Je, Huyu karani aliyeandika stakabadhi ya serikali ya Jamhuri ya Tanzania yuko sahihi?

Hiyo ni elimu humu pia wasiojua wanatakiwa kujua inakuwaje.

Bi alert pia kwa wahusika wengine kuongeza umakini kisitokee kama hichi.

Kikubwa o kidogo inategemea umelichukuliaje jambo.
Ndio maana nasema Ni mambo ya kipumbavu kwa sababu hakukuwa na ulazima wa kuweka humu Zaid ya kumuelimisha aliendika hyo stakabadhi

Kuweka humu haitosaidia kumuelimisha huyo aliekosea Jambo jema na busara Ni kumuelemisha hapo hapo alipo na kuchapa mwendo

Kuweka humu Ni kutafuta kiki za kipumbavu tu kwa mtu mmoja kukosea.kwa maana hakuna binadamu aliekamilika hata Mara Moja huo uhasibu nilishaupitia miaka hyo iliyopita na Nina elewa Kuna vitu ukivipa nafas vitapoteza muda wako wa kufikiria mambo ya msingi.

Wakati inaandikwa nadhani mhusika alikuwepo kwann asimwambie kuwa amekosea????

Mpaka anapewa stakabadhi anaiyona imekosewa kwann asiende sehemu husika kwa aliekuwa juu ya alieandika ili iwe cancelled na stakabadhi ilirudishwa mahala pake ikiwa cancelled?????

Kuleta humu Ni unafki na majungu tu

kilicho akilini kitumie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mjinga anaetoa fedha, million thelathini, anapewa stakabadhi ambayo Kwa muono wako wewe ambae upo sahihi unaiona ni shillingi ngapi zimepokelewa? Au mimi ambae naona imepokelewa hundi ya million thelathini ndiye sipo sahihi?
Hapo sasa!
Hakimu Mwandamizi si mtu mdogo...ni mtoa hukumu ambaye maamuzi yake yanaweza kumtia ndani si Mbunge tu wa kuchaguliwa bali na Mkuu wa Upinzani kwenye Bunge letu tukufu.

Hii si mara ya kwanza...huko nyuma tumewahi kuona vituko vinavyofanana na hata kuzidi hiki cha karani katika ofisi ya Hakimu Mwandamizi.

vitukoTZ1.jpg

FaizaFoxy, hapo sasa!

Aliyeanzisha thread ni mimi Mag3 na kwa kweli majibu yanayotolewa humu yanashangaza, yanasikitisha na yanaudhi! Namuomba anayejua anielimishe ni shilingi ngapi zimeandikwa kwa tarakimu kwenye risiti na pia anijuze kwa maneno Thirty millions only ni kiasi gani?

stakabadhi.jpg


Kwa mambo ya fedha siasa tuweke pembeni jamani...kwanza mimi si mwana Chadema ingawa ni kweli siungi mkono utawala wa kiimla tulio nao. Pili, niliuliza hilo swali kwa nia njema tu na sio kwa kebehi kama inavyojaribu kukuzwa na baadhi ya wachangiaji.

Hakuna mahali panahitaji umakini kama ofisi ya karani mpokea fedha, kosa dogo tu linaweza kuzua taharuki na kuleta mtafaruku katika jamii. Kutokuwa makini kumechangia sana katika kuchagua hovyo watu wa hovyo na kuwakabidhi hovyo madaraka yanayowazidi kimo.

Ushauri kwa limbukeni na washamba, acheni kung'ang'ania lugha msizozijua, mtatuuza! Kwa mtindo huu, hatufiki...

.
 
Namuomba anayejua anielimishe ni shilingi ngapi zimeandikwa kwa tarakimu kwenye risiti na pia anijuze kwa maneno Thirty millions only ni kiasi gani?

View attachment 1384954
Mkuu Mag3, asante kwa kurejea, bandiko hili hadi limewaibua wagonjwa wa macho bila kujijua.

Katika nchi inayotumia local currency unaweza kutaja tuu kiasi cha fedha bila kuandika jina la fedha hiyo na ukawa right.

Hivyo Thirty millions only ni Shilingi milionin thelathini na haina tatizo lolote, mimi mwenyewe for local transactions, na issue hundi nimeiandika just that "One Million Only" or "Ten Millions Only" bila kuweka prefix ya TZS, or suffix ya Shillings and it gets through. Hakuna tatizo lolote hapo.
P
 
Mkuu Mag3, asante kwa kurejea, bandiko hili hadi limewaibua wagonjwa wa macho bila kujijua.

Katika nchi inayotumia local currency unaweza kutaja tuu kiasi cha fedha bila kuandika jina la fedha hiyo na ukawa right.

Hivyo Thirty millions only ni Shilingi milionin thelathini na haina tatizo lolote, mimi mwenyewe for local transactions, na issue hundi nimeiandika just that "One Million Only" or "Ten Millions Only" bila kuweka prefix ya TZS, or suffix ya Shillings and it gets through. Hakuna tatizo lolote hapo.
P
Pascal Mayalla, nadhani mimi na wewe tuko sayari mbalimbali...unachojibu na ninachouliza ni kama mbingu na Ardhi kwa zilivyopishana! Sijauliza Thirty millions ni kitu gani, nimeuliza Thirty millions ni kiasi gani? Haijalishi kama ni hela ya Tanzania, Ugagagigikoko au vitumbua, Thirty millions ni kiasi gani?

Pili, hizo tarakimu, kama zinavyosomeka, ni kiasi gani? Kwa nini hakuandika tu milioni thelathini ambayo kwa tarakimu ni 30,000,000?
 
Ameacha nafasi kibao za digits mbele ya 30,000,000 akaandika kwa kubania hadi kwenye sehemu ya cents. Digits zote za 30,000,000 zingeweza kuenea kama angetumia umakini kidogo
Ninaamini kuwa hiyo list haibadilishi wala haiweki doa au shaka yoyote kwenye accounting facts
 
Pascal Mayalla, nadhani mimi na wewe tuko sayari mbalimbali...unachojibu na ninachouliza ni kama mbingu na Ardhi kama zilivyopishana! Sijauliza Thirty millions ni kitu gani, nimeuliza Thirty millions ni kiasi gani? Haijalishi kama ni hela ya Tanzania, Ugagagigikoko au vitumbua, Thirty millions ni kiasi gani?

Pili, hizo tarakimu, kama zinavyosomeka, ni kiasi gani?
Mkuu Mag3, ndio maana tangu mwanzo nimesema hakuna tatizo, na kukuuliza wewe mwenzetu ume note nini?.

Mwanza umekuja na swali hili "Thirty millions ni kiasi gani?", nimekujibu vizuri tuu kuwa ni Milioni Thelathini.

Hizo tarakimu pia ni milioni thelathini, hiyo mistari miwili ya mwanzo na mwisho ni seal ya kufungua na kufunga figures kuzuia zisiwe tempered na sio cancellation.
P
 
Mkuu Mag3, asante kwa kurejea, bandiko hili hadi limewaibua wagonjwa wa macho bila kujijua.

Katika nchi inayotumia local currency unaweza kutaja tuu kiasi cha fedha bila kuandika jina la fedha hiyo na ukawa right.

Hivyo Thirty millions only ni Shilingi milionin thelathini na haina tatizo lolote, mimi mwenyewe for local transactions, na issue hundi nimeiandika just that "One Million Only" or "Ten Millions Only" bila kuweka prefix ya TZS, or suffix ya Shillings and it gets through. Hakuna tatizo lolote hapo.
P

Sheria ya Tanzania iko wazi kuwa transacations zote ndani ya nchi zitafanywa kwa TZS tu. Hata hiyo list ya Exchequer inaonjesha kuwa ni TZS na cents. Matatizo ya mwandiko wa karani siyo makosa ya kisheria.
 
Pascal Mayalla, nadhani mimi na wewe tuko sayari mbalimbali...unachojibu na ninachouliza ni kama mbingu na Ardhi kwa zilivyopishana! Sijauliza Thirty millions ni kitu gani, nimeuliza Thirty millions ni kiasi gani? Haijalishi kama ni hela ya Tanzania, Ugagagigikoko au vitumbua, Thirty millions ni kiasi gani?

Pili, hizo tarakimu, kama zinavyosomeka, ni kiasi gani? Kwa nini hakuandika tu milioni thelathini ambayo kwa tarakimu ni 30,000,000?
Mzee, huoni kuwa list imeshasema ni shilingi ngapi? Unataka kuleta ya mambo ya Green vest ya kijani, au shule ya sekondari ya wasichana ya Songea Girls Sceondary School? mambo ya makarani waachie makarani
 
Mzee, huoni kuwa list imeshasema ni shilingi ngapi? Unataka kuleta ya mambo ya Green vest ya kijani, au shule ya sekondari ya wasichana ya Songea Girls Sceondary School? mambo ya makarani waachie makarani
Naunga mkono hoja, hapa Mkuu Mag3 analeta mambo ya long experience ya uzoefu wa muda mrefu.
P
 
Mkuu Mag3, then vihiyo tutakuwa wengi!.
Mimi sijaona tatizo lolote na risiti hiyo.
Kwasababu watu tunatofautiana uwezo wa kuona, Mkuu Mag3, please share your observations utusaidie akina sisi tuliotoka ukoo ule wa washamba na malimbukeni, ili nasi kuona kile ulicho kinote..
P
Hahahhh Paskali buana
Ni hivi
Thirty Million Only in what? Shillings or Dollar £¥€ what?!
Hapo ndio kosa lipo
Thirty Million Shillings Only ni sahihi zaidi
 
Sitaeleza mengi ila nitaachia picha iongee...

View attachment 1384541

Kinachohuzunisha na kusikitisha ni kwamba hii risiti imetolewa ofisini kwa Hakimu Mkazi Mwandamizi, Kisutu.
Watu watakushambulia bure na kuleta utetezi kuwa hata hapa JF watu wanakosea lakini hapo ni mahakamani na huyo ni mwajiriwa.. Kama kuna mahali watu wanatakiwa kuwa majini basi ni kwenye sheria na mahakamani kwakuwa kosa moja dogo kabisa la kisarufi ama nukta linaweza kutoa hukumu batili
Anyway simlaumu sana kwakuwa pengine katika historia ya utendaji wake wa kazi hajawahi kuandika faini kubwa kiasi hicho

Jr
 
Hakimu Mwandamizi si mtu mdogo...ni mtoa hukumu ambaye maamuzi yake yanaweza kumtia ndani si Mbunge tu wa kuchaguliwa bali na Mkuu wa Upinzani kwenye Bunge letu tukufu.

Hii si mara ya kwanza...huko nyuma tumewahi kuona vituko vinavyofanana na hata kuzidi hiki cha karani katika ofisi ya Hakimu Mwandamizi.

View attachment 1384920
FaizaFoxy, hapo sasa!

Aliyeanzisha thread ni mimi Mag3 na kwa kweli majibu yanayotolewa humu yanashangaza, yanasikitisha na yanaudhi! Namuomba anayejua anielimishe ni shilingi ngapi zimeandikwa kwa tarakimu kwenye risiti na pia anijuze kwa maneno Thirty millions only ni kiasi gani?

View attachment 1384954

Kwa mambo ya fedha siasa tuweke pembeni jamani...kwanza mimi si mwana Chadema ingawa ni kweli siungi mkono utawala wa kiimla tulio nao. Pili, niliuliza hilo swali kwa nia njema tu na sio kwa kebehi kama inavyojaribu kukuzwa na baadhi ya wachangiaji.

Hakuna mahali panahitaji umakini kama ofisi ya karani mpokea fedha, kosa dogo tu linaweza kuzua taharuki na kuleta mtafaruku katika jamii. Kutokuwa makini kumechangia sana katika kuchagua hovyo watu wa hovyo na kuwakabidhi hovyo madaraka yanayowazidi kimo.

Ushauri kwa limbukeni na washamba, acheni kung'ang'ania lugha msizozijua, mtatuuza! Kwa mtindo huu, hatufiki...

.
Aliyepewa hiyo risiti, baada ya kulipa shilllingi ngapi vile? Ni hakimu?
 
Kiongozi sidhani kama hili sio la kulaumu. Hizo ni pesa. Mimi ningekuwa mhusika kule Magereza ningekataa kumtoa aliyelipiwa kwa hiyo risiti. Makosa si ya mwandishi kwa sababu makosa hutokea na risiti kufutwa, namlaumu mbumbumbu ambaye alishindwa ku observe makosa ya risiti hii na kwenda kukimbilia kumtoa Bulaya.

Siyo kila kitu cha kukimbilia kulaumu au kushambuliana. Mengine muwe mnayaacha yapite, maadam hayana madhara basi yatajirekebisha yenyewe tu.
 
Nyie jamaa ni mabingwa wa kukosoa na kuhoji hata mambo yasiyokuwa na impact yoyote ila cha ajabu maamuzi yoyote yanayofanywa na Mbowe hata yawe ya kijinga vipi mko kimya zaidi ya kupiga vinubi!
 
Hivi matumizi ya risiti za kuandika kwa mkono si yamekatazwa? Kwanini hawakutoa EFD
 
Unashangaa nini? Afadhali ya huyo mwandishi alifanya kosa la kuongeza herufi S baada ya mllion. lugha hiyo ni ya kigeni. Wengi wenu humu ndani hata kiswahili hamkijui vizuri na mnaboronga kila siku.
ni kule kwenye namba inaonekana kama ni 30,000 na si 30,000,000 Auditors watakua wanaelewa
 
Ameacha nafasi kibao za digits mbele ya 30,000,000 akaandika kwa kubania hadi kwenye sehemu ya cents. Digits zote za 30,000,000 zingeweza kuenea kama angetumia umakini kidogo
Ila nahisi ndio maana kuna kuandika kwa maneno na kwa namba, ili kupunguza utata.
 
Back
Top Bottom