Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 14,178
- 30,662
Unataka kujadili hadithi za uongo zilizojaa logical contradictions kutafuta ukweli wakati tayari hadithi hizo ni uongo?Kama Hadithi za sungura na fisi tunazisoma na kuzijadili, why tusijadili hizi unazoita stori uchwara?
Wewe unataka kutafuta ukweli kwenye uongo.