Hivi karibuni kumekuwa na taarifa ya JWTZ kusema litafanya msako kwenye nyumba za wananchi kutafuta wenye mavazi yanayofanana na za kwako. JWTZ hawajasema kama kuna mali zao zilizoibwa, hivyo hizo wanazotaka kutafuta ni za nani?
Kama kuna yanayomilikiwa na watu yanayofanana na za kwako, nani aliruhusu kuingizwa nchini na kuuzwa? Je, JWTZ hawana kazi ya kufanya hadi kutamani kufanya kazi ya Polisi?
Je, nchini yetu imetangaza hali ya hatari? Je, kwanini ukiukwaji wa sheria unaonekana kufurahiwa Tanzania? Tujadiliane kuhusu hili na kuona nini cha kuishauri serikali yetu sikivu. Wanasheria mtusaidie kuhusu hili. Nawasili.
Kama kuna yanayomilikiwa na watu yanayofanana na za kwako, nani aliruhusu kuingizwa nchini na kuuzwa? Je, JWTZ hawana kazi ya kufanya hadi kutamani kufanya kazi ya Polisi?
Je, nchini yetu imetangaza hali ya hatari? Je, kwanini ukiukwaji wa sheria unaonekana kufurahiwa Tanzania? Tujadiliane kuhusu hili na kuona nini cha kuishauri serikali yetu sikivu. Wanasheria mtusaidie kuhusu hili. Nawasili.