Je, Kinachomponza Mbowe ni Anasa?

Je, Kinachomponza Mbowe ni Anasa?

Status
Not open for further replies.
Hakuna msemaji wa mbowe hapa, wewe umesema jambo ni wewe ulete unachotaka kusema, ni wewe umesema Mbowe anatuhumiwa kubaka mtoto/watoto wadogo miaka ya tisini na kuna kesi za kubaka mahakamani, umeulizwa mahakama ganni na zilifunguliwa lini.. hadi sasa unajiuma uma. Kama hujui sema sijui!

kwa kifupi umeshindwa kujibu wewe kama msemaji wake mbowe....sasa kamjadili rostam aziz na makamba na ccm as you always do, natumaini itafuata ushauri wangu kama MNYIKA alivyofanya !
 
kwa kifupi umeshindwa kujibu wewe kama msemaji wake mbowe....sasa kamjadili rostam aziz na makamba na ccm as you always do, natumaini itafuata ushauri wangu kama MNYIKA alivyofanya !

ushaishiwa hoja sasa baaada ya kuona viroja vyako vikipotezwa kimoja baada ya kingine!
 
nimemquote mwanakijiji anajibu mwafrika wa kike, What the hell ?!
ukiulizwa wewe unakaa kimya !

It is the JF hell mwanaume wewe. Uache ushambenga. Sasa kamtazame Ballile na bwana wake Rostam, yamewashuka. Mkakati wao wa kufuatia kumsema Mengi na deni lake la NBC umekufa baada ya Mbowe kuwaumbua. Sasa news room inawaka moto. Mwambie Rostam akaandike na kuhariri habari mwenyewe.

Sasa NSSF watuambie, rostam na kampuni zake wamelipa mikopo yao? Na Manji je, yale mabilioni ya maghala. Na CCM fedha za SUKITA mwaka 1995 wamelipa deni?

Hebu tuwekee hapa ripoti za wadeni wa NSSF na PSPF na NPF, mtakoma kuringa mwaka huu

Asha
 
endeleeni kulia ! kimbieni basi kumjadili rostam aziz !

kuna mtu anataka kulia sasa!

pole sana Kada, hii ni JF na unahitaji kurudi kwenye status ile uliyokuwa miezi michache iliyopita ya kujadili issuez kama zilivyo na sio vilio kila mara... I miss the old Kada....
 
Ni wewe uliyelinganisha watu kulalamikia JF na sawa na mtu kulalamikia Tanzania, ulijaribu kulifanya liwe sehemu ya point na nikakuonesha haihusiani. Sasa kama mtoto miaka 7 anajua JF si nchi, inakuwaje mtu mzima ashindwe na kuilinganisha na nchi? Hilo limenishinda.

Siendelei kubishana, Kaa ukijua tu, by you saying what you said earlier, umechemsha big time!
 
Siendelei kubishana, Kaa ukijua tu, by you saying what you said earlier, umechemsha big time!


well, yawezekana nimechemsha, kuliko mtu kusema kitu ambacho siyo tu hakikuchemka lakini kimedoda! Kama mtu anakandia nyumba anayolala, kwamba "inavuja, imeoza, inanuka" halafu kila siku anakuja kulala hapo utamwelewaje mtu huyo? Well kufuatana na mwelekeo wa mawazo yako utasema "usimkosoe, kwani kumkosoa ni sawa na kumkosoa mtu anayesema Tanzania inanuka rushwa!" wapi na wapi?

Sasa nimejaribu kukusaidia kukuonesha upotofu wa hoja yako, lakini naona ni jaribio lililoshindwa maana mifano mingine hata kuionesha kuwa ni mifano mibovu inakuwa ni kibarua!
 
well, yawezekana nimechemsha, kuliko mtu kusema kitu ambacho siyo tu hakikuchemka lakini kimedoda! Kama mtu anakandia nyumba anayolala, kwamba "inavuja, imeoza, inanuka" halafu kila siku anakuja kulala hapo utamwelewaje mtu huyo? Well kufuatana na mwelekeo wa mawazo yako utasema "usimkosoe, kwani kumkosoa ni sawa na kumkosoa mtu anayesema Tanzania inanuka rushwa!" wapi na wapi?

Sasa nimejaribu kukusaidia kukuonesha upotofu wa hoja yako, lakini naona ni jaribio lililoshindwa maana mifano mingine hata kuionesha kuwa ni mifano mibovu inakuwa ni kibarua!

Mkjj,

hili ni somo ambalo kwa wengine inaonekana itahitaji miaka kulielewa. Mpe shule taratibu tu atakulewa!
 
Siendelei kubishana, Kaa ukijua tu, by you saying what you said earlier, umechemsha big time!

Nilichosema "earlier" bado kipo kiangalie nimesema nini. Sisemi maneno kwa kukurupuka kama mtu anayedai mbowa amebaka vitoto na ana kesi mahakamani halafu anashindwa kutaja hata mahakama yenyewe! Kila neno ninalotumia nalipima na kulipanga sisemi kwa kubahatisha.

Kama unakandia JF na kuiona kuwa ni ya Chadema, kwanini unashinda hapa? Hakuna mtu anafungwa kamba na kuburutwa! Hapa ni mahali huru na chadema haihusiki hata chembe; lakini hilo hamlitaki na badala yake mnapaona pabaya patamu!, kutema hamtaki kutema, kumeza hammezi, mmebakia kumumunya!
 
Nilichosema "earlier" bado kipo kiangalie nimesema nini. Sisemi maneno kwa kukurupuka kama mtu anayedai mbowa amebaka vitoto na ana kesi mahakamani halafu anashindwa kutaja hata mahakama yenyewe! Kila neno ninalotumia nalipima na kulipanga sisemi kwa kubahatisha.

Kama unakandia JF na kuiona kuwa ni ya Chadema, kwanini unashinda hapa? Hakuna mtu anafungwa kamba na kuburutwa! Hapa ni mahali huru na chadema haihusiki hata chembe; lakini hilo hamlitaki na badala yake mnapaona pabaya patamu!, kutema hamtaki kutema, kumeza hammezi, mmebakia kumumunya!

Sawa basi bwana Mwanakijiji. Usipate hasira za bure, ni maneno yako tu yanakurudi.
 
ushindi mwingine hauna furaha, kumshinda dada yako au mtu unayemheshimu hakuna furaha! so, sioni raha ya ushindi wa namna hiyo.

No hard feelings?

Not at all...wewe ni mzee wa hekima nyingi, sipendi utetereke! While in the spirit, naomba nipatie ile dosier ya Dual Citizenship basi? Nimesubiri weeeeeee?
 
Not at all...wewe ni mzee wa hekima nyingi, sipendi utetereke! While in the spirit, naomba nipatie ile dosier ya Dual Citizenship basi? Nimesubiri weeeeeee?

duh.. nikuombe if you don't mind remind me like on Friday nitumie PM tu ili nikumbuke I have it somewhere lakini hadi nianze kutafuta kwenye folders.. kwa sababu ni ya miaka kama miwili sasa. Halafu nadhani ninayo kwenye http://www.blog.co.tz/mapambazuko kule pia niliiweka, kama una budi angalia ya archive ya 2006.
 
Itaeleweka tu muda si mrefu ingawa wengine ni vichwa ngumu na hata shule itolewe vipi hawaelewi..... one day your good will grow up and be a very strong good .....

Mwenye kichwa kigumu Mbowe, kaacha familia yake kwenda kusoma na hatimaye kafukuzwa shule kwa kufeli. Haelewi kabisa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom