Je, Kulikuwa na Machafuko Kabla ya Mwanadamu?

Je, Kulikuwa na Machafuko Kabla ya Mwanadamu?

majibu yamemshinda tangu mwanzo kageukia ID kwamba hii ni ID yangu nyingine ๐Ÿ˜…
Aiwanda ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Kwa mtu mwenye akili nyingi anahisi Id yangu na yako ni kitu kimoja bora nibaki na uwezo wangu mdogo wa kiakili.
 
Mimi nimempa somo kwamba sio kila jambo lazima ujifanye mjuaji.
Wakati mwingine ni busara ndogo tu, unaamua kutulia na kujifunza zaidi badala ya kuleta ujuaji usio wa lazima.
Bahati isiyo nzuri JF haitoi awards kwa ubishi usio na umuhimu.
Huwezi kunipa somo wewe muimba taarabu kwenye comments za wanaume.
 
Endelea kujitekenya na hizi IDs zako mdogo wangu.
Mkuu itosheke kusema level zako za kuanzisha argument kwenye mijadala mikubwa ni ndogo sana
Ukiona kitu hujui simply kaa kimya mana tangu mwanzo nliona onaongea non sense ila kuhalisia hamna kitu yani chenga kabsa.
 
Mkuu itosheke kusema level zako za kuanzisha argument kwenye mijadala mikubwa ni ndogo sana
Ukiona kitu hujui simply kaa kimya mana tangu mwanzo nliona onaongea non sense ila kuhalisia hamna kitu yani chenga kabsa.
Sawa, usisahau kujifunza uandishi pia.
 
Atheist alikuja kuvuruga uzi kaishia kutoka nduki ndala mkononi, naona kama kaja na akaunti yake nyingine kupoza machungu ๐Ÿ˜‚
 
Ni mtu wa kumpuuza huyo ndio maana kwa sasa nimemuacha ajisemeshe.

Kuna mahali aliniita binti, nikajua hapa kitu kimegonga kwenye mfupa, acha aendelee kutoa milio.
Sahihi Ujuaji unatakiwa uwe na mipaka.
 
Infropreneur pita hapa inasemekana@Infropreneur, MTAMBUCA na verify ni kitu kimoja jamaa kashindwa kufanya reasoning sasa anageukia ID.
Mbona kama mkuu unatafuta kushinda baadala ya kueleweshana? Hii sredi yako ipo hai kwasababu ya ukomavu wake kwenye kudebate, kuna waliombeza wengine wameshusha na matusi lakini hajakimbia uzi, kwa asilimia kubwa kashusha hoja zenye mashiko.

Nikirudi kwenye bandiko lako, kuhusu Kaini alioa watu gani, huenda alimuoa dada yake mtoto wa Lilith
 
Fungua Mwanzo 5:4, Biblia inasema wazi baada ya kumzaa Sethi, Adamu aliishi miaka 800 na alizaa wana na binti, Kaini aliishi miaka mamia, ulitaka wataje majina ya watoto wote elfu moja kwenye kitabu kimoja Mkuu?
Ni ujinga kuamini Kuna binadamu aliwahi kuishi miaka 800 katika wakati ambapo wastani wa maisha ulikuwa miaka 35.
 
Mbona kama mkuu unatafuta kushinda baadala ya kueleweshana? Hii sredi yako ipo hai kwasababu ya ukomavu wake kwenye kudebate, kuna waliombeza wengine wameshusha na matusi lakini hajakimbia uzi, kwa asilimia kubwa kashusha hoja zenye mashiko.

Nikirudi kwenye bandiko lako, kuhusu Kaini alioa watu gani, huenda alimuoa dada yake mtoto wa Lilith
Kwanini Biblia zinazotumika makanisa hazina maelezo ya kueleweka kumhusu Lilith?
 
Mbona kama mkuu unatafuta kushinda baadala ya kueleweshana? Hii sredi yako ipo hai kwasababu ya ukomavu wake kwenye kudebate, kuna waliombeza wengine wameshusha na matusi lakini hajakimbia uzi, kwa asilimia kubwa kashusha hoja zenye mashiko.

Nikirudi kwenye bandiko lako, kuhusu Kaini alioa watu gani, huenda alimuoa dada yake mtoto wa Lilith
Ieleweka kwamba kashashindwa hilo la kwanza mana msingi wa maada yangu haukutaka kujua kaini alioa ndugu au laa bali ni kuhusu machufuko ndani ya dunia kabla ya kuumbwa.

Ambapo kashindwa kujibu na kuweka maswal juu ya maswali , mbali zaidi kuonesha mada imempga chenga akaleta majibu ya kusema hizo zote ni ID za mleta maada.

Kwahyo ieleweke wazi kwamba kashindwa kurun jibu la mjadala tangu mwanzo kujaribu kujibu maswali nje na maada.

NB: Jibu lako sidhani kama lina mantiki kwasababu sio kiini cha maada ๐Ÿ“Œ
 
Kwanini Biblia zinazotumika makanisa hazina maelezo ya kueleweka kumhusu Lilith?
Kiasili hadithi ya Lilith sio Biblia, kuna mada Mshana Jr alileta jukwaani kuhusu yeye, ina nyama nyama kidogo, kama ataona haya maoni itakuwa vizuri akiattach ukasome mule wadau wamejitahidi kwenda deep sana
 
Kiasili hadithi ya Lilith sio Biblia, kuna mada Mshana Jr alileta jukwaani kuhusu yeye, ina nyama nyama kidogo, kama ataona haya maoni itakuwa vizuri akiattach ukasome mule wadau wamejitahidi kwenda deep sana
Zote hizo ni fiction tu.
 
Back
Top Bottom