa kuchanganua mambo.
 
Kama uwezo wako wa kuchanganua mambo ni mdogo kwanini usione hakuna logic?

Lalamikia uwezo wako mdogo wa kuchanganua mambo.
Wewe mzee silaha zako kubwa ni 2
1. Kuchomekea vi msamiati vya kizungu ukiamini hiyo inakufanya uonekane msomi.
2. Kuwadogosha wengine wasiounga mkono hoja zako kwamba wanauelewa mdogo.

Ukinyang'anywa hizo silaha zako 2 utapata taabu sana.
Ila una uwezo wa kuwa kiumbe bora zaidi, haujachelewa.
 
Wewe mzee silaha zako kubwa ni 2
1. Kuchomekea vi msamiati vya kizungu ukiamini hiyo inakufanya uonekane msomi.
2. Kuwadogosha wengine wasiounga mkono hoja zako kwamba wanauelewa mdogo.

Ukinyang'anywa hizo silaha zako 2 utapata taabu sana.
Ila una uwezo wa kuwa kiumbe bora zaidi, haujachelewa.
Kama haujakidhi viwango vya kufanya mjadala na mimi lazima nikwambie tu, uwe unataka au hutaki.
 
Back
Top Bottom