Je, Kulikuwa na Machafuko Kabla ya Mwanadamu?

Je, Kulikuwa na Machafuko Kabla ya Mwanadamu?

Kama Adamu na Hawa walikuwa chanzo cha wanadamu wote, basi
Kaini alimuoa mmoja wa binti za Adamu na Hawa—yaani dada yake.

Mungu alikuja kukataza hilo baadae kwenye walawi 18.
Tusitumie one single driven qn kuconclude hii maada mkuu twende all the way vipi kuhusu perception na overview kuhusu huo mstari wa mwanzo 1:2 ambao ndo msingi wa majadala
 
Sawa, umejenga theory yako kwa kutumia mifano na vifungu kadhaa vinavyofanana na hoja tunayojadili. Lakini bado kuna sehemu ambayo maandiko hayajasema wazi kwamba alioa ndugu yake hiyo ni conclusion uliyoifikia kutokana na unavyointerpret vifungu kwa hiyo, kwa namna hiyo mjadala unakuwa mgumu kuufuatilia kwa sababu bado hatujaweka msingi wa hoja vizuri kwanza tuweke nondo zote mahali pake tutenganishe kile Biblia inachosema wazi, kile tunachodhani kutokana na maandiko, na kile ambacho bado ni swali Baada ya hapo ndipo tunaweza kuendesha mjadala wenye mantiki na kueleweka, mkuu.
Mzee, mbona unataka kuleta mambo ya kisheria kwenye uhalisia? Hiyo siyo theory, ni deductive logic. Kama duniani kuna baba, mama, na watoto wao tu, unataka Biblia iandike mstari unaosema na Kaini alilala na dada yake ndio uamini?

Kuna vitu havihitaji kuandikwa neno kwa neno, vinahitaji akili ya kawaida tu. Ukikataa kuwa alioa ndugu yake, nipe hiyo alternative yako sasa, stop dodging the question.
 
Marcostilone unamaana ya kwamba kaini alilala na ndugu zake lakini biblia hyo hyo inasema

Walawi 20:17 mwanaume akimchukua dada yake na kufanya naye ngono, kitendo hicho kinahukumiwa kuwa cha aibu na wote wawili watachukuliwa hatua.

Kumbukumbu la Torati 27:22 anatolewa laana mtu anayelala na dada yake, awe wa baba au wa mama.

Bado huna majibu ambayo ni yamoja kwa moja maana suala hilo tayari lilikua laana tangu uumbaji kulala na umbu wako.
Kaini alioa dada yake,
Hii ni kabla ya walawi.
Ndio maana Mungu alileta katazo kwenye walawi 18. Maana yake aliona walikuwa wanaoana ndugu.

Unafikiri kama hakukuwa na hiyo hali kwa nini Mungu alikataza? Ina maana aliwasingizia?
 
Mzee, mbona unataka kuleta mambo ya kisheria kwenye uhalisia? Hiyo siyo theory, ni deductive logic. Kama duniani kuna baba, mama, na watoto wao tu, unataka Biblia iandike mstari unaosema na Kaini alilala na dada yake ndio uamini?

Kuna vitu havihitaji kuandikwa neno kwa neno, vinahitaji akili ya kawaida tu. Ukikataa kuwa alioa ndugu yake, nipe hiyo alternative yako sasa, stop dodging the question.
Twende slowly bado nastalk kwenye swali langu kama umetumia logic kwanini na sisi tusitumie logic kwamba before ya binadam kuumbwa basi kulikua na machafuko .? Ndomana sjaconclude kwa hizo logic kwasababu hakuna mahali palipo andikwa moja kwa moja ndomana sijategemea kuona majibu yako yawe kama haya unayo nipa kwamba kwasababu Abraham alioa ndg basi na kaini aliona ndugu bado uwezo wako wa kureason hili swala sijawa satisfied nao mkuu
 
Twende slowly bado nastalk kwenye swali langu kama umetumia logic kwanini na sisi tusitumie logic kwamba before ya binadam kuumbwa basi kulikua na machafuko .? Ndomana sjaconclude kwa hizo logic kwasababu hakuna mahali palipo andikwa moja kwa moja ndomana sijategemea kuona majibu yako yawe kama haya unayo nipa kwamba kwasababu Abraham alioa ndg basi na kaini aliona ndugu bado uwezo wako wa kureason hili swala sijawa satisfied nao mkuu
"Ukikataa kuwa alioa ndugu yake, nipe hiyo alternative yako sasa, stop dodging the question"

Hujayaelewa hayo maneno au hujui kusoma vizuri?
 
NB: huu ni mjadala huru ambao hauhitaji hoja za udini nisinge penda kuona kauli chafu au kubisha uwepo au kutokuwepo kwa mungu lizingatiwe hili
 
Tusitumie one single driven qn kuconclude hii maada mkuu twende all the way vipi kuhusu perception na overview kuhusu huo mstari wa mwanzo 1:2 ambao ndo msingi wa majadala
תֹהוּ וָבֹהוּ [ tohu va-bohu]
tohu = ukiwa, hali isiyo na mpangilio, isiyo na matumizi
bohu = utupu, hali isiyokuwa imejazwa

Unaposema machafuko maana yake hakukuwa na mpangilio na haikuwa imejazwa.
 
תֹהוּ וָבֹהוּ [ tohu va-bohu]
tohu = ukiwa, hali isiyo na mpangilio, isiyo na matumizi
bohu = utupu, hali isiyokuwa imejazwa

Unaposema machafuko maana yake hakukuwa na mpangilio na haikuwa imejazwa.
Sijakuelewa mkuu
 
Wakati najifunza kitabu cha Mwanzo kuna neno niliwahi kukutana nalo linaitwa tohu wabohu likieleza jinsi dunia ilivyokuwa utupu na ukiwa au bila umbo na tupu kabla ya Mungu kuleta mwanga na mpangilio.
inaweza kueleweka kama hali ya kutokuwa na mpangilio kisha simulizi inaendelea kuelekea kwenye mpangilio.

Pia kuna neno tehom kama "vilindi" ambayo hapo hapo pia kwenye mstari huo unaikuta. Tukirudi kwenye hoja yako kuna kitu wanaita gap theory sijui unauelewa nayo ili tuelekee huko.
 
"Ukikataa kuwa alioa ndugu yake, nipe hiyo alternative yako sasa, stop dodging the question"

Hujayaelewa hayo maneno au hujui kusoma vizuri?
inawezekana kama hypothesis, lakini hatuwezi kuthibitisha kutoka kwenye maandiko kwamba Kaini alioa mtu ambaye hakuwa ndugu yake. Vivyo hivyo, kusema kwa uhakika kwamba alioa dada yake pia ni conclusion inayotokana na tafsiri, si taarifa ambayo Mwanzo 4:17 inasema moja kwa moja.

kwa kusema hivo mimi pia naweza conclude kwamba hakuoa ndugu yake. So you have 50% i have 50% that is .
 
inawezekana kama hypothesis, lakini hatuwezi kuthibitisha kutoka kwenye maandiko kwamba Kaini alioa mtu ambaye hakuwa ndugu yake. Vivyo hivyo, kusema kwa uhakika kwamba alioa dada yake pia ni conclusion inayotokana na tafsiri, si taarifa ambayo Mwanzo 4:17 inasema moja kwa moja.

kwa kusema hivo mimi pia naweza conclude kwamba hakuoa ndugu yake. So you have 50% i have 50% that is .
Bado haujajibu ninachotaka kufahamu, rudia kusoma halafu ujibu tena.
 
Wakati najifunza kitabu cha Mwanzo kuna neno niliwahi kukutana nalo linaitwa tohu wabohu likieleza jinsi dunia ilivyokuwa utupu na ukiwa au bila umbo na tupu kabla ya Mungu kuleta mwanga na mpangilio.
inaweza kueleweka kama hali ya kutokuwa na mpangilio kisha simulizi inaendelea kuelekea kwenye mpangilio.

Pia kuna neno tehom kama "vilindi" ambayo hapo hapo pia kwenye mstari huo unaikuta. Tukirudi kwenye hoja yako kuna kitu wanaita gap theory sijui unauelewa nayo ili tuelekee huko.
Yeap let dive in mkuu
 
Hadithi za Biblia ni stori uchwara zilizojaa logical contradictions.

Achana na hadithi zisizo na kichwa wala miguu.
 
Hadithi za Biblia ni stori uchwara zilizojaa logical contradictions.

Achana na hadithi zisizo na kichwa wala miguu.
Naheshimu reply yako hvyo ningependa kuona ukichangia kuhusu mada iliopo juu sio vingenevyo vitakavyo zua mabishano yaliyopo nje ya mada.
 
Bado haujajibu ninachotaka kufahamu, rudia kusoma halafu ujibu tena.
Nimeelewa na alternative ya jibu langu ni 50% kwamba hakuoa ndugu kwasababu sina uhakika kimaandishi kama wewe ambavo hauna uhakika kuhusu kuoa ndugu yake ndomana nikasema 50%, kwani hata wewe umefanya deductive logic
 
Back
Top Bottom