Je, Kiusalama na Kiulinzi hiki ninachokiona sasa huku nchini Puerto Rico si hatari kwa Rais wetu?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,052
107,535
Je Kiusalama na Kiulinzi ni ' afya ' kwa Kiongozi yoyote yule wa nchi kulindwa na askari waliobeba silaha kali na nzito popote pale anapokuwa au hasa akiwa katika halaiki ya Watu? Na kama ni sahihi je hawa Walinzi wanaoonekana wamebeba hizi ' silaha ' nzito wanaaminika vipi na Wenzao waliopo kuwa labda hawawezi ' kugeuka ' nyuma au wale waliopo nyuma hawawezi ' kumshambulia ' Kiongozi wetu?

Nitafurahi sana endapo nitajibiwa haya maswali yangu kwani kwa siku za hivi karibuni namuona sana Rais wa huku nilipo nchini Puerto Rico ' akilindwa ' namna hiyo hivyo nikaona si vibaya nikiwauliza ' Wabobezi ' wa masuala ya Kiulinzi na Kiusalama mliopo huko Tanzania mnisaidie kunifafanulia Kitaaluma na Kiueledi kabisa.

Nawasilisha na karibuni mno nchini Puerto Rico wana JF.
 
ulitaka tujue uko puetarico

Mbona nipo huku siku nyingi sana Mkuu? Labda Wewe ni ' Mgeni ' Kwangu ila karibia 80% ya wana JF wanajua kuwa GENTAMYCINE naishi nchini Puerto Rico. Vipi unajisikia vibaya Mkuu kusikia Mimi naishi huku na Wewe mpaka sasa bado uko tu katika ' vumbi ' la Tanzania? Hata hivyo nitashukuru kama utanijibu swali langu.
 
Mbona nipo huku siku nyingi sana Mkuu? Labda Wewe ni ' Mgeni ' Kwangu ila karibia 80% ya wana JF wanajua kuwa GENTAMYCINE naishi nchini Puerto Rico. Vipi unajisikia vibaya Mkuu kusikia Mimi naishi huku na Wewe mpaka sasa bado uko tu katika ' vumbi ' la Tanzania? Hata hivyo nitashukuru kama utanijibu swali langu.
Puerta Rico sio pa kujisifia ukienda!
Kwa ishu ulioongea, desperate times call for desperaye measures!
Tupo ktk vita na mafisadi na watu wenue nguvu sana! Kinga ni bora kuliko tiba!
 
Je Kiusalama na Kiulinzi ni ' afya ' kwa Kiongozi yoyote yule wa nchi kulindwa na askari waliobeba silaha kali na nzito popote pale anapokuwa au hasa akiwa katika halaiki ya Watu? Na kama ni sahihi je hawa Walinzi wanaoonekana wamebeba hizi ' silaha ' nzito wanaaminika vipi na Wenzao waliopo kuwa labda hawawezi ' kugeuka ' nyuma au wale waliopo nyuma hawawezi ' kumshambulia ' Kiongozi wetu?

Nitafurahi sana endapo nitajibiwa haya maswali yangu kwani kwa siku za hivi karibuni namuona sana Rais wa huku nilipo nchini Puerto Rico ' akilindwa ' namna hiyo hivyo nikaona si vibaya nikiwauliza ' Wabobezi ' wa masuala ya Kiulinzi na Kiusalama mliopo huko Tanzania mnisaidie kunifafanulia Kitaaluma na Kiueledi kabisa.

Nawasilisha na karibuni mno nchini Puerto Rico wana JF.
Usingetaja uliko unadhani usingejibiwa? Au ungejibiwa usingeyaelewa hayo majibu?

Wewe lazima ni MHAYA
 
14 Reactions
Reply
Back
Top Bottom