Je, hili limewahi kukutokea?

Haya mambo ni ntu na ntu. Kuna siku nilifatwa PM nikaulizwa katika maswali ya mwanzoni kabisa unafanya kazi gani. Nikajibu napikaga vitumbua mkuu. Ah nikaona vumbi tu....hivi si wapika vitumbua mnatuonaje??🀣🀣
Kuna lile wanalipendagaa β€˜ what do you do for a living’
Wanabadilisha mpaka na lugha
 
aweeeeeeh....@ERoni mbalizi1 jf vipajii kwasanaaaa!!! Hahahaaa... ikawaje dear?? Depal jf.................itikiaaaa
🀣🀣🀣🀣🀣 jf nyosooo

Hadi Tin kapigwa tukio, wanaume wa humu wana bayaaa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…