Je, Kiusalama na Kiulinzi hiki ninachokiona sasa huku nchini Puerto Rico si hatari kwa Rais wetu?

Vita ya Uchumi ni mbaya kuliko ya Kisiasa nazan umeelewa. .wakati ni ukuta ukishindana na wakati utaumia mfano rahsi fatilia Threads za kukosoa kila jema la JPM apa kuna ambao hawataki kuamin macho yao kua wakati wa deal umeshapta...no way ndege imeshapaa na tutafka kwenye Tanzania Mpya ambayo wajukuu na vitukuu Vyetu vitaifaidi mema ya Nchi hii...GOD BLESS YOU JPM
 
Nchi ya Puerto Rico ndiyo nchi gani mjomba? Mimi nafahamu Puerto Rico ni sehemu ya taifa la marekani... Na hawana rais kule! Au!?
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Kweli bongo vilaza wengi , yani wanashindwa kuielewa nch ya "Puerto Rico" mtoa mada aliyoimaanisha.

Mkuu hata mimi naish Puerto Rico , nilijiuliza swali hili nikakosa jibu, labda ni maagizo ya mwenyew kiongoz wetu Puerto Rico.
 
Je Kiusalama na Kiulinzi ni ' afya ' kwa Kiongozi yoyote yule wa nchi kulindwa na askari waliobeba silaha kali na nzito popote pale anapokuwa au hasa akiwa katika halaiki ya Watu? Na kama ni sahihi je hawa Walinzi wanaoonekana wamebeba hizi ' silaha ' nzito wanaaminika vipi na Wenzao waliopo kuwa labda hawawezi ' kugeuka ' nyuma au wale waliopo nyuma hawawezi ' kumshambulia ' Kiongozi wetu?

Nitafurahi sana endapo nitajibiwa haya maswali yangu kwani kwa siku za hivi karibuni namuona sana Rais wa huku nilipo nchini Puerto Rico ' akilindwa ' namna hiyo hivyo nikaona si vibaya nikiwauliza ' Wabobezi ' wa masuala ya Kiulinzi na Kiusalama mliopo huko Tanzania mnisaidie kunifafanulia Kitaaluma na Kiueledi kabisa.

Nawasilisha na karibuni mno nchini Puerto Rico wana JF.
weka photoo
 
Mbona nipo huku siku nyingi sana Mkuu? Labda Wewe ni ' Mgeni ' Kwangu ila karibia 80% ya wana JF wanajua kuwa GENTAMYCINE naishi nchini Puerto Rico. Vipi unajisikia vibaya Mkuu kusikia Mimi naishi huku na Wewe mpaka sasa bado uko tu katika ' vumbi ' la Tanzania? Hata hivyo nitashukuru kama utanijibu swali langu.


!
!
Kila a huyo mkuu, hajaisoma code uliyotumia
 
hivi mbona hamjibu swali lake mmebaki na wivu aliowatengenezea katika kuwasilisha alichouliza, hii inaonyesha watu wanatamani kukimbia nchi lakini msihofu bado mda mchache sana atakuja mwingine.
 
Je Kiusalama na Kiulinzi ni ' afya ' kwa Kiongozi yoyote yule wa nchi kulindwa na askari waliobeba silaha kali na nzito popote pale anapokuwa au hasa akiwa katika halaiki ya Watu? Na kama ni sahihi je hawa Walinzi wanaoonekana wamebeba hizi ' silaha ' nzito wanaaminika vipi na Wenzao waliopo kuwa labda hawawezi ' kugeuka ' nyuma au wale waliopo nyuma hawawezi ' kumshambulia ' Kiongozi wetu?

Nitafurahi sana endapo nitajibiwa haya maswali yangu kwani kwa siku za hivi karibuni namuona sana Rais wa huku nilipo nchini Puerto Rico ' akilindwa ' namna hiyo hivyo nikaona si vibaya nikiwauliza ' Wabobezi ' wa masuala ya Kiulinzi na Kiusalama mliopo huko Tanzania mnisaidie kunifafanulia Kitaaluma na Kiueledi kabisa.

Nawasilisha na karibuni mno nchini Puerto Rico wana JF.
ulichosema kina ukweli na hasa kwa mazingira ya sasa mtu anaweza kujilipua akamuua baba mwenyenyumba binadamu aaminiki kwa kiasi hicho.
 
Mensah JF haiwezi poteza sifa kwa utashi wa mtu mmoja anayejiona yeye ni bora kuliko Jukwaa..

Mada: Ulinzi kuwa mkubwa ndani ya mipaka ya utawala wako ni uoga na kutojiamini.. Najiuliza akienda pale Syria huenda jeshi zima likahamia pale.
 
Back
Top Bottom