ram.........nakumbuka wakati nilipofahamu tu kuhusu uwepo wa (wakati ule) Jambo Forum, nilikuwa navutiwa sana na mijadala ambayo hawa jamaa walikuwa wanaanzisha na kuchangia. Now that you have mentioned them, najumuika nawe katika kuuliza wako wapi?!
Walisoma kitabu "is it possible" wakiwa sekondari wataona neno "sting" lina maana gani. Ni moja ya vitabu nilivyovifurahia sana. Pia kwa wale wanaopenda filamu za James Bond wataelewa maana ya "007" Filamu za James Bond nazifurahia sana.
kadoda=m2 fulan mjanja mjanja mwenye upeo mkubwa wa kuelewa v2 vingi.na2mia namba 11 baada ya sever ya JF kugoma kuikubali ID ya kadoda.nikaona ngoja nizitupie 11 kwa mbele yake.ila kwa kikwe2 kadoda ina maana zaidi ya niliyo jitafsiria.wazee wa kingon wanaweza ku2saidia.
Wajamani, hebu tusema, hizi user names kila mtu anayo yake, nini haswa chanzo chake? sababu haswa nini?
Kwa mfano,"Mwanakijiji" kwa nini iwe hilo jina wakati unaishi mjini? (I guess)
Au, "Pdidy" kisa cha kutumia jina la mmarekani?
BTW, "Futota" ina maana "ame/nime nenepa" kwa Kijapani; na mimi si haba nyama za mwili sijanyimwa:lol:
Polite ni nickname nilopewa na wanafunzi toko primary mpaka nagraduate chuo na ndugu huniambia nimerithi hulka za upole toka kwa mama yangu ambaye ni mpole sana but baba ni mkali kama mbilimbi, me mwenye huwa sijioni kama ni pole kias hicho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.