Tetesi: Je? Humphrey Polepole Press Yake itabadili upepo ndani ya CCM?

Tetesi: Je? Humphrey Polepole Press Yake itabadili upepo ndani ya CCM?

Barca

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2013
Posts
1,619
Reaction score
1,921
Hali ndani ya CCM imebadilika baada ya press YA Mheshimiwa Balozi Humphrey Polepole. Naona vikao vimesitishwa vilivyokuwa vifanyike tarehe 18 na 19 Julai 2025 kwaajili ya teuzi mbalimbali za wabunge. Je hali inaweza kubadilika ili kufuata kile Humphrey amesema kukiukwa kwa tamaduni za CCM? Na je kama itatokea kuna badilika Nani amejiandaa kuwa Rais wa awamu ya Saba? Kazi ipo hapa
 

Attachments

  • IMG-20250719-WA0011.jpg
    IMG-20250719-WA0011.jpg
    43 KB · Views: 21
Hali ndani ya CCM imebadilika baada ya press YA Mheshimiwa Balozi Humphrey Polepole. Naona vikao vimesitishwa vilivyokuwa vifanyike tarehe 18 na 19 Julai 2025 kwaajili ya teuzi mbalimbali za wabunge. Je hali inaweza kubadilika ili kufuata kile Humphrey amesema kukiukwa kwa tamaduni za CCM? Na je kama itatokea kuna badilika Nani amejiandaa kuwa Rais wa awamu ya Saba? Kazi ipo hapa
Feki hii
 
Mbegu imepandwa. Kuna wengi wana mawazo kama ya Polepole ila wanaogopa kutoka front. Amewaonyesha njia, mfano wapate ujasiri kujitokeza.

Yeyote yule atakuwa mzuri kuliko Samia, kwenye uzalendo, maliasili za Tanganyika, haki za Watanganyika, uchungu na kodi za Watanganyika, kupunguza ufisadi, rushwa, teuzi za hovyo, kodi, tozo, umeme, maji, miundombinu, udini, ukabila.
 
Mzee wa mitamaa aliona kabisa tonge atapokonywa hapa
Screenshot_20250719-105123.png
 
Mbegu imepandwa. Kuna wengi wana mawazo kama ya Polepole ila wanaogopa kutoka front. Amewaonyesha njia, mfano wapate ujasiri kujitokeza.

Yeyote yule atakuwa mzuri kuliko Samia, kwenye uzalendo, maliasili za Tanganyika, haki za Watanganyika, uchungu na kodi za Watanganyika, kupunguza ufisadi, rushwa, teuzi za hovyo, kodi, tozo, umeme, maji, miundombinu, udini, ukabila.
Adui wa Tanganyika ni mtanganyika.
Mengi anayo laumiwa Mh.Samia yanafanywa na au wameshiriki watanganyika wabinafsi na wenye tamaa.
Wanaomshauri kwa nia mbaya ya kificho bila yeye kufahamu hila zao.
Wanajitajirisha wao kupitia kiti Cha huyo kiongozi.
 
Watu hawaelewi....! Ngoja niwaambie.

Pole pole ana Back up ya Wazee wa CCM walioshika nafasi za juu kwenye Chama na Serikali, Wazee ambao ikitokea changamoto, Viongozi wa Sasa huwafata kuwaomba Ushauri (Kikwete hayupo).

Polepole ni aina ya Mtu anayeongea sana na Wazee kuliko Vijana, na ana urafiki kabisa na Wazee wengi.

Wakiongea naye Wazee wangemwambia Chama ni Vijana, sisi tumezeeka, Viongozi wangetutafuta pale wao wakituhitaji, Wewe Polepole ni Kijana, amka simama paza Sauti, Ongea, sisi hatuna Nguvu Tena, nenda kaongee, ukishaongea kutatokea sintofahamu, then ndiyo watatufata Wazee, na sisi tutapiga pale pale kwenye Kidonda.

Pole pole asingeweza kuongea akiwa Balozi, na ukumbuke Polepole Hana Cha kupoteza, ameshawahi kushika nafasi za juu sana kwenye Chama na Serikali wastani wa No. 3 Enzi ya Maghufuri, angeweza tu kuendelea kula mafao yake ya Ubalozi, na Kwa Umri wake angeweza kuwa Balozi Kwa zaidi ya miaka 10 mbele, lakini Kila anaongea na Wazee wanamwambia Nchi inapotea huku Vijana mnatizama....!?

Mwisho akaamua kuacha Ubalozi, akashika Sindano na kutoboa Jibu, usidhani kamaliza, anayo mengi ya kusema, Pole pole anayajua mengi kwenye hii Nchi kuliko hata Mawaziri wa kawaida ama Wabunge, so anawasubiri.....! Na huko Kwa nje, Wazee wanawasukuma Vijana wengine, watoke waseme.....!

Tegemea Mabadiriko soon.
 
Ukimuona Nchi-mbili ujue hapo 'Roast la hamster' toka Uajemi linafanya yake.
Hilo Roast lilishindwa kuweka mtu wake 2015 kupitia Hayati Mamvi.
Watu wanamsema mstaafu wa karibu 'Charlie nzee' ndiyo remote kumbe mzee naye kazidiwa na nguvu ya Roast.
 
Adui wa Tanganyika ni mtanganyika.
Mengi anayo laumiwa Mh.Samia yanafanywa na au wameshiriki watanganyika wabinafsi na wenye tamaa.
Wanaomshauri kwa nia mbaya ya kificho bila yeye kufahamu hila zao.
Wanajitajirisha wao kupitia kiti Cha huyo kiongozi.
100% correct. Huwa nawashangaa sana watu wanaowashangaa mababu zetu waliowauza Waafrika wenzetu utumwani.

Ilihali wenyewe sasa hivi wakipewa uchawa, cheo, pesa, mtawala akitumia dini, kabila, vyama wako tayari kuwauza wenzao, kuwateka, kuwalawiti, kuwaua, kuuza maliasili zote muhimu za Tanganyika.

Wenyewe ndio kwanza utawaona wanawatetea majangili, makaburu, mafisadi kama house Nigger au Eunuch enzi zile au mnyampara gerezani.
 
Hali ndani ya CCM imebadilika baada ya press YA Mheshimiwa Balozi Humphrey Polepole. Naona vikao vimesitishwa vilivyokuwa vifanyike tarehe 18 na 19 Julai 2025 kwaajili ya teuzi mbalimbali za wabunge. Je hali inaweza kubadilika ili kufuata kile Humphrey amesema kukiukwa kwa tamaduni za CCM? Na je kama itatokea kuna badilika Nani amejiandaa kuwa Rais wa awamu ya Saba? Kazi ipo hapa
Nadhani imewasha moto ambao,hakuna wakuudhibiti
 
Hali ndani ya CCM imebadilika baada ya press YA Mheshimiwa Balozi Humphrey Polepole. Naona vikao vimesitishwa vilivyokuwa vifanyike tarehe 18 na 19 Julai 2025 kwaajili ya teuzi mbalimbali za wabunge. Je hali inaweza kubadilika ili kufuata kile Humphrey amesema kukiukwa kwa tamaduni za CCM? Na je kama itatokea kuna badilika Nani amejiandaa kuwa Rais wa awamu ya Saba? Kazi ipo hapa
Nadhani wakichukua hata jambo moja tu kutoka kwa press ya polepole watakuwa wajiosha sana.maana sasa hiv sisiem inanuka harufu ya kukera.

Unajua ccm naonaga ni lidude flan hiv likubwa sana ambalo mtu mmoja hawezi kuibendi kirahisi. sasa kilichotokea february kila mtu alishangaa.


Kujitafakari si dhambi.Ile kauli mbiu ya KUJIVUA GAMBA iliwahi wasaidia sana kipindi kile cha Kinana
 
Ukimuona Nchi-mbili ujue hapo 'Roast la hamster' toka Uajemi linafanya yake.
Hilo Roast lilishindwa kuweka mtu wake 2015 kupitia Hayati Mamvi.
Watu wanamsema mstaafu wa karibu 'Charlie nzee' ndiyo remote kumbe mzee naye kazidiwa na nguvu ya Roast.
Kuna ukweli hapa.
 
Watu hawaelewi....! Ngoja niwaambie.

Pole pole ana Back up ya Wazee wa CCM walioshika nafasi za juu kwenye Chama na Serikali, Wazee ambao ikitokea changamoto, Viongozi wa Sasa huwafata kuwaomba Ushauri (Kikwete hayupo).

Polepole ni aina ya Mtu anayeongea sana na Wazee kuliko Vijana, na ana urafiki kabisa na Wazee wengi.

Wakiongea naye Wazee wangemwambia Chama ni Vijana, sisi tumezeeka, Viongozi wangetutafuta pale wao wakituhitaji, Wewe Polepole ni Kijana, amka simama paza Sauti, Ongea, sisi hatuna Nguvu Tena, nenda kaongee, ukishaongea kutatokea sintofahamu, then ndiyo watatufata Wazee, na sisi tutapiga pale pale kwenye Kidonda.

Pole pole asingeweza kuongea akiwa Balozi, na ukumbuke Polepole Hana Cha kupoteza, ameshawahi kushika nafasi za juu sana kwenye Chama na Serikali wastani wa No. 3 Enzi ya Maghufuri, angeweza tu kuendelea kula mafao yake ya Ubalozi, na Kwa Umri wake angeweza kuwa Balozi Kwa zaidi ya miaka 10 mbele, lakini Kila anaongea na Wazee wanamwambia Nchi inapotea huku Vijana mnatizama....!?

Mwisho akaamua kuacha Ubalozi, akashika Sindano na kutoboa Jibu, usidhani kamaliza, anayo mengi ya kusema, Pole pole anayajua mengi kwenye hii Nchi kuliko hata Mawaziri wa kawaida ama Wabunge, so anawasubiri.....! Na huko Kwa nje, Wazee wanawasukuma Vijana wengine, watoke waseme.....!

Tegemea Mabadiriko soon.
La kuvunda halina ubani!
Hata wafanyeje, kamwe haitawasaidia kitu, tayari wamechelewa Sana!
 
Back
Top Bottom