Je, Kikwete ni mdini?

Je, Kikwete ni mdini?

Walionacho ni kina nani? wanaiibia hii nchi ni wakina nani? Naamini leo hii Serikali ikiamua kuwakaliakooni kina Chenge, Lowasa na wezi wengine pia mtalalamika mtasema anatumia udini maana wengi wa mafisadi kuanzaia Benki kuu, kwenye wizara na halmashauri wakristo wanaongoza kwa ufisadi.

walionacho ni Wakristo Waislamu na Wapagani pia wasio nacho ni Wakristo Waislamu pia na wapagani Nina uhakika 100% kwamba imani hizi zote hazifundishi UFISADI na muumini akifisadi ni uasi wake binafsi na fatwah yake ni moto wa milele maana imani yake haifundishi kufisadi Unacho kifanya ni kwamba una bunduki lakini unalenga shabaha isiyo husika mwanangu Hebu TAFAKARI na uchukue hatua kupambana na adui no 1 wa taifa hili Naye ni UFISADI tukiushìnda Huo UJINGA, UMASKINI NA MARADHI TUTAPIGA HATUA KUBWA Tusiwe kama watoto watano wa mmbwa wanaotoana damu kunyonya wakati mama yao ana matiti kumi na mbili jee wangeafikiana pa kunyonya mengine saba hayana mnyonyaji MUNGU Ametukirimia mali asili nyingi tu tatizo ni USIMAMIAJI Mwanangu!
 
Sokomoko kabla hujaamua kuja na thread hii ulifuatilia vigezo vya uteuzi wa viongozi ktk taifa hili na kuona kuwa moja ya criteria ni dini zao? Kwanini utoe mfano wa uteuzi wa viongozi? Au udini ni kuwa umezungukwa na wa watu wa imani yako?

Naomba utusaidie uelewa wako juu ya udini. Naamini tukishakuelewa tutaweza kuchangia kwa tija.

Jingine wanasikologia wanasema mara nyingi sana watu upenda kuwasingizia wenzao mambo ambayo ni hulka yao. Angalizo ukisikia mtu yeyote awe kiongozi au la anahubiri sana juu ya udini chances are that yeye ni mdini tu believe me you.
 
Sokomoko kabla hujaamua kuja na thread hii ulifuatilia vigezo vya uteuzi wa viongozi ktk taifa hili na kuona kuwa moja ya criteria ni dini zao? Kwanini utoe mfano wa uteuzi wa viongozi? Au udini ni kuwa umezungukwa na wa watu wa imani yako?

Naomba utusaidie uelewa wako juu ya udini. Naamini tukishakuelewa tutaweza kuchangia kwa tija.

Jingine wanasikologia wanasema mara nyingi sana watu hupenda kuwasingizia wengine mambo ambayo ni hulka yao. Angalizo ukisikia mtu yeyote awe kiongozi au la anahubiri sana juu ya udini chances are that yeye ni mdini tu believe me you.
 
a. Una maana CCM isimsimamishe mgombea muislamu hata kama anakubalika ifikapo 2015?

b. Nyerere alisema wapi hayo kuwa "haitakuwa fair"?

A:Yes, iwapo CCM itamsimamisha Muislamu mwaka 2015 basi kuna hatari ya nchi kuvurugika, kwa sababu watu wataamini kwamba CCM ni chama cha dini fulani. Unajua mwaka 2000 CUF ilikuwa na wafuasi wengi kwa sababu Waislamu wengi waliamini kwamba CCM haiwatendei haki. Waislamu wengi waliamini ni bora kumpigia kura Lipumba (Muslim) kuliko Mkapa (Mkristo). Same issue kwa Chadema mwaka huu, ukiangalia kura nyingi walizopata Chadema ni sehemu ambazo inasemekana kuna Wakristo wengi.

B: Source nyingi ziliripoti hii issue ktk view tofauti. Lakini kuna inside source ambazo zilisema issue ilikuwa zaidi kwamba, Nyerere alisema ni fair kwa Wakristo iwapo rais atakaekuja atakuwa mkiristo. Haimake sense, watu wampigie kura mtu ambaye hana uzoefu wa kundesha nchi. Kwa nini walimpigia kura mtu ambaye hajui kuongoza nchi?
 
[QUOTE=Sokomoko;1332833]Waislam walikuwa na taasisi nyingi na shule nyingi sana tanzania nzima ( Tambaza, Azania, Dodoma Secondary) muulize mhe Hashim Saggaf au Sango Kipozi walisoma Dodoma Secondary ilikuwa shule ya nani. Shule hizi zilikuwa classic. shule hizi zilitaifishwa na serikali na mpaka leo hii zipo chini ya serikali huku serikali ikiwacha kanisa likichanuwa. Ni kweli lakini Kikwete angepata fursa ya kusoma ingekuwa taasisi za kiislamu zingepewa fursa sawa na za kiroma.

Nyumba nyingi za NHC ni za waislamu zilitaifishwa enzi za uhujumu uchumi ili kukwamisha maendeleo ya waislam ukizungumza ukweli wewe mdini mnataka waislam wakubali kuimba mapambia wakiingia kwenye ofisi za umma maana kuna vinanda vinalia kila ofisi ya serikali na mauwa ya chrismass acheni hizo chuki. Waislam walishakubali siku nyingi ila nyie mnachokonoa waseme...
[/QUOTE]




MIE NADHANI WE NDO MDINI NA UNATAFUTA SABABU NA KUPANDIKIZA CHUKI MIONGONI MWA DINI HIZI MBILI. MWAMBIE MUNGU WAKO AKUSAMEHE DHAMBI HII YA UCHONGANISHI




 
......kwanza rekebisha 'hakuna ruzuku ya kuendesha makanisa' ila taasisi za kijamii za makanisa. Pili, wakristo walipeleka proposal yao yenye akili, wakajenga hoja na maantiki ikaonekana then mou ikasainiwa. Angalia leo ni wilaya ngapi au maeneo mangapi tanzania hii kuna hosptal za kikristo ambapo hata serikali haina haja ya kujenga zao maana zimekidhi hitaji. Kuona wakristo wamekubaliwa hoja yao, waislam waka-cpoy na ku-paste na kosa kubwa kwenye barua yao wakaweka sababu kwamba 'kama mlivyowakubalia wakristo' idea kubwa ikiwa ni kuwatega serikali nao wakapewa kubwa. Okay, taasisi za kijamii za kikristo zinapata exemption na ruzuku lakini vipi zina deliver quality service? Jibu ni yes! Tena far beyond shule na hospital zenu za kisanii!!! Nawashauri onyeseheni mifano hai kwa kuwa na taasisi bora za kijamii then mu-apply kama sisi! Hilo ndio tatizo la kuwa watoto wa mama mdogo/housegirl (hajir) otherwise ukikereka kuwa mtoto wa mama mwenye nyumba (sara)
 
Hata 2015 hadi 2035 Rais akiwa Muislam muislam muislam potelea kwa mbali mmesikia tunachagua Papa au Shehe hapa? tunataka kiongozi atakayekutoa kwenye haya matatizo ya kujitakia na hii msijitie mnaipotezea tunataka KATIBA MPYA!
 
......kwanza rekebisha 'hakuna ruzuku ya kuendesha makanisa' ila taasisi za kijamii za makanisa. Pili, wakristo walipeleka proposal yao yenye akili, wakajenga hoja na maantiki ikaonekana then mou ikasainiwa. Angalia leo ni wilaya ngapi au maeneo mangapi tanzania hii kuna hosptal za kikristo ambapo hata serikali haina haja ya kujenga zao maana zimekidhi hitaji. Kuona wakristo wamekubaliwa hoja yao, waislam waka-cpoy na ku-paste na kosa kubwa kwenye barua yao wakaweka sababu kwamba 'kama mlivyowakubalia wakristo' idea kubwa ikiwa ni kuwatega serikali nao wakapewa kubwa. Okay, taasisi za kijamii za kikristo zinapata exemption na ruzuku lakini vipi zina deliver quality service? Jibu ni yes! Tena far beyond shule na hospital zenu za kisanii!!! Nawashauri onyeseheni mifano hai kwa kuwa na taasisi bora za kijamii then mu-apply kama sisi! Hilo ndio tatizo la kuwa watoto wa mama mdogo/housegirl (hajir) otherwise ukikereka kuwa mtoto wa mama mwenye nyumba (sara)

Kijana hujui kipi hasa kimepelekea serikali kufuta ile ruzuku, simple wengi mashahidi kuwa hata hizo hospital watu wanalipia hakuna huduma ya bure na ujenzi wa mashule na mahospitali jamaa hufanya harambee. Pesa zinazopatikana kwenye harambee ndio wanajengea either shule au hospital. Zile pesa za ruzuku walikuwa wanatafuna wajanja wachache muulizeni Slaa anajua hili maana yeye alikuwa jikoni na ndio maana na yeye akapiga zile pesa za msaada za itali.

Halafu mambo ya huda za jamii ni suala la Serikali na sio makanisa na misikiti kupewa ruzuku ila wao wanaweza kufanya kutegemea vyanzo vyao vya mapato na misaada kutoka kwa marafiki wa nje na ndani. Pesa za kodi zijenge mashule na mahospitali na zijengwe na serikali na sio sub contractor huko pesa nyingi zinatapanywa.

Halafu kuhusu misamaha ya kodi sio kama haitoki ila sio kama ilivyozoeleka. Kipindi kile utakuta Kanisa dogo tu hala lipu halina lakini kwenye list linaonekana limepata msamaha wa mamilioni ya pesa imeagiza vitu kadha wa kadha nenda pale kanisani uone kama utakuta hivyo vitu! Na hili haliwaadhiri wakristo peke yake hata waislam walitumia sana hii mbinu ya kutumia taasisi kukwepa kodi ila wenzetu waliwazidi!

Yaliyopita si ndwele tujengeni nchi kama mlikuwa mnakwepa kodi kwa kupisha biasha zenu huko tafuteni vyanzo vingine.
 
A:Yes, iwapo CCM itamsimamisha Muislamu mwaka 2015 basi kuna hatari ya nchi kuvurugika, kwa sababu watu wataamini kwamba CCM ni chama cha dini fulani. Unajua mwaka 2000 CUF ilikuwa na wafuasi wengi kwa sababu Waislamu wengi waliamini kwamba CCM haiwatendei haki. Waislamu wengi waliamini ni bora kumpigia kura Lipumba (Muslim) kuliko Mkapa (Mkristo). Same issue kwa Chadema mwaka huu, ukiangalia kura nyingi walizopata Chadema ni sehemu ambazo inasemekana kuna Wakristo wengi.

B: Source nyingi ziliripoti hii issue ktk view tofauti. Lakini kuna inside source ambazo zilisema issue ilikuwa zaidi kwamba, Nyerere alisema ni fair kwa Wakristo iwapo rais atakaekuja atakuwa mkiristo. Haimake sense, watu wampigie kura mtu ambaye hana uzoefu wa kundesha nchi. Kwa nini walimpigia kura mtu ambaye hajui kuongoza nchi?

Thank God Edward Lowassa will be our 5th President....... Hapo ndio mtajua tamu na chungu maana nadhani zitazaliwa richmond kama utitiri anyway mlilia wembe.............
 
Sokomoko kabla hujaamua kuja na thread hii ulifuatilia vigezo vya uteuzi wa viongozi ktk taifa hili na kuona kuwa moja ya criteria ni dini zao? Kwanini utoe mfano wa uteuzi wa viongozi? Au udini ni kuwa umezungukwa na wa watu wa imani yako?

Naomba utusaidie uelewa wako juu ya udini. Naamini tukishakuelewa tutaweza kuchangia kwa tija.

Jingine wanasikologia wanasema mara nyingi sana watu hupenda kuwasingizia wengine mambo ambayo ni hulka yao. Angalizo ukisikia mtu yeyote awe kiongozi au la anahubiri sana juu ya udini chances are that yeye ni mdini tu believe me you.

Hapo kwenye nyekundu unaamanisha Chadema ni wadini maana wao ndio wanaopiga makelele humu JF kuwa JK mdini.

Na pili Chadema ni wezi maana wao pia wanalalamika CCM wamewaibia kura.

Nipo tayari kurekebiswa au unifafanulie zaidi.
 
Tatizo ni kuwa JF imevamiwa na watu wenye makengeza[myopic] na kwao kila kitu ni black and white na kwa bahati mbaya wanazungumzia mambo bila ya utafiti na udadisi hadi wanatukana hadharani naona mheshimiwa mod analifurahia hili maana yu kimya sana.
JF sasa imekuwa ni kijiwe tuu yeyote asiyekuwa na shughuli maalum na mwenye acess na mtandao anaweza sema lolote lile.
Jamani lets go back to where we started ambapo wana jf walikuwa kweli great thinkers
 
Sokomoko naona umeamua kwa makusudi kabisa kuwalisha waislamu wenzako upupu! Hiyo organizational structure inahusikaje na masuala ya udini? Naona unaunderestimate nafasi ya waziri! Umesahau juzi Magufuli kamtimua mtu kazi? Usitafute kulazimisha hoja hata kama ni kwa kusema uwongo, haitakusaidia kitu!

UDINI.jpg
 
Tatizo ni kuwa JF imevamiwa na watu wenye makengeza[myopic] na kwao kila kitu ni black and white na kwa bahati mbaya wanazungumzia mambo bila ya utafiti na udadisi hadi wanatukana hadharani naona mheshimiwa mod analifurahia hili maana yu kimya sana.
JF sasa imekuwa ni kijiwe tuu yeyote asiyekuwa na shughuli maalum na mwenye acess na mtandao anaweza sema lolote lile.
Jamani lets go back to where we started ambapo wana jf walikuwa kweli great thinkers

Abunwasi
user-online.png
JF Senior Expert Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
Join DateThu Jun 2009LocationUrbanitePosts458Thanks247Thanked 119 Times in 94 Posts
Samahani mkuu hivi ile ID yako ya where we started inaitwaje vile? plz niPM
 
Ona unachoandika uko kama taahira! Mkapa huyo huyo aliwapa chuo kikuu ili mpunguze Madrassa

Alitoa chuo cha morogoro kama kucompromise kwa aliowaua mwembechai.....lakini kesi yake ipo inashughulikiwa kwa kufanya mauaji.
 
hizo takwimu zako zinaweza kuwa sahihi lakini pia lazima uanzie mbali kuutazama uwiano wa waislamu na wakristo...........ukifuatilia wanaopmaliza vyuo utakuta wakristo ni zaidi ya 90% ya graduates na hata ktk taasisi nyingi nchi kukitangazwa nafasi za kazi wakristo wanaojitokeza kuomba huwa zaidi ya 90% the rest mchanganyiko.....sasa ajabu ni kuwa watu watu hao hao wasiionekana shuleni kwa uwiano ndio inaonekana wanaonekana serikalini /.......who?......bible inasema asiyefanya kazi na asile...na kwa hiyo asiyesoma na asipewe nafassi naamini nafasi kubwa ya waislamu ingekuwa kutafuta ma-expert wa kumobilise maandamano tu basi....................kwa hiyo takwimu za uwiano lazima zianzie mbali kabisa na sio kuangalia mdomo na pua ambavyo viko jirani kabisa na macho

Mwalimu amvunja mkono mwanafunzi wake

Mwalimu wa Kiingereza katika Shule ya Msingi Furaha jijini Mwanza, Jafeth Manyirizu, anatafutwa na Jeshi la Polisi mkoani humo kufuatia kudaiwa kumvunja mkono mwanafunzi wake, Asia Yasini, wakati akimwadhibu kwa kumpiga kwa ubao.

Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi mkoani humo, Simon Siro, chanzo cha mwalimu kumvunja mkono mwanafunzi huyo ni kupindisha mstari wakati akifundishwa somo hilo. “Jeshi langu linaendelea na upelelezi wa tukio hili ili liweze kumtia katika nguvu za dola na sheria iweze kuchukua mkondo wake dhidi iya mwalimu huyu katili,” alisema Siro ambaye amewaomba Walimu wenye tabia hiyo kuacha vitendo hivyo kwani kitendo alichofanyiwa binti huyo ni cha ukatili.

Mkuu wa shule hiyo, Emmanuel Manoni, amesema hana taarifa za kitendo alichofanya Mwalimu huyo lakini akaahidi kuwa atazifuatilia ili kuzifahamu kwa undani.

Source Dar leo.

Umeona mwalim Japhet anahakikisha kina Asia wanaichukia Shule ila kina Christina wanahakikishiwa kuipenda shule na kumaliza bila vikwazo.


http://www.wavuti.com/habari.html#ixzz17EpqQv59
 
huyu SOKOMOKO nafikiri uwezo wake wa kufikiri ni mdogo, wahenga husema usibishane na mjinga na wewe utakuwa mjinga

mwisho kabisa Dr Magufuli kamfukuza kazi Mrema aliyekuwa Chief Executive Office wa Tanroads, kwa akili ya Sokomoko na Malaria Sugu huyu mrema angewa Muislamu wangesema Dr Magufuli ni mdini kamfukuza mwislam mwenzetu ili amweke mkristu tujitahidi kumkwamisha kazi maana waislam tunaonewa.
 
Mwalimu amvunja mkono mwanafunzi wake

Mwalimu wa Kiingereza katika Shule ya Msingi Furaha jijini Mwanza, Jafeth Manyirizu, anatafutwa na Jeshi la Polisi mkoani humo kufuatia kudaiwa kumvunja mkono mwanafunzi wake, Asia Yasini, wakati akimwadhibu kwa kumpiga kwa ubao.

Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi mkoani humo, Simon Siro, chanzo cha mwalimu kumvunja mkono mwanafunzi huyo ni kupindisha mstari wakati akifundishwa somo hilo. “Jeshi langu linaendelea na upelelezi wa tukio hili ili liweze kumtia katika nguvu za dola na sheria iweze kuchukua mkondo wake dhidi iya mwalimu huyu katili,” alisema Siro ambaye amewaomba Walimu wenye tabia hiyo kuacha vitendo hivyo kwani kitendo alichofanyiwa binti huyo ni cha ukatili.

Mkuu wa shule hiyo, Emmanuel Manoni, amesema hana taarifa za kitendo alichofanya Mwalimu huyo lakini akaahidi kuwa atazifuatilia ili kuzifahamu kwa undani.

Source Dar leo.

Umeona mwalim Japhet anahakikisha kina Asia wanaichukia Shule ila kina Christina wanahakikishiwa kuipenda shule na kumaliza bila vikwazo.





Sokomoko, may be you think you are doing something constructive but on contrary you are doing it destructive

Cant you at least try to put everything in a proper way?? Is this the first act for a Christian teacher to punish Muslim student?? Is there no any Muslim teacher who punish christian students?? What do you want this country to go!!! You mean a person from a different denomination or religious background should not punish the other??

If this is where you want us to reach then go ahead with your malicious argument here in JF.

Lets be constructive please!!!!!!!!!!!!!
 
Mods, na wana JF,

Haitakuwa busara kwa thread hii kuipeleka sehemu ya dini, inajulikana sehemu hiyo haifikiwi na watu wengi hapa JF ikiwa mimi mmoja wapo.

Ni matumaini yangu kuweza kuiaccess hii thread na kuona mijadala ikichangiwa ili kuweza kujua ukweli.


Sitegemei kuwa JF/Mods wapo kwa ajili ya kuchochea chuki dhidi ya Serikali iliyopo madarakani kwani kama itakuwa ni hivyo basi wanafanya jambo la hatari sana linaloweza kutugharimu. Tumeona ile thread ya OIC ikiachiwa kuchangiwa na kila mtu na mwenye kila tusi dhidi ya dini ya kiisamu na kejeli akiachiwa kwa marefu na mapana. Kwahiyo sioni sababu ya hii thread ya kisiasa zaidi kutupiwa huko kusikojulikana.


Mwisho napenda kutoa angalizo:

Sio haki kuhamisha thread ya mtu na kuipeleka sehemu asiyokuwa na access nayo. Hapa JF ni sehemu ya kutoa mawazo na kila mmoja aheshimiwe mawazo yake na sio kufungwa na kutupwa kapuni.

Kuna tetesi Zimeenea mtaani kuwa baada ya JK kuingia madarakani aligomea ruzuku iliyokuwa ikitolewa na Serikali kuendesha makanisa pamoja na taasisi zinazoendeshwa na makanisa katoliki nchini kama shule, hospitali na vyuo. "The Government shall provide financial assistance to Church institutions and shall seek financial assistance to Church run social services in its bilateral negotiations with foreign governments"

source
:The Memorandum of Understanding between the Government of the United Republic of Tanzania and the Tanzania Episcopal Council (TEC) and the Christian Council of Tanzania-page 3 (attached herewith)

Nasikia JK aliwaambia kuwa nchi hii haina dini na itakuwa ubaguzi kuwapa ruzuku watu wa dini moja na kuwaacha wa dini nyinginezo akatolea mfano kuna waislam, wabudda, masingasinga, wahindu na wasiokuwa na dini je hao hawana haki ya kupewa ruzuku? na serikali ikitoa ruzuku kwa hawa wote itawezaje kujiendesha? Basi bora mkose wote. Hapo naona JK aliona mbali sana ila hakujua kama anajiharibia yeye na chama chake. Na ndio maana kwa kutumia mlango wa nyuma kuna chama kikasimamisha watumishi wa Mungu kwa wingi na kufanikiwa kupenya kila pembe ya Tanzania. Inasemekana Kanisa liliplay part kubwa kwa mafanikio ya chama fulani. Na hizo zilikuwa ni hasira za watumishi wa kanisa.

KUNA TETESI KUWA WAFUATILIAJI WA MAMBO WAMEITHIBITISHIA SERIKALI UBADHIRIFU MKUBWA WA RUZUKU ILIYOKUWA INATOLEWA NA SERIKALI SAMBAMBA NA MISAMAHA YA KODI. MISAMAHA HII YA KODI NI ILE YA UAGIZWAJI MAGARI NA VITU MBALIMBALI KUPITIA TRUSTEES ZA MAKANISA. NA TANGU KUANZA KUBANWA KUMEKUWA NA UAIGIZAJI WA VITU MDOGO TOFAUTI NA HAPO MWANZO, MAANA INASEMEKANA WAJANJA WALIKUWA WANATUMIA MWANYA HUO KUJINUFAISHA.

Ukiunganisha picha itaona hapo ndio chanzo hasa cha timbwili hili mnaloliona leo lililo vikwa ngozi ya vyama vya siasa ( upinzani ). Hapo awali Wakristo na CCM walikuwa chanda na pete. Ilikuwa ni kosa la jinai kwa mkristo mwenye imani kuwa upinzani ndio maana hata viongozi wao wengi mwaka 2005 walisema JK "chaguo la Mungu"

Leo hii ukitia pua tu JF na maeneo mengi kwenye mitandao na mitaani utakutana na shutuma kuwa JK ni Mdini, lakini hawatoi facts za udini wake.

Je, JK ni mdini?

Orodha ya Baraza la Mawaziri na Manaibu wa Wizara 26 za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 2010 - 2015

  1. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utawala Bora - Mathias Chikawe (Mkristo)
  2. Waziri wa Nchi, Oisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu - Steven Wassira (Mkristo)
  3. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma - Hawa Ghasia
  4. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Waziri wa Muungano - Samia Suluhu Hassan
  5. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Waziri wa Mazingira - Dk. Terezya Luoga-Hovisa (Mkristo)
  6. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Waziri wa Sera, Uratibu na Bunge - William Lukuvi (Mkristo)
  7. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Waziri wa Uwekezaji na Uwezeshaji - Mary Nagu (Mkristo)
  8. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa - George Mkuchika (Mkristo)
  9. Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (i) - Aggrey Mwanri (Mkristo)
  10. Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (ii)Kassim Majaliwa -
  11. Waziri Wizara ya Fedha - Mustapha Mkullo
  12. Naibu Waziri Wizara ya Fedha (i) - Gregory Teu (Mkristo)
  13. Naibu Waziri Wizara ya Fedha (ii) - Pereira Ame Silima
  14. Waziri Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi - Shamsi Vuai Nahodha
  15. Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi - Balozi Khamis Suedi Kagasheki
  16. Waziri wa Katiba na Sheria - Selina Kombani (Mkristo)
  17. Waziri Wizara ya Mambo ya Nje - Bernard Membe (Mkristo)
  18. Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Nje - Mahadhi Juma Mahadhi
  19. Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa - Dk. Hussein Ali Hassan Mwinyi
  20. Waziri Wizara yaMaendeleo ya Mifungo - Dk. Mathayo David Mathayo (Mkristo)
  21. Naibu Waziri Wizara ya Maendeleo ya Mifungo - Benedict Ole Nangoro (Mkristo)
  22. Waziri Wizara ya Mawasiliano Sayansi ya Teknolojia - Profesa Makame Mnyaa M'barawa
  23. Naibu Waziri Wizara ya Mawasiliano Sayansi ya Teknolojia - Charles Kitwanga(almaaruf Mawe Matatu) (Mkristo)
  24. Waziri Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi - Profesa Anna Kajumulo-Tibaijuka (Mkristo)
  25. Naibu Waziri Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi - Goodluck Ole Medeye (Mkristo)
  26. Waziri Wizara ya Maliasili na Utalii - Ezekiel Maige (Mkristo)
  27. Waziri Wizara ya Nishati na Madini - William Mghanga Ngeleja (Mkristo)
  28. Naibu Waziri Wizara ya Nishati na Madini - Adam Kighoma Ali Malima
  29. Waziri Wizara ya wa Ujenzi (Barabara na Viwanja vya Ndege) - Dk. John Pombe Magufuli (Mkristo)
  30. Naibu Waziri Waziri Wizara ya wa Ujenzi - Dk. Harrison Mwakyembe (Mkristo)
  31. Waziri Wizara ya Uchukuzi - (Reli, Bandari, Usafiri wa Majini) - Omary Nundu
  32. Naibu Waziri Wizara ya Uchukuzi - Athuman Mfutakamba
  33. Waziri Wizara ya Viwanda na Biashara -Dk. Cyril Chami (Mkristo)
  34. Naibu Waziri Wizara ya Viwanda na Biashara - Lazaro Nyalandu (Mkristo)
  35. Waziri Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi - Dk. Shukuru Kawambwa (Mkristo)
  36. Naibu Waziri Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi - Philipo Mulugo (Mkristo)
  37. Waziri Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii - Dk. Haji Hussein Mpanda
  38. Naibu Waziri Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii - Dk. Lucy Nkya (Mkristo)
  39. Waziri Wizara ya Kazi na Ajira - Gaudensia Kabaka (Mkristo)
  40. Naibu Waziri Wizara ya Kazi na Ajira - Dk. Makongoro Mahanga (Mkristo)
  41. Waziri Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto - Sophia Simba
  42. Naibu Waziri Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto - Umi Ali Mwalimu
  43. Waziri Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo - Emmanuel John Nchimbi (Mkristo)
  44. Naibu Waziri Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo - Dk. Fenela Mukangala (Mkristo)
  45. Waziri Wizara ya Ushirikiano Afrika Mashariki - Samuel John Sitta (Mkristo)
  46. Naibu Waziri Wizara ya Ushirikiano Afrika Mashariki - Abdallah Juma Abdallah
  47. Waziri Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika - Profesa Jumanne Maghembe
  48. Naibu Waziri Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika - Christopher Chizza (Mkristo)
  49. Waziri Wizara ya Maji - Profesa Mark James Mwandosya (Mkristo)
  50. Naibu Waziri Wizara ya Maji - Gerson Lwinge (Mkristo)
Jumla yote ni 50 kati yao wakristo 32 na waislam 18.

Wakristo 64%
Waislam 36%

Ukiangalia wakuu wa mikoa na wilaya utaona wakristo ni wengi zaidi ya waislam sasa sijui na sifahamu huo udini wa JK upo wapi???

Mwenye data tafadhali azilete jamvini.


Kuna habari za hivi punde ni kuwa kuna makampuni zaidi ya 80 ya clearing and forwarding yamefungiwa kwa sababu mbalimbali kubwa hasa ubabu mashi. Inajulikana kwenye sekta hii watu wa kutoka mkoa fulani wameishikilia kwa asilimia zaidi ya 80. Inasemekana sifa ya watu wanaotoka huko ni ujanja mwingi na ni wakwepaji wakubwa wa kodi na walitumia vizuri sana nafasi ya kuwa na udugu kuanzia uwaziri mpaka kamishna wakati wa Che Nkapa.

Ushauri kwa JK, Mkuu wee endelea kukaza buti watu walipe kodi kwa manufaa ya nchi usijali tunakusapoti kwa maana hawana shukrani Serikali imewaachia wamekula sana kodi kupitia ukwepaji na misamaha hewa lakini wamekuwa mbele kunyea kambi.

Hawa wote waliokugongengea senks wanajulikana kwa misamamo yao ya ubaguzi ya dini
Abunwasi (Today), John10 (Yesterday), M TZ 1 (3rd December 2010), Malaria Sugu (Yesterday), MchunguZI (Yesterday), Mwanamageuko (3rd December 2010), MziziMkavu (3rd December 2010), Ncha (3rd December 2010), Semjato (Today), X-PASTER (3rd December 2010)​
 
Ukiwapa ukweli wanakimbilia propaganda za kusema kuwa Waislam hawajasoma... Wakati mwingine utasikia ooh nendeni shule kwanza! Propanda zimewachukuwa kiasi wanajiona kuwa wao ndio wasomi peke yao...!

Kwa aliyseoma aposti madudu kama hayo!
 
huyu SOKOMOKO nafikiri uwezo wake wa kufikiri ni mdogo, wahenga husema usibishane na mjinga na wewe utakuwa mjinga

mwisho kabisa Dr Magufuli kamfukuza kazi Mrema aliyekuwa Chief Executive Office wa Tanroads, kwa akili ya Sokomoko na Malaria Sugu huyu mrema angewa Muislamu wangesema Dr Magufuli ni mdini kamfukuza mwislam mwenzetu ili amweke mkristu tujitahidi kumkwamisha kazi maana waislam tunaonewa.

Si uliona aliyevaa kibandiko mahakamani alivyoleta sokomoko! Sasa wewe ingia na viatu msikitini kama utasalimika.
 
Back
Top Bottom