Ukweli ni kwamba maandiko yote ya Kidini; BIBLIA, QURAN, TORAH, THE VEDAS, TRIPITAKA, THE KOJIK, THE GURU GRANTH SAHIB, RASTAFAR BIBLE na mengineyo yote.
Ni vitabu vya kutungwa na kuandikwa na binadamu wala sio vitabu vya Mungu.
Hakuna Mungu.
Maandiko yote yanayodaiwa kwamba ni ya Mungu, Sikweli ni uongo mtupu.
Ni maandiko ya kibinadamu tu. Yaliyo andikwa na binadamu.
Na kila mtu anajaribu kutetea andiko lake ambalo aliaminishwa na kupumbazwa tangu utotoni.
Lakini, ukweli ni kwamba, hakuna andiko lolote la Mungu.
Mungu hayupo.