mgen
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 23,254
- 9,168
Walionacho ni kina nani? wanaiibia hii nchi ni wakina nani? Naamini leo hii Serikali ikiamua kuwakaliakooni kina Chenge, Lowasa na wezi wengine pia mtalalamika mtasema anatumia udini maana wengi wa mafisadi kuanzaia Benki kuu, kwenye wizara na halmashauri wakristo wanaongoza kwa ufisadi.
walionacho ni Wakristo Waislamu na Wapagani pia wasio nacho ni Wakristo Waislamu pia na wapagani Nina uhakika 100% kwamba imani hizi zote hazifundishi UFISADI na muumini akifisadi ni uasi wake binafsi na fatwah yake ni moto wa milele maana imani yake haifundishi kufisadi Unacho kifanya ni kwamba una bunduki lakini unalenga shabaha isiyo husika mwanangu Hebu TAFAKARI na uchukue hatua kupambana na adui no 1 wa taifa hili Naye ni UFISADI tukiushìnda Huo UJINGA, UMASKINI NA MARADHI TUTAPIGA HATUA KUBWA Tusiwe kama watoto watano wa mmbwa wanaotoana damu kunyonya wakati mama yao ana matiti kumi na mbili jee wangeafikiana pa kunyonya mengine saba hayana mnyonyaji MUNGU Ametukirimia mali asili nyingi tu tatizo ni USIMAMIAJI Mwanangu!