Je, Kulikuwa na Machafuko Kabla ya Mwanadamu?

Je, Kulikuwa na Machafuko Kabla ya Mwanadamu?

Kama una maana yako kuuliza lile swali basi vivyo hivyo na mimi nina maana yangu kukuuliza hilo swali.

Kama huwezi kujibu, it's okay!
Concept imekua ngeni kwako ? Majibu yameshindwa kupatikana ? Nlitegemea unijibu swali langu ndipo uulize swali lako, lakini haijawa hivyo.
 
Sasa kwa nini unategemea upate pre-adamite people??
Sitegemei kupata pre adamite people, mimi natumia tu akili ya kawaida kujiuliza maswali ambayo nyie mnaogopa kuuliza.

Kama hakuna pre adamite people, mbona Kaini alipomuua Abeli alisema kila atakayeniona ataniua?

Huyo kila mtu alikuwa nani wakati duniani kulingana na ninyi kulikuwa kumebaki Adamu, Hawa, na Kaini tu?
 
Akili ndogo kuwaza hivi ni sawa kabisa, ni haki yako.
Ndyo mkuu kama ambavo wengine hawana uwezo wakuanzisha mjadala na wewe , pia ni vivyo hivo wewe huwezi fanya mjadala na mimi uwezo wako ni mdgo pia kwa level yangu simply
 
Sitegemei kupata pre adamite people, mimi natumia tu akili ya kawaida kujiuliza maswali ambayo nyie mnaogopa kuuliza.

Kama hakuna pre adamite people, mbona Kaini alipomuua Abeli alisema kila atakayeniona ataniua?

Huyo kila mtu alikuwa nani wakati duniani kulingana na ninyi kulikuwa kumebaki Adamu, Hawa, na Kaini tu?
Nyinyi wakina nani?
Kwangu Mimi Biblia ni fiction story za Wayahudi tu, unaweza kuzisoma na kuzielewa vyoyote unavyotoka na huwa nawaona stupid sana kundi lolote wanaodhani au kujiona kwamba wao wanajua kuliko wengine au ndio wenye ukweli wa hizo fiction.
 
Ndyo mkuu kama ambavo wengine hawana uwezo wakuanzisha mjadala na wewe , pia ni vivyo hivo wewe huwezi fanya mjadala na mimi uwezo wako ni mdgo pia kwa level yangu simply
Yes uwezo wako ni mdogo, kwanini uwe sawa na mimi uwezo mkubwa?
 
MTAMBUCA jamaako mada imempiga chenga hana uwezo wakuijibu, uwezo mdgo
Mimi nimempa somo kwamba sio kila jambo lazima ujifanye mjuaji.
Wakati mwingine ni busara ndogo tu, unaamua kutulia na kujifunza zaidi badala ya kuleta ujuaji usio wa lazima.
Bahati isiyo nzuri JF haitoi awards kwa ubishi usio na umuhimu.
 
Nyinyi wakina nani?
Kwangu Mimi Biblia ni fiction story za Wayahudi tu, unaweza kuzisoma na kuzielewa vyoyote unavyotoka na huwa nawaona stupid sana kundi lolote wanaodhani au kujiona kwamba wao wanajua kuliko wengine au ndio wenye ukweli wa hizo fiction.
Ni kawaida yako wewe kuandika nonsense kila Jukwaa, siwezi kukushangaa hapa!
 
Mimi nimempa somo kwamba sio kila jambo lazima ujifanye mjuaji.
Wakati mwingine ni busara ndogo tu, unaamua kutulia na kujifunza zaidi badala ya kuleta ujuaji usio wa lazima.
Bahati isiyo nzuri JF haitoi awards kwa ubishi usio na umuhimu.
majibu yamemshinda tangu mwanzo kageukia ID kwamba hii ni ID yangu nyingine 😅
 
Back
Top Bottom