je kesi ikufutwa mahakamani(mahakama ya mwanzo)kimakosa na hukuridhika na maamuzi hayo je taratibu zipi kupata haki yako

log e

Member
Apr 5, 2018
16
10
habari wanaJF kesi mahakamani hususan mahakama za mwanzo ikifutwa na kama kumetokea hitlafu katika ufutaji kesi hio ni taratibu gani za kuchukua kufufua kesi hio na kama hujarizika na ufutaji wa kesi ni zipi taratibu za kufanya.kupata haki zako kuendelea na kesi
 
habari wanaJF kesi mahakamani hususan mahakama za mwanzo ikifutwa na kama kumetokea hitlafu katika ufutaji kesi hio ni taratibu gani za kuchukua kufufua kesi hio na kama hujarizika na ufutaji wa kesi ni zipi taratibu za kufanya.kupata haki zako kuendelea na kesi
Kesi gani?
 
habari wanaJF kesi mahakamani hususan mahakama za mwanzo ikifutwa na kama kumetokea hitlafu katika ufutaji kesi hio ni taratibu gani za kuchukua kufufua kesi hio na kama hujarizika na ufutaji wa kesi ni zipi taratibu za kufanya.kupata haki zako kuendelea na kesi
achana kwanza na hizo hitilafu,imefutwa kwa ajili gani? haukuhudhuria mahakamani?na wewe ni mlalamikaji au mlalamikiwa katika kesi husika?
 
achana kwanza na hizo hitilafu,imefutwa kwa ajili gani? haukuhudhuria mahakamani?na wewe ni mlalamikaji au mlalamikiwa katika kesi husika?
Samahani nami nidandie 'Lift' je, kama Mimi ni Mlalamikiwa na sikuhudhuria mahakamani kesi ya madai bila kutoa taarifa yoyote mahakamani ni nini kitakachoendelea??
 
Samahani nami nidandie 'Lift' je, kama Mimi ni Mlalamikiwa na sikuhudhuria mahakamani kesi ya madai bila kutoa taarifa yoyote mahakamani ni nini kitakachoendelea??
kesi itaendelea kusikilizwa upande mmoja na hukumu itatolewa kulingana na uthibitisho wa madai uliotelewa na mlalamikaji dhidi yako,na itabidi uitekeleze
 
kesi itaendelea kusikilizwa upande mmoja na hukumu itatolewa kulingana na uthibitisho wa madai uliotelewa na mlalamikaji dhidi yako,na itabidi uitekeleze
Je, kama hukumu imetolewa naruhusiwa kupata nakala ya hukumu na kuruhusiwa kukata rufaa mahakama ya juu japo awali sikuwa nimehidhuria mahakama ya chini iliyotoa hukumu?
 
kesi itaendelea kusikilizwa upande mmoja na hukumu itatolewa kulingana na uthibitisho wa madai uliotelewa na mlalamikaji dhidi yako,na itabidi uitekeleze
Je kutakua na ushahidi mpya na je utaweza pokelewa na Mahakama!!??
 
Je, kama hukumu imetolewa naruhusiwa kupata nakala ya hukumu na kuruhusiwa kukata rufaa mahakama ya juu japo awali sikuwa nimehidhuria mahakama ya chini iliyotoa hukumu?
Kwanza tuambie,umepigwa chini kwa which grounds, ili tukushauri kabla hujakataa rufaa ili tuone kama utatoboa kwenye rufaa yako!!
 
achana kwanza na hizo hitilafu,imefutwa kwa ajili gani? haukuhudhuria mahakamani?na wewe ni mlalamikaji au mlalamikiwa katika kesi husika?
yes mimi ndio mlalamikaji nilifika mahakamani saa 3 kamili asubuh kama siku zote tunaanza kuitwa mda huo lakini nilivyofika nikamfata karani akaniambia uliitwa saa moja hukutokea kwaiyo kesi imefutwa.nikawauliza hata siku moja kesi mbon sijawai ona imeitwa saa moja asubuhi na mbona sijawahi kosa session hata moja wakaniambia hilo ilo nikosa lako wao washafunga kesi
 
yes mimi ndio mlalamikaji nilifika mahakamani saa 3 kamili asubuh kama siku zote tunaanza kuitwa mda huo lakini nilivyofika nikamfata karani akaniambia uliitwa saa moja hukutokea kwaiyo kesi imefutwa.nikawauliza hata siku moja kesi mbon sijawai ona imeitwa saa moja asubuhi na mbona sijawahi kosa session hata moja wakaniambia hilo ilo nikosa lako wao washafunga kesi
makarani siwaelewi kwa kweli alafu ni kesi ya jinai
 
Kwanza tuambie,umepigwa chini kwa which grounds, ili tukushauri kabla hujakataa rufaa ili tuone kama utatoboa kwenye rufaa yako!!
Wakati wa kesi Mimi nikiwa mdaiwa nilishindwa kufika mahakamani na pia sikuitaarifu mahakama sababu za kushindwa kuhudhuria mahakamani.
 
Je kutakua na ushahidi mpya na je utaweza pokelewa na Mahakama!!??
navyofikiri ushahidi mpya unaweza kuwepo lakini iikawa inategemea maamuzi ya mahakama kupokea au kutopekea kuwa sehemu ya ushahidi wa mlalamikaji au mlalamikiwa(inategemea na nafasi za wadaawa katika kesi au shauri husika),japo kuwa nafikiri kwa shauri au kesi ambayo inaenda upande mmoja(Ex-parte hearing or trial) ushahidi mpya hautaweza kupokelewa sababu utaenda kumnyima mdai au mdaiwa(inategemea nafasi za waadawa katika kesi au shauri )haki ya kuweza kuuliza maswali ya dodoso au uhalali wa ushahidi au kielelezo husika,ila itaweza kukubaliwa endapo haitaweza kuvunja au kunyima haki ya upande wa pili, lengo ni kuhakikisha Impartiality and justice are attained.
 
Je, kama hukumu imetolewa naruhusiwa kupata nakala ya hukumu na kuruhusiwa kukata rufaa mahakama ya juu japo awali sikuwa nimehidhuria mahakama ya chini iliyotoa hukumu?
Kupata nakala ya hukumu pamoja na mwenendo wa shauri ni haki yako,pia utaruhusiwa kukata rufaa kwenda mahakama ya juu,ila kwa kufuata taratibu za kisheria kabla ya rufaa husika.
 
Je, kama hukumu imetolewa naruhusiwa kupata nakala ya hukumu na kuruhusiwa kukata rufaa mahakama ya juu japo awali sikuwa nimehidhuria mahakama ya chini iliyotoa hukumu?
Unaruhusiwa ili mradi uwe ndani ya muda, iwapo muda umepita itabidi uombe kukata rufaa nje ya muda ukiweka sababu zilizokufanya uchelewe kukata rufaa.
 
yes mimi ndio mlalamikaji nilifika mahakamani saa 3 kamili asubuh kama siku zote tunaanza kuitwa mda huo lakini nilivyofika nikamfata karani akaniambia uliitwa saa moja hukutokea kwaiyo kesi imefutwa.nikawauliza hata siku moja kesi mbon sijawai ona imeitwa saa moja asubuhi na mbona sijawahi kosa session hata moja wakaniambia hilo ilo nikosa lako wao washafunga kesi
Nenda kawaone tume ya utumishi ya mahakama huku ulifata taratibu za kukata rufaa.
 
yes mimi ndio mlalamikaji nilifika mahakamani saa 3 kamili asubuh kama siku zote tunaanza kuitwa mda huo lakini nilivyofika nikamfata karani akaniambia uliitwa saa moja hukutokea kwaiyo kesi imefutwa.nikawauliza hata siku moja kesi mbon sijawai ona imeitwa saa moja asubuhi na mbona sijawahi kosa session hata moja wakaniambia hilo ilo nikosa lako wao washafunga kesi
Unaruhusiwa kuomba Kurejeshwa kwa mashtaka (re-instutuion of the charge/complaint )yako katika mahakama iliyofuta kesi yako ndani ya siku 30 toka siku au tarehe ambayo kesi yako imefutwa au tarehe ya hukumu /maamuzi ya mahakama
 
Back
Top Bottom