We upo chuo?Lipen na sie tupate mbona mnakuwa na roho mbaya mkilipa na sie tutapata ss ivi chuo tunaishi ka tuko ukraine jmn kisq nyie mshapata na kazi mnataka mlipe kdg kdg mbona wakat unachukua hukuliongea ilo lipen na sie watt wa maskin tupate japo kdg
NakaziaLipen na sie tupate mbona mnakuwa na roho mbaya mkilipa na sie tutapata ss ivi chuo tunaishi ka tuko ukraine jmn kisq nyie mshapata na kazi mnataka mlipe kdg kdg mbona wakat unachukua hukuliongea ilo lipen na sie watt wa maskin tupate japo kdg
Nipo sua mwaka wa kwanza nmekosa mkopo nataka nirud tu mtaan nkakomae hii nchi inatutesa sn ss walala hoiWe upo chuo ?
Course gan unasoma MkuuNipo sua mwaka wa kwanza nmekosa mkopo nataka nirud tu mtaan nkakomae hii nchi inatutesa sn ss walala hoi
Nipo aquaculture kweli aisee wengi wanashindwaCourse gan unasoma Mkuu
Mwaka huu wanufaika Ni wachache Sana wameomba watu 80k na watakaopewa Ni 42k so jiandae kisaikolojia Mkuu hila usikate tamaa unaweza kuona hata hapo chuo First year mwaka huu mpo wachache.