Mtanzania Mzawa
JF-Expert Member
- Jul 2, 2017
- 401
- 405
Vita ya Uchumi ni mbaya kuliko ya Kisiasa nazan umeelewa. .wakati ni ukuta ukishindana na wakati utaumia mfano rahsi fatilia Threads za kukosoa kila jema la JPM apa kuna ambao hawataki kuamin macho yao kua wakati wa deal umeshapta...no way ndege imeshapaa na tutafka kwenye Tanzania Mpya ambayo wajukuu na vitukuu Vyetu vitaifaidi mema ya Nchi hii...GOD BLESS YOU JPM